Msaada: Nimekuta kibubu kina 30,000/- tu baada ya kuweka pesa karibu miezi 5, nifanyeje?

You added something in my mind.
Kumbe wezi wa pesa za kwenye kibubu ni mafundi vibubu
 
Pole sana. Hapo nakushauri jitafute tena maana huko unakotaka kwenda sijui kwa mganga utapoteza muda wako tu maana utaombwa pesa na utajikuta umelipa pesa nyingine ambayo ingeweza kumlipa mwenyenyumba.
1. Hifadhi hela kwenye simu
2. Benki
3. Weka pesa zako kwenye kitabu au daftari. Uwe unaziweka katika hasa za noti.
4. Weka sehemu za droo kwenye kitanda au droo za tv case.
Hivi vibubu ni hatari sana. Chuma ulete ipo na inafanya kazi
 
Mimi ni mtalaam wa kutoa pesa kwenye kibubu chochote duniani naamini sipo peke yangu mwenye huu ujuzi

Ahsante
 
Mwanamke akichanganyikiwa huwa analose control, akishalose control hujikuta akifanya maamuzi ya hovyo.

TAKE CARE.
 
Nje ya mada. Nyota ya jaha maana yake ninini. Ucje kukuta jina lako linavutia wachumaji.
 
Kama umekuta buku buku zipo kibao basi jua niwewe uliweka ukidhani ni elfu kumi kumi,it happens,you know.Sasa mkuu kwa kuweka buku Kila siku unategemea laki 3 Kwa mwezi kweli?Hiyo laki 270 akuongezee nani?Anyway Kuna vibubu vya simu skuizi tuishi humo,ila usijesema nao chuma ulete
 
Hicho kibubu ulitenge eza mwenyewe?
Kama ulinunua pole.. Mchawi wako ni mtengenezaji.. Hao watu wakitengeneza huwa wananuwia.. So ukiweka hela ni kama umempa chuma ulete..

Inashauriwa utengemeze mwenyewe
 
Miezi mingi haimaanishi pesa nyingi mkuu, ulikuwa unaweka bukubuku halafu unapitisha siku nyingi bila kuweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…