Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Kimtindo ulichokiandika kinatofautiana na kwenye huu uzi Leo naomba ku share tabia yangu halisi humu JF ikibidi nisaidiwe!
Ama ndo mambo ya a very tea ☕
Ama ndo mambo ya a very tea ☕
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeimisi mbege mkuu 😭sioni tatizo hilo..tunaishi🐈
Hivyo hivyo ulivyo jikubali 👑Hali zenu, #SakoKwaBako!
Kile nilichokuwa nahisi kuwa ni kweli, hatimaye kimejidhihirisha kuwa ni kweli, na hii imedhihirisha kuwa nilikuwa sahihi kuwaza hivyo.
Tatizo langu ni la saikoloji, ndivyo watu wa karibu wanavyosema. Nina matatizo yafuatayo:
1. Ni mkimya SANA mpaka nakera. JF ni sehemu ninayojiachia sana. Napenda kutoongea na kuwa kimya muda mwingi. Nimezubaa mno hali inayopelekea kukosa marafiki wengi. Sina marafiki kabisa.
2. Ni mgumu mno wa kuzoeana na watu, mara nyingi napenda kukaa ndani. Naweza nikaamka asubuhi nikakaa ndani mpaka saa 1 jioni, nikala kisha nikarudi ndani.
3. Wengi wananiambia nitaishi maisha magumu mno, hasa ikitokea ninataka kuomba kazi ya kuajiriwa. Hii ni kutokana na kuwa mabosi wengi wanataka watu wachangamfu na waongeaji. Mimi sipo hivyo.
4. Ninapenda muziki, napenda new trends in technology, napenda siasa.
5. Kimsingi inafika wakati najiogopa kwa kweli. Maneno ya watu yananitisha sana. Najiuliza nikaombewe? Au nimerogwa?
NB
Toka utoto nipo hivi. Pia, nikiwa serious kidogo tu unaweza kusema nimechukia, kumbe hata sijachukia. Sura yangu ni tough kiasi. Hali hii inapelekea niwe natabasamu kila nikiongea na mtu, ili nisiwatoe on mood kwa kudhani nimekasirika.
Mimi kwa unyenyekevu mkubwa, naomba msaada. Mficha uchi hazai.
Nimejaribu kila njia nimeshindwa. Kuwapapatikia watu napo nimeshindwa kabisa. Siwezi kufosi uchangamfu kabisa. Help please!
Tatizo sisi watu wakujitenga na kufikiria sana huwa ni wahanga wazuri wa nyeto mkuu tusamahe tu .Kimtindo ulichokiandika kinatofautiana na kwenye huu uzi Leo naomba ku share tabia yangu halisi humu JF ikibidi nisaidiwe!
Ama ndo mambo ya a very tea ☕
Dahhh!!. Nimecheka sana mkuu!.
Huwa mnafikiriaga nini hivi? Au ndio hizo nyeto maana dunia iko vile vile and yet mnatuambia kuwa mpo watu mnaofikiria sana 😂😂Tatizo sisi watu wakujitenga na kufikiria sana huwa ni wahanga wazuri wa nyeto mkuu tusamahe tu .
Kama huko unakojifungia unafanya delivery unatafuna mbususu haina shida ila kama unakaa ndani tu ukitoka nje unanunua sabuni unarudi mafichoni hapo ndo shida ilipo.Hali zenu, #SakoKwaBako!
Kile nilichokuwa nahisi kuwa ni kweli, hatimaye kimejidhihirisha kuwa ni kweli, na hii imedhihirisha kuwa nilikuwa sahihi kuwaza hivyo.
Tatizo langu ni la saikoloji, ndivyo watu wa karibu wanavyosema. Nina matatizo yafuatayo:
1. Ni mkimya SANA mpaka nakera. JF ni sehemu ninayojiachia sana. Napenda kutoongea na kuwa kimya muda mwingi. Nimezubaa mno hali inayopelekea kukosa marafiki wengi. Sina marafiki kabisa.
2. Ni mgumu mno wa kuzoeana na watu, mara nyingi napenda kukaa ndani. Naweza nikaamka asubuhi nikakaa ndani mpaka saa 1 jioni, nikala kisha nikarudi ndani.
3. Wengi wananiambia nitaishi maisha magumu mno, hasa ikitokea ninataka kuomba kazi ya kuajiriwa. Hii ni kutokana na kuwa mabosi wengi wanataka watu wachangamfu na waongeaji. Mimi sipo hivyo.
