Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Mkinyonywa?Ndo tunakojoa chap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkinyonywa?Ndo tunakojoa chap
Sanaa😋Mkinyonywa?
nakunywa kwa muda gani mkuu asubuhi na jioni autumia tangawiz na limao....
Chukua tangawiz saga angalau kidole gumba, chukua limao Zika kamua kwenye maji ya vuguvugu kikombe kimoja... Unywe na yale machicha baada ya week 1 utakuwa mzima kabisa.
Unaweza weka asali au usiweke kitu ni sawa
jidanganyenitumia tangawiz na limao....
Chukua tangawiz saga angalau kidole gumba, chukua limao Zika kamua kwenye maji ya vuguvugu kikombe kimoja... Unywe na yale machicha baada ya week 1 utakuwa mzima kabisa.
Unaweza weka asali au usiweke kitu ni sawa
Nadhani huyo demu uliyemla denda, Ni wale wanyonya mikuyenge na sperms.mkuu sijanyonya uchi ila ni hali ambay imenitokea week mbili hzi mi nachohis nmeambukizwa kwa kula denda kama huu ugonjwa unaenea kwa njia hyo iLa kunyonya uchi sijawahi aisee
inawezekana mkuuNadhani huyo demu uliyemla denda, Ni wale wanyonya mikuyenge na sperms.
Ukipiga denda demu yeyote yule, Baada ya hapo ni kuswaki mara tano kwa dawa nyingi ya meno.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mnapenda sana[emoji12][emoji119]
Kwa hio kakulisha Mbegu na shahawa za wanaume wenzio baada ya kutoka kuunyonya na wewe kaja kukunyonyesha kwa kukupiga denda na wewe ukanyonya kumbe unanyonya mashahawainawezekana mkuu
Mnapenda sana
lkn vijiko s vinaoshwa mkuuHalafu mnaulizana mmepata wapi wakati kwa mama ntilie mnalia vijiko
sawa mkuu asante sana kwa ushauri ubarikiwe sanaKwamuda unaofikiria kufanya maamuzi ya hospital,,hebu anza na kuswaki Kwa jivu sugua vzr ulimi usiku huu na asubuhi! Harafu kamuone daktr
Ndio mkuu asubuhi na jioni kaka...week moja inatosha.nakunywa kwa muda gani mkuu asubuhi na jioni au
Ninauhakika asilimia 100 .... Nilitumia nikapona.jidanganyeni