Msaada: Nimekuwa mkimya na mgumu sana kuzoeana na watu

Msaada: Nimekuwa mkimya na mgumu sana kuzoeana na watu

Kuna kitu hujatuambia kuwa huwa unapiga sana nyeto na kuangalia porno.. sema tu mkuu tukupe ushauri pia
 
Jf ninayoijua mimi kila mtu atacoment nae ni mkimnya hapa ikianza mambo ya single maza kila mtu hataki single maza basi kila kitu wao wamo khah
 
Sema umezubaa..Acha kujificha kwenye kivuli cha ukimya.
 
Aiseee niko kama ww af ninapambana na suicidal thoughts hali hii ni hatar sana..
 
Fanya uanze kujichanganya na watu usikae kindezi hivyo,siku ukipatwa na msala ndio utajua haujui
 
Hali zenu, SakoKwaBako!

Kile nilichokuwa nahisi kuwa ni kweli, hatimaye kimejidhihirisha kuwa ni kweli, na hii imedhihirisha kuwa nilikuwa sahihi kuwaza hivyo.

Tatizo langu ni la saikolojia, ndivyo watu wa karibu wanavyosema. Nina matatizo yafuatayo:

1. Ni mkimya sana mpaka nakera. JF ni sehemu ninayojiachia sana. Napenda kutoongea na kuwa kimya muda mwingi. Nimezubaa mno hali inayopelekea kukosa marafiki wengi. Sina marafiki kabisa.

2. Ni mgumu mno wa kuzoeana na watu, mara nyingi napenda kukaa ndani. Naweza nikaamka asubuhi nikakaa ndani mpaka saa 1 jioni, nikala kisha nikarudi ndani.

3. Wengi wananiambia nitaishi maisha magumu mno, hasa ikitokea ninataka kuomba kazi ya kuajiriwa. Hii ni kutokana na kuwa mabosi wengi wanataka watu wachangamfu na waongeaji. Mimi sipo hivyo.

4. Ninapenda muziki, napenda new trends in technology, napenda siasa.

5. Kimsingi inafika wakati najiogopa kwa kweli. Maneno ya watu yananitisha sana. Najiuliza nikaombewe? Au nimerogwa?

NB: Toka utoto nipo hivi. Pia, nikiwa serious kidogo tu unaweza kusema nimechukia, kumbe hata sijachukia. Sura yangu ni tough kiasi. Hali hii inapelekea niwe natabasamu kila nikiongea na mtu, ili nisiwatoe on mood kwa kudhani nimekasirika.

Mimi kwa unyenyekevu mkubwa, naomba msaada. Mficha uchi hazai.

Nimejaribu kila njia nimeshindwa. Kuwapapatikia watu napo nimeshindwa kabisa. Siwezi kufosi uchangamfu kabisa. Help please!
Hio hali uliokua nayo hata mm inanitesa apo kiukweli unakosa kujiamini ,,kuskia aibu mara kwa mara ,,kujistukizia unapotembea yani unahisi watu wote wanakuangalia na kukusema wewe njian ,,ukivaa nguo za kupendeza unajishtukizia kama unaonewa chuki na unaopishana nao kiufupi hii hali inawatesa weng mim kaka ako nagonga miaka 32 hapa mpka leo hii hali inaitesa na ndio maana nmeamua kujiajiri mwenye ili kuepusha mizozo na maboss na wafanyakz wenzangu maana wanahis kma nina zarau na jeuri
 
Back
Top Bottom