Msaada: Nimepatwa na changamoto kwa "Wife" na huyu dada

Umenena[emoji122][emoji122][emoji122]
Hiyo aya ya kwanza na ya mwisho umemamiza kila kitu.
 
Mkuu huku mwisho umeharibu kabisa
 
Yaani imebidi nicheke ulivyomalizia huko mwisho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Naona anatafuta sababu za kuhalalisha uzinzi
 
Yaani huyu anatega bomu juu ya bomu.
Bado siku tu ya kumlipukia
 
Kwanza umeshatengeneza kosa la mkeo. Pili umeshapata tulizo la moyo. Unachotaka kutuumiza macho kusoma utumbo huu ili iweje. Acha tumlilie JPN unaweza kukosea aisee. Umesikia Ndugai na Kessy yule wa Mpanda wanataka kumuongezea muda JPM
 
Pole sana, oa na huyo mchepuko wawe wawili ndiyo utapima mzani
 
Yaani huyu anatega bomu juu ya bomu.
Bado siku tu ya kumlipukia
Anacheza na wanawake wawili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi Kama mwanamke nimepatwa na goosebumps,af ye haogopi Wala nn[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe jamaa unamsingizia mkeo ili uwe na huo mchepuko unadai toka 2014 upo nae. Sidhani kama mkeo ni mkosefu kiasi hiki uenda umembadilisha mwenyewe ndani. Uenda kajua kila ovu lako sasa nadeal na wewe kihuni. Achana na mchepuko hivi unawezaje kuhudumia wake wawili. Tafuta demu piga futa vumbi urudi kwa mkeo ndani. Kutoka 7000 mpk 5000 na bado analalamika sio sahihi kuna jambo ebu funguka vyema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…