min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Usikubali maisha yakushape wewe unauwezo waku yashape maisha kwa kila kitu juu yako na kwa wengine.Ni maisha tu yamenishape hivi Mkuu, kiukweli maisha ni Mwalimu mzuri zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikubali maisha yakushape wewe unauwezo waku yashape maisha kwa kila kitu juu yako na kwa wengine.Ni maisha tu yamenishape hivi Mkuu, kiukweli maisha ni Mwalimu mzuri zaidi.
Uhakika, kuna ile unakua na mitazamo hii lakin maisha yanakuprove wrong. Hapo huwezi pingana na nature.Usikubali maisha yakushape wewe unauwezo waku yashape maisha kwa kila kitu juu yako na kwa wengine.
Kwanza huyu huyo Mungu wa Israel hayupo ila unaweza kutumia kanuni tu za ulimwengu ukafanya unachokitaka.Uhakika, kuna ile unakua na mitazamo hii lakin maisha yanakuprove wrong. Hapo huwezi pingana na nature.
Tukifanikiwa kuyanyoosha maisha yaende tunavyotaka ni jambo la Kumshukuru sana Mungu maana si mara zote inawezekana.
Mashaka juu ya uwepo wa Mungu ni imani yangu pia lakin huwa siwez kushare wala kuonyesha msimamo wangu juu yake maana halimake money hivyo halimake sense huwa nachagua kulipuuza tu, mimi naogopa kupotosha wengine nikipotea mwenyewe inatosha mkuu🤣Kwanza huyu huyo Mungu wa Israel hayupo ila unaweza kutumia kanuni tu za ulimwengu ukafanya unachokitaka.
Siraha ni neno sahihi, tafuta maana yake.Vishu matata ni mkyura mkuu😁
Sure.Siraha ni neno sahihi, tafuta maana yake.
Nina uhakika kwa ninachokisema kwa namna yoyote ile mkuu , wala sina hofu kabisa.Mashaka juu ya uwepo wa Mungu ni imani yangu pia lakin huwa siwez kushare wala kuonyesha msimamo wangu juu yake maana halimake money hivyo halimake sense huwa nachagua kulipuuza tu, mimi naogopa kupotosha wengine nikipotea mwenyewe inatosha mkuu🤣
Siku watu wakichomwa moto watakushika shati min -me ndo alisema haupo Mungu.
Wewe ni introvert, Huna shida kabisa. Introverts wengi huwa na qualities unique sana na ukitulia utaweza kufika mbali. Soma zaidi kuhusu hii character ujielewe itakusaidia kujiongoza na kujua cha kufanya.Hali zenu, SakoKwaBako!
Kile nilichokuwa nahisi kuwa ni kweli, hatimaye kimejidhihirisha kuwa ni kweli, na hii imedhihirisha kuwa nilikuwa sahihi kuwaza hivyo.
Tatizo langu ni la saikolojia, ndivyo watu wa karibu wanavyosema. Nina matatizo yafuatayo:
1. Ni mkimya sana mpaka nakera. JF ni sehemu ninayojiachia sana. Napenda kutoongea na kuwa kimya muda mwingi. Nimezubaa mno hali inayopelekea kukosa marafiki wengi. Sina marafiki kabisa.
2. Ni mgumu mno wa kuzoeana na watu, mara nyingi napenda kukaa ndani. Naweza nikaamka asubuhi nikakaa ndani mpaka saa 1 jioni, nikala kisha nikarudi ndani.
3. Wengi wananiambia nitaishi maisha magumu mno, hasa ikitokea ninataka kuomba kazi ya kuajiriwa. Hii ni kutokana na kuwa mabosi wengi wanataka watu wachangamfu na waongeaji. Mimi sipo hivyo.
4. Ninapenda muziki, napenda new trends in technology, napenda siasa.
5. Kimsingi inafika wakati najiogopa kwa kweli. Maneno ya watu yananitisha sana. Najiuliza nikaombewe? Au nimerogwa?
NB: Toka utoto nipo hivi. Pia, nikiwa serious kidogo tu unaweza kusema nimechukia, kumbe hata sijachukia. Sura yangu ni tough kiasi. Hali hii inapelekea niwe natabasamu kila nikiongea na mtu, ili nisiwatoe on mood kwa kudhani nimekasirika.
Mimi kwa unyenyekevu mkubwa, naomba msaada. Mficha uchi hazai.
Nimejaribu kila njia nimeshindwa. Kuwapapatikia watu napo nimeshindwa kabisa. Siwezi kufosi uchangamfu kabisa. Help please!
Grumpy face ndio sura pasono?Hakuna tatizo hapo! Labda kama wewe ndo unalitafuta
Mimi ni mkimya nina grumpy face kama wewe na maisha yanaenda.
Sura ambayo mtu hajakasirika ila sura imekaa kama kakasirikaGrumpy face ndio sura pasono?
Wahivyo huwa ni watamu sana😋Sura ambayo mtu hajakasirika ila sura imekaa kama kakasirika
Angalia post #11
Au ndio ile mbosso khan aliisema?Sura ambayo mtu hajakasirika ila sura imekaa kama kakasirika
Angalia post #11
AlisemajeAu ndio ile mbosso khan aliisema?
Ukielewa unachokipenda zaidi, wekeza muda wako kwenye hicho kitu na ujiongeze thamani, hakuna adui mbaya kama anayekupotezea muda na ndicho utakipata ukitafuta anntention kwa watu.Hali zenu, SakoKwaBako!
Kile nilichokuwa nahisi kuwa ni kweli, hatimaye kimejidhihirisha kuwa ni kweli, na hii imedhihirisha kuwa nilikuwa sahihi kuwaza hivyo.
Tatizo langu ni la saikolojia, ndivyo watu wa karibu wanavyosema. Nina matatizo yafuatayo:
1. Ni mkimya sana mpaka nakera. JF ni sehemu ninayojiachia sana. Napenda kutoongea na kuwa kimya muda mwingi. Nimezubaa mno hali inayopelekea kukosa marafiki wengi. Sina marafiki kabisa.
2. Ni mgumu mno wa kuzoeana na watu, mara nyingi napenda kukaa ndani. Naweza nikaamka asubuhi nikakaa ndani mpaka saa 1 jioni, nikala kisha nikarudi ndani.
3. Wengi wananiambia nitaishi maisha magumu mno, hasa ikitokea ninataka kuomba kazi ya kuajiriwa. Hii ni kutokana na kuwa mabosi wengi wanataka watu wachangamfu na waongeaji. Mimi sipo hivyo.
4. Ninapenda muziki, napenda new trends in technology, napenda siasa.
5. Kimsingi inafika wakati najiogopa kwa kweli. Maneno ya watu yananitisha sana. Najiuliza nikaombewe? Au nimerogwa?
NB: Toka utoto nipo hivi. Pia, nikiwa serious kidogo tu unaweza kusema nimechukia, kumbe hata sijachukia. Sura yangu ni tough kiasi. Hali hii inapelekea niwe natabasamu kila nikiongea na mtu, ili nisiwatoe on mood kwa kudhani nimekasirika.
Mimi kwa unyenyekevu mkubwa, naomba msaada. Mficha uchi hazai.
Nimejaribu kila njia nimeshindwa. Kuwapapatikia watu napo nimeshindwa kabisa. Siwezi kufosi uchangamfu kabisa. Help please!