4. Ninapenda muziki, napenda new trends in technology, napenda siasa.
5. Kimsingi inafika wakati najiogopa kwa kweli. Maneno ya watu yananitisha sana. Najiuliza nikaombewe? Au nimerogwa?
NB
Toka utoto nipo hivi. Pia, nikiwa serious kidogo tu unaweza kusema nimechukia, kumbe hata sijachukia. Sura yangu ni tough kiasi. Hali hii inapelekea niwe natabasamu kila nikiongea na mtu, ili nisiwatoe on mood kwa kudhani nimekasirika.
Mimi kwa unyenyekevu mkubwa, naomba msaada. Mficha uchi hazai.
Nimejaribu kila njia nimeshindwa. Kuwapapatikia watu napo nimeshindwa kabisa. Siwezi kufosi uchangamfu kabisa. Help please!
Oa kijanaHali zenu, #SakoKwaBako!
Kile nilichokuwa nahisi kuwa ni kweli, hatimaye kimejidhihirisha kuwa ni kweli, na hii imedhihirisha kuwa nilikuwa sahihi kuwaza hivyo.
Tatizo langu ni la saikoloji, ndivyo watu wa karibu wanavyosema. Nina matatizo yafuatayo:
1. Ni mkimya SANA mpaka nakera. JF ni sehemu ninayojiachia sana. Napenda kutoongea na kuwa kimya muda mwingi. Nimezubaa mno hali inayopelekea kukosa marafiki wengi. Sina marafiki kabisa.
2. Ni mgumu mno wa kuzoeana na watu, mara nyingi napenda kukaa ndani. Naweza nikaamka asubuhi nikakaa ndani mpaka saa 1 jioni, nikala kisha nikarudi ndani.
3. Wengi wananiambia nitaishi maisha magumu mno, hasa ikitokea ninataka kuomba kazi ya kuajiriwa. Hii ni kutokana na kuwa mabosi wengi wanataka watu wachangamfu na waongeaji. Mimi sipo hivyo.
4. Ninapenda muziki, napenda new trends in technology, napenda siasa.
5. Kimsingi inafika wakati najiogopa kwa kweli. Maneno ya watu yananitisha sana. Najiuliza nikaombewe? Au nimerogwa?
NB
Toka utoto nipo hivi. Pia, nikiwa serious kidogo tu unaweza kusema nimechukia, kumbe hata sijachukia. Sura yangu ni tough kiasi. Hali hii inapelekea niwe natabasamu kila nikiongea na mtu, ili nisiwatoe on mood kwa kudhani nimekasirika.
Mimi kwa unyenyekevu mkubwa, naomba msaada. Mficha uchi hazai.
Nimejaribu kila njia nimeshindwa. Kuwapapatikia watu napo nimeshindwa kabisa. Siwezi kufosi uchangamfu kabisa. Help please!
Tunafikiria namna gani tunaenda kwenye jua mkuu , utafiti huchukua mda mrefu sana kukamilika master .Huwa mnafikiriaga nini hivi? Au ndio hizo nyeto maana dunia iko vile vile and yet mnatuambia kuwa mpo watu mnaofikiria sana 😂😂
Nadhani mi naweza kukuzidi sasa...kwanza ninayo kichwa amazing mpaka shule walikuwa wananiita Mkapa sometimes mgiriki, kuhusu kushinda ndani yaani ndio naweza nikamaliza hata weekend nzima nipo ndani kikubwa chakula na movies niwe navyo ndani naweza nisitoke ndani mpaka jumamatu kwenda kazini... Kazini kwenyewe pia nna kaofisi kangu yaani nikijisondeka humo nikula tu WiFi ya ofisi kupakua movie akija mwananchi namhudumia imeisha hiyo naweza nikamaliza siku nzima ofisini nimeongea na watu wasifike watano..kwenye vikao kama hakuna hoja yangu ama ajenda inayonihusu naweza nisiongee mpaka kikao kinaisha...kwenye gambe hivyohivyo tunaweza kukaa kilinge mi ni pombe mziki wenyewe ni Kusikiliza tu sio mpenzi wa kibanjuka.... Lakini kwenye jamii fresh tu....Misiba Harusi Nini lakini ukifika pale ni salamu natulia nasubiri utaratibu. Ishi tu usiwaze sanaHali zenu, #SakoKwaBako!
Kile nilichokuwa nahisi kuwa ni kweli, hatimaye kimejidhihirisha kuwa ni kweli, na hii imedhihirisha kuwa nilikuwa sahihi kuwaza hivyo.
Tatizo langu ni la saikoloji, ndivyo watu wa karibu wanavyosema. Nina matatizo yafuatayo:
1. Ni mkimya SANA mpaka nakera. JF ni sehemu ninayojiachia sana. Napenda kutoongea na kuwa kimya muda mwingi. Nimezubaa mno hali inayopelekea kukosa marafiki wengi. Sina marafiki kabisa.
