Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unywe sasaNimeimisi mbege mkuu 😭
Siwezi ipata 🙄Unywe sasa
Basi tena mpaka Dec kijijini ujinyweee ile orgSiwezi ipata 🙄
Mburaa 🤣🤣Basi tena mpaka Dec kijijini ujinyweee ile org
😁Mburaa 🤣🤣
min -me wewe ni robot la kichaga mkuu.Mburaa 🤣🤣
Kwa mwanamke ukimya unafaa wala hauna shida maana utachangamshwa tu.Hakuna tatizo hapo! Labda kama wewe ndo unalitafuta
Mimi ni mkimya nina grumpy face kama wewe na maisha yanaenda.
Siraha❌Kwa mwanamke ukimya unafaa wala hauna shida maana utachangamshwa tu.
Na kama ni mzuri ndo kabisaa ukimya kwako ni siraha.
Ila kwa Me ni tofauti, ukimya kwa hapa kwetu sometimes unaumiza na kufanya ukose baadhi ya fursa.
Robotic behavior hasa kwenye uwezo kubonyeza kitufe cha Like kwenye threads nyingi ni sababu ya kukufikiria wewe ni robot .Bahati mbaya mimi sio mchaga ila nawapenda wachaga kwanini umesema mimi niroboti mkuu?😁😁😁
Siraha ni sahihi pia, katafute maana yake.Siraha❌
Silaha✅
Vishu matata ni mkyura mkuu😁Siraha❌
Silaha✅
Mkuu unafanya meditation?Mimi pia nimeishi hivyo utoto wangu wote ila nilianza kuchange baada ya kuish uboyzini na nilipoanza kufanya biashara na kaz za hapa na pale basi ile Customer care ikanimix na jamii, kwa sasa atleast ninaconfidence kubwa sana ila nimemaintain kiburi tu kwa kuwapuuza baadhi ya watu.
Kama hatuna story common (ziwe za maana hata za hovyo) na hatuna biashara tunaeza tusiongee miaka buku ila salam uhakika.
Kwanini umeuliza Mkuu, maana swali ni fumbo hilo au nieleze vizur ulitaka kufaham nin?Mkuu unafanya meditation?
Kuna namna unajitambua sana ndio maana nimeuliza sio apa tu.Kwanini umeuliza Mkuu, maana swali ni fumbo hilo au nieleze vizur ulitaka kufaham nin?
Tatizo Hilo llkitaalamu linaitwa ubandidu jumuishi...halitibiki ila linataka ujikubali kwa kuwa huwezi kujibadilisha.Hali zenu, SakoKwaBako!
Kile nilichokuwa nahisi kuwa ni kweli, hatimaye kimejidhihirisha kuwa ni kweli, na hii imedhihirisha kuwa nilikuwa sahihi kuwaza hivyo.
Tatizo langu ni la saikolojia, ndivyo watu wa karibu wanavyosema. Nina matatizo yafuatayo:
1. Ni mkimya sana mpaka nakera. JF ni sehemu ninayojiachia sana. Napenda kutoongea na kuwa kimya muda mwingi. Nimezubaa mno hali inayopelekea kukosa marafiki wengi. Sina marafiki kabisa.
2. Ni mgumu mno wa kuzoeana na watu, mara nyingi napenda kukaa ndani. Naweza nikaamka asubuhi nikakaa ndani mpaka saa 1 jioni, nikala kisha nikarudi ndani.
3. Wengi wananiambia nitaishi maisha magumu mno, hasa ikitokea ninataka kuomba kazi ya kuajiriwa. Hii ni kutokana na kuwa mabosi wengi wanataka watu wachangamfu na waongeaji. Mimi sipo hivyo.
4. Ninapenda muziki, napenda new trends in technology, napenda siasa.
5. Kimsingi inafika wakati najiogopa kwa kweli. Maneno ya watu yananitisha sana. Najiuliza nikaombewe? Au nimerogwa?
NB: Toka utoto nipo hivi. Pia, nikiwa serious kidogo tu unaweza kusema nimechukia, kumbe hata sijachukia. Sura yangu ni tough kiasi. Hali hii inapelekea niwe natabasamu kila nikiongea na mtu, ili nisiwatoe on mood kwa kudhani nimekasirika.
Mimi kwa unyenyekevu mkubwa, naomba msaada. Mficha uchi hazai.
Nimejaribu kila njia nimeshindwa. Kuwapapatikia watu napo nimeshindwa kabisa. Siwezi kufosi uchangamfu kabisa. Help please!
Ni maisha tu yamenishape hivi Mkuu, kiukweli maisha ni Mwalimu mzuri zaidi.Kuna namna unajitambua sana ndio maana nimeuliza sio apa tu.