Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Habari zenyu wataalam,
Nakuja kwenu kuomba ushauri na msaada wa changamoto inayonikabili miezi karibu sita sasa.
Nimekua nikishiriki tendo la ndoa na mademu tofauti tofauti, katika utofauti huo nimekutana na viji mambo mambo ya hovyo hovyo pamoja ya hayo nimechukulia ni tofauti za kimaumbile na makuzi.
Nimepata changamoto za kiafya ikiwa ni UTi na infection zingine za bacteria wanaombukizwa kwa njia za kujamiiana, kwakua hua na pima HIV pekee kujiridhisha na kuacha kupima STDs.
Sasa kinachonitokea sasa hivi nikutokusikia radha ya tendo la ndoa kiasi ya kwamba nimeacha kuomba tendo la ndoa kwa wanawake zangu mpaka wao watakapo force saana.
Nnapoelekea sioni faida ya kua na wanawake wala kufanya tendo la ndoa zaidi ya kukuaa single labda kujichua kama nikizidiwa saana. Hivyo naona ni jambo la hatari kwa mustakabali wa baadae,
Hivyo naomba msaada wenu tatizo ni nini na ni nini tiba yake.
Natanguliza shukrani🙏
Nakuja kwenu kuomba ushauri na msaada wa changamoto inayonikabili miezi karibu sita sasa.
Nimekua nikishiriki tendo la ndoa na mademu tofauti tofauti, katika utofauti huo nimekutana na viji mambo mambo ya hovyo hovyo pamoja ya hayo nimechukulia ni tofauti za kimaumbile na makuzi.
Nimepata changamoto za kiafya ikiwa ni UTi na infection zingine za bacteria wanaombukizwa kwa njia za kujamiiana, kwakua hua na pima HIV pekee kujiridhisha na kuacha kupima STDs.
Sasa kinachonitokea sasa hivi nikutokusikia radha ya tendo la ndoa kiasi ya kwamba nimeacha kuomba tendo la ndoa kwa wanawake zangu mpaka wao watakapo force saana.
Nnapoelekea sioni faida ya kua na wanawake wala kufanya tendo la ndoa zaidi ya kukuaa single labda kujichua kama nikizidiwa saana. Hivyo naona ni jambo la hatari kwa mustakabali wa baadae,
Hivyo naomba msaada wenu tatizo ni nini na ni nini tiba yake.
Natanguliza shukrani🙏