Msaada: Nimekuwa mkimya na mgumu sana kuzoeana na watu

Dah hata mm nipo hvo hasa wikend sidhan kama huwa wananiona hata nje pale kumbe nakuwa ndani nime myuti tu hasa nikiwa zang nachek movie kwenye cm inakuwa #kizazi_cha_nzi
 
Mkuu, upo kawaida endelea kujipenda na kujikubali. Wewe ni wewe usijifananishe na yeyote yule. Wewe ni mshindi tayari na umekamilika
 
Hakuna tatizo hapo! Labda kama wewe ndo unalitafuta
Mimi ni mkimya nina grumpy face kama wewe na maisha yanaenda.
Kwa mwanamke ukimya unafaa wala hauna shida maana utachangamshwa tu.
Na kama ni mzuri ndo kabisaa ukimya kwako ni siraha.

Ila kwa Me ni tofauti, ukimya kwa hapa kwetu sometimes unaumiza na kufanya ukose baadhi ya fursa.
 
Bahati mbaya mimi sio mchaga ila nawapenda wachaga kwanini umesema mimi niroboti mkuu?😁😁😁
Robotic behavior hasa kwenye uwezo kubonyeza kitufe cha Like kwenye threads nyingi ni sababu ya kukufikiria wewe ni robot .
 
Mkuu unafanya meditation?
 
Tatizo Hilo llkitaalamu linaitwa ubandidu jumuishi...halitibiki ila linataka ujikubali kwa kuwa huwezi kujibadilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…