2. Ni mgumu mno wa kuzoeana na watu, mara nyingi napenda kukaa ndani. Naweza nikaamka asubuhi nikakaa ndani mpaka saa 1 jioni, nikala kisha nikarudi ndani.
3. Wengi wananiambia nitaishi maisha magumu mno, hasa ikitokea ninataka kuomba kazi ya kuajiriwa. Hii ni kutokana na kuwa mabosi wengi wanataka watu wachangamfu na waongeaji. Mimi sipo hivyo.
4. Ninapenda muziki, napenda new trends in technology, napenda siasa.
5. Kimsingi inafika wakati najiogopa kwa kweli. Maneno ya watu yananitisha sana. Najiuliza nikaombewe? Au nimerogwa?
NB
Toka utoto nipo hivi. Pia, nikiwa serious kidogo tu unaweza kusema nimechukia, kumbe hata sijachukia. Sura yangu ni tough kiasi. Hali hii inapelekea niwe natabasamu kila nikiongea na mtu, ili nisiwatoe on mood kwa kudhani nimekasirika.
Mimi kwa unyenyekevu mkubwa, naomba msaada. Mficha uchi hazai.
Nimejaribu kila njia nimeshindwa. Kuwapapatikia watu napo nimeshindwa kabisa. Siwezi kufosi uchangamfu kabisa. Help please!
Nadhani mi naweza kukuzidi sasa...kwanza ninayo kichwa amazing mpaka shule walikuwa wananiita Mkapa sometimes mgiriki, kuhusu kushinda ndani yaani ndio naweza nikamaliza hata weekend nzima nipo ndani kikubwa chakula na movies niwe navyo ndani naweza nisitoke ndani mpaka jumamatu kwenda kazini... Kazini kwenyewe pia nna kaofisi kangu yaani nikijisondeka humo nikula tu WiFi ya ofisi kupakua movie akija mwananchi namhudumia imeisha hiyo naweza nikamaliza siku nzima ofisini nimeongea na watu wasifike watano..kwenye vikao kama hakuna hoja yangu ama ajenda inayonihusu naweza nisiongee mpaka kikao kinaisha...kwenye gambe hivyohivyo tunaweza kukaa kilinge mi ni pombe mziki wenyewe ni Kusikiliza tu sio mpenzi wa kibanjuka.... Lakini kwenye jamii fresh tu....Misiba Harusi Nini lakini ukifika pale ni salamu natulia nasubiri utaratibu. Ishi tu usiwaze sana.Hali zenu, #SakoKwaBako!
Kile nilichokuwa nahisi kuwa ni kweli, hatimaye kimejidhihirisha kuwa ni kweli, na hii imedhihirisha kuwa nilikuwa sahihi kuwaza hivyo.
Tatizo langu ni la saikoloji, ndivyo watu wa karibu wanavyosema. Nina matatizo yafuatayo:
1. Ni mkimya SANA mpaka nakera. JF ni sehemu ninayojiachia sana. Napenda kutoongea na kuwa kimya muda mwingi. Nimezubaa mno hali inayopelekea kukosa marafiki wengi. Sina marafiki kabisa.
2. Ni mgumu mno wa kuzoeana na watu, mara nyingi napenda kukaa ndani. Naweza nikaamka asubuhi nikakaa ndani mpaka saa 1 jioni, nikala kisha nikarudi ndani.
3. Wengi wananiambia nitaishi maisha magumu mno, hasa ikitokea ninataka kuomba kazi ya kuajiriwa. Hii ni kutokana na kuwa mabosi wengi wanataka watu wachangamfu na waongeaji. Mimi sipo hivyo.
4. Ninapenda muziki, napenda new trends in technology, napenda siasa.
5. Kimsingi inafika wakati najiogopa kwa kweli. Maneno ya watu yananitisha sana. Najiuliza nikaombewe? Au nimerogwa?
NB
Toka utoto nipo hivi. Pia, nikiwa serious kidogo tu unaweza kusema nimechukia, kumbe hata sijachukia. Sura yangu ni tough kiasi. Hali hii inapelekea niwe natabasamu kila nikiongea na mtu, ili nisiwatoe on mood kwa kudhani nimekasirika.
Mimi kwa unyenyekevu mkubwa, naomba msaada. Mficha uchi hazai.
Nimejaribu kila njia nimeshindwa. Kuwapapatikia watu napo nimeshindwa kabisa. Siwezi kufosi uchangamfu kabisa. Help please!
Basi sawa, nafikir Elon Musk akijua mpo hapa bongo ataogopa sanaTunafikiria namna gani tunaenda kwenye jua mkuu , utafiti huchukua mda mrefu sana kukamilika master .