Msaada: Nimepata fangasi kwenye ulimi

Msaada: Nimepata fangasi kwenye ulimi

E bwana kwema wakuu? Nna week ya pili inaenda hii nimepata fangasi /weupe kwenye ulimi sasa nilienda pharmacy nikaambiwa nI fangas ila hakuna maumivu yyte wakuu nkapewa dawa ya Miconazole Oromucosal gel BP ambayo nliambiwa nitumie kwa week lkn bado akupata mabadiliko yaan ilipungua kidg sana nkarudi tena siku nyngnd baada ta kumaliza nkapewa dawa ile ile pamoja na dawa ya multivitamin tablet ya vidonge ambayo nakunywa asubuh na jion mpka sas hv naona nakarbia kuimaliza week lkn sion utofauti wakuu nlkua naomba kwa anaejua labda kuna matbabu mengne

Halafu nashangaa mi sjawahi kuzama kunyonya uke kabsa najiuliza nimeupataje au huu ugonjwa unaambukizwa kwa kula denda? Pia

Msaada weny wa kimawazo wakuu
Kapime ukimwi,cancer na kisukar na angalia Kama kuna dawa zozote unazotumia za MDA mrefu zikashusha kinga au kuvuruga normal flora mdomoni uziache
 
E bwana kwema wakuu? Nna week ya pili inaenda hii nimepata fangasi /weupe kwenye ulimi sasa nilienda pharmacy nikaambiwa nI fangas ila hakuna maumivu yyte wakuu nkapewa dawa ya Miconazole Oromucosal gel BP ambayo nliambiwa nitumie kwa week lkn bado akupata mabadiliko yaan ilipungua kidg sana nkarudi tena siku nyngnd baada ta kumaliza nkapewa dawa ile ile pamoja na dawa ya multivitamin tablet ya vidonge ambayo nakunywa asubuh na jion mpka sas hv naona nakarbia kuimaliza week lkn sion utofauti wakuu nlkua naomba kwa anaejua labda kuna matbabu mengne

Halafu nashangaa mi sjawahi kuzama kunyonya uke kabsa najiuliza nimeupataje au huu ugonjwa unaambukizwa kwa kula denda? Pia

Msaada weny wa kimawazo wakuu
Tumia Colgate max fresh ile ya mints flavour utakuwa ok mkuu kuna mtu alishapona kwa njia hyo.
 
Aisee mimi pia napatwa na tatizo hilo mdomo unachanika na nimeambiwa ni fangasi kuhusu kufanya ngono last time ilikua nwezi wa kwanza nipo mbali na wife so sijawahi hata kumbusu mwanamke so mtu anapotoa ushauli azingatie hili
Mke wako niko nae huku najilia tu
 
Mke wako niko nae huku najilia tu
We kula tuu ila mi natembelea usemi mhm sana kutoka kwa babu yangu ukiamua kutafuta hela basi usichanganye na ngono hv vitu havikai pamoja,ukiviweka pamoja uwezekano wa kufeli ni mkubwa na mara nyingi mafanikio hufunikwa na ngono so mi nineamua kutafuta kwanza then nitaungana na familia yangu
 
We kula tuu ila mi natembelea usemi mhm sana kutoka kwa babu yangu ukiamua kutafuta hela basi usichanganye na ngono hv vitu havikai pamoja,ukiviweka pamoja uwezekano wa kufeli ni mkubwa na mara nyingi mafanikio hufunikwa na ngono so mi nineamua kutafuta kwanza then nitaungana na familia yangu
Uko sahihi mkuu,hapa nataka mumtimua shemeji yako arudi kwao naona amekuwa kikwazo sana kwa mafanikio yangu,kuna mishe nashindwa kuzipiga sababu yake
 
Pharmacist wangekuwa wanapigwa faini kubwa kwa kuuza dawa kama njugu
Watu wanakufa kwa dawa wanazotoa bila hata kuhoji kama una matatizo mengine ya kiafya

Acheni kwenda pharmacy kisa unaogopa foleni ya hospitals
 
Aisee mimi pia napatwa na tatizo hilo mdomo unachanika na nimeambiwa ni fangasi kuhusu kufanya ngono last time ilikua nwezi wa kwanza nipo mbali na wife so sijawahi hata kumbusu mwanamke so mtu anapotoa ushauli azingatie hili
Josse kongolo hii id yako imenikumbusha mbali sana mwanangu. Bila shaka utakua mdau wa Mayenu na Rhumba.
Kwa kujiita tu Hilo jina huwez kaa toka Januari hadi leo Oktoba bila kugegeda mkuu. Pale DRC Josse Kongolo alikuwa anatafuna manzi 6 hadi 10 kwa siku so acha fix.
 
😄 Michezo yenu ya kupiga kapeti hio, ushayavagaa kudadadeki
E bwana kwema wakuu? Nna week ya pili inaenda hii nimepata fangasi /weupe kwenye ulimi sasa nilienda pharmacy nikaambiwa nI fangas ila hakuna maumivu yyte wakuu nkapewa dawa ya Miconazole Oromucosal gel BP ambayo nliambiwa nitumie kwa week lkn bado akupata mabadiliko yaan ilipungua kidg sana nkarudi tena siku nyngnd baada ta kumaliza nkapewa dawa ile ile pamoja na dawa ya multivitamin tablet ya vidonge ambayo nakunywa asubuh na jion mpka sas hv naona nakarbia kuimaliza week lkn sion utofauti wakuu nlkua naomba kwa anaejua labda kuna matbabu mengne

Halafu nashangaa mi sjawahi kuzama kunyonya uke kabsa najiuliza nimeupataje au huu ugonjwa unaambukizwa kwa kula denda? Pia

Msaada weny wa kimawazo wakuu
 
Back
Top Bottom