Msaada: Nimekuwa mkimya na mgumu sana kuzoeana na watu

Msaada: Nimekuwa mkimya na mgumu sana kuzoeana na watu

Usikubali maisha yakushape wewe unauwezo waku yashape maisha kwa kila kitu juu yako na kwa wengine.
Uhakika, kuna ile unakua na mitazamo hii lakin maisha yanakuprove wrong. Hapo huwezi pingana na nature.
Tukifanikiwa kuyanyoosha maisha yaende tunavyotaka ni jambo la Kumshukuru sana Mungu maana si mara zote inawezekana.
 
Uhakika, kuna ile unakua na mitazamo hii lakin maisha yanakuprove wrong. Hapo huwezi pingana na nature.
Tukifanikiwa kuyanyoosha maisha yaende tunavyotaka ni jambo la Kumshukuru sana Mungu maana si mara zote inawezekana.
Kwanza huyu huyo Mungu wa Israel hayupo ila unaweza kutumia kanuni tu za ulimwengu ukafanya unachokitaka.
 
Puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli puli
Acha hio kitu.
 
Kwanza huyu huyo Mungu wa Israel hayupo ila unaweza kutumia kanuni tu za ulimwengu ukafanya unachokitaka.
Mashaka juu ya uwepo wa Mungu ni imani yangu pia lakin huwa siwez kushare wala kuonyesha msimamo wangu juu yake maana halimake money hivyo halimake sense huwa nachagua kulipuuza tu, mimi naogopa kupotosha wengine nikipotea mwenyewe inatosha mkuu🤣

Siku watu wakichomwa moto watakushika shati min -me ndo alisema haupo Mungu.
 
Jaribu kujichanganya kidogo, maisha ya hivyo yanaua confidence kwa asilimia fulani
 
Mashaka juu ya uwepo wa Mungu ni imani yangu pia lakin huwa siwez kushare wala kuonyesha msimamo wangu juu yake maana halimake money hivyo halimake sense huwa nachagua kulipuuza tu, mimi naogopa kupotosha wengine nikipotea mwenyewe inatosha mkuu🤣

Siku watu wakichomwa moto watakushika shati min -me ndo alisema haupo Mungu.
Nina uhakika kwa ninachokisema kwa namna yoyote ile mkuu , wala sina hofu kabisa.
 
Hali zenu, SakoKwaBako!

Kile nilichokuwa nahisi kuwa ni kweli, hatimaye kimejidhihirisha kuwa ni kweli, na hii imedhihirisha kuwa nilikuwa sahihi kuwaza hivyo.

Tatizo langu ni la saikolojia, ndivyo watu wa karibu wanavyosema. Nina matatizo yafuatayo:

1. Ni mkimya sana mpaka nakera. JF ni sehemu ninayojiachia sana. Napenda kutoongea na kuwa kimya muda mwingi. Nimezubaa mno hali inayopelekea kukosa marafiki wengi. Sina marafiki kabisa.

2. Ni mgumu mno wa kuzoeana na watu, mara nyingi napenda kukaa ndani. Naweza nikaamka asubuhi nikakaa ndani mpaka saa 1 jioni, nikala kisha nikarudi ndani.

3. Wengi wananiambia nitaishi maisha magumu mno, hasa ikitokea ninataka kuomba kazi ya kuajiriwa. Hii ni kutokana na kuwa mabosi wengi wanataka watu wachangamfu na waongeaji. Mimi sipo hivyo.

4. Ninapenda muziki, napenda new trends in technology, napenda siasa.

5. Kimsingi inafika wakati najiogopa kwa kweli. Maneno ya watu yananitisha sana. Najiuliza nikaombewe? Au nimerogwa?

NB: Toka utoto nipo hivi. Pia, nikiwa serious kidogo tu unaweza kusema nimechukia, kumbe hata sijachukia. Sura yangu ni tough kiasi. Hali hii inapelekea niwe natabasamu kila nikiongea na mtu, ili nisiwatoe on mood kwa kudhani nimekasirika.

Mimi kwa unyenyekevu mkubwa, naomba msaada. Mficha uchi hazai.

Nimejaribu kila njia nimeshindwa. Kuwapapatikia watu napo nimeshindwa kabisa. Siwezi kufosi uchangamfu kabisa. Help please!
Wewe ni introvert, Huna shida kabisa. Introverts wengi huwa na qualities unique sana na ukitulia utaweza kufika mbali. Soma zaidi kuhusu hii character ujielewe itakusaidia kujiongoza na kujua cha kufanya.
 
Hali zenu, SakoKwaBako!

Kile nilichokuwa nahisi kuwa ni kweli, hatimaye kimejidhihirisha kuwa ni kweli, na hii imedhihirisha kuwa nilikuwa sahihi kuwaza hivyo.

Tatizo langu ni la saikolojia, ndivyo watu wa karibu wanavyosema. Nina matatizo yafuatayo:

1. Ni mkimya sana mpaka nakera. JF ni sehemu ninayojiachia sana. Napenda kutoongea na kuwa kimya muda mwingi. Nimezubaa mno hali inayopelekea kukosa marafiki wengi. Sina marafiki kabisa.

2. Ni mgumu mno wa kuzoeana na watu, mara nyingi napenda kukaa ndani. Naweza nikaamka asubuhi nikakaa ndani mpaka saa 1 jioni, nikala kisha nikarudi ndani.

3. Wengi wananiambia nitaishi maisha magumu mno, hasa ikitokea ninataka kuomba kazi ya kuajiriwa. Hii ni kutokana na kuwa mabosi wengi wanataka watu wachangamfu na waongeaji. Mimi sipo hivyo.

4. Ninapenda muziki, napenda new trends in technology, napenda siasa.

5. Kimsingi inafika wakati najiogopa kwa kweli. Maneno ya watu yananitisha sana. Najiuliza nikaombewe? Au nimerogwa?

NB: Toka utoto nipo hivi. Pia, nikiwa serious kidogo tu unaweza kusema nimechukia, kumbe hata sijachukia. Sura yangu ni tough kiasi. Hali hii inapelekea niwe natabasamu kila nikiongea na mtu, ili nisiwatoe on mood kwa kudhani nimekasirika.

Mimi kwa unyenyekevu mkubwa, naomba msaada. Mficha uchi hazai.

Nimejaribu kila njia nimeshindwa. Kuwapapatikia watu napo nimeshindwa kabisa. Siwezi kufosi uchangamfu kabisa. Help please!
Ukielewa unachokipenda zaidi, wekeza muda wako kwenye hicho kitu na ujiongeze thamani, hakuna adui mbaya kama anayekupotezea muda na ndicho utakipata ukitafuta anntention kwa watu.

Usiogope watu, wakikuuliza kwanini uko hivyo waambie huwezi kuwa wao na hawawezi kuwa wewe.

Mwisho kabisa, dawa ya kukishinda chochote ni kukikabiri hakuna miujiza, kama kuna tabia huipendi na unataka ubadilike sharti ni kufanya vile unaona huwezi kufanya taratibu utazoea.
 
Back
Top Bottom