Msaada: Nimepoteza Ladha ya tendo la ndoa

Msaada: Nimepoteza Ladha ya tendo la ndoa

Habari zenyu wataalam,

Nakuja kwenu kuomba ushauri na msaada wa changamoto inayonikabili miezi karibu sita sasa.

Nimekua nikishiriki tendo la ndoa na mademu tofauti tofauti, katika utofauti huo nimekutana na viji mambo mambo ya hovyo hovyo pamoja ya hayo nimechukulia ni tofauti za kimaumbile na makuzi.

Nimepata changamoto za kiafya ikiwa ni UTi na infection zingine za bacteria wanaombukizwa kwa njia za kujamiiana, kwakua hua na pima HIV pekee kujiridhisha na kuacha kupima STDs.

Sasa kinachonitokea sasa hivi nikutokusikia radha ya tendo la ndoa kiasi ya kwamba nimeacha kuomba tendo la ndoa kwa wanawake zangu mpaka wao watakapo force saana.

Nnapoelekea sioni faida ya kua na wanawake wala kufanya tendo la ndoa zaidi ya kukuaa single labda kujichua kama nikizidiwa saana. Hivyo naona ni jambo la hatari kwa mustakabali wa baadae,

Hivyo naomba msaada wenu tatizo ni nini na ni nini tiba yake.

Natanguliza shukrani🙏
hakika,
huo ni uthibitisho kua tayari umeshakua mtu mzima sasa, vichocheo na ashiki za hovyo hovyo za kimwili vilivyokua vinanakuchochea kuwaza mademu, nyeto na tendo la ndoa vimeshuka chini....

viko standard sasa, hata ukiwa unatongoza mguu wa tatu hauna haja kusimama tofaut na zamani, ukianza kuzungumzia mbususu tu network mnara uko 5G, mpaka unaudhibiti kwa kuufunya kupitia mfuko wa suruali, dah aise!🐒

sasa tumia hiyo kukosa hamu na ladha ya mbususu, kama fursa ya kunconcentrate kwenye kazi na mambo yako muhimu katika kujitafuta kimaisha 🐒

ni miongoni mwa hali za mwili wa mwanadamu hasa mtu mzima kujitosheleza ingawa akili bado inakusukuma na kukulazimisha utafute mbususu 🐒
 
Habari zenyu wataalam,

Nakuja kwenu kuomba ushauri na msaada wa changamoto inayonikabili miezi karibu sita sasa.

Nimekua nikishiriki tendo la ndoa na mademu tofauti tofauti, katika utofauti huo nimekutana na viji mambo mambo ya hovyo hovyo pamoja ya hayo nimechukulia ni tofauti za kimaumbile na makuzi.

Nimepata changamoto za kiafya ikiwa ni UTi na infection zingine za bacteria wanaombukizwa kwa njia za kujamiiana, kwakua hua na pima HIV pekee kujiridhisha na kuacha kupima STDs.

Sasa kinachonitokea sasa hivi nikutokusikia radha ya tendo la ndoa kiasi ya kwamba nimeacha kuomba tendo la ndoa kwa wanawake zangu mpaka wao watakapo force saana.

Nnapoelekea sioni faida ya kua na wanawakej wala kufanya tendo la ndoa zaidi ya kukuaa single labda kujichua kama nikizi
Kama umeoa basi nadhani mke wako ni mchafu sio mstaarabu,mna ugomvi na mke wako wa mara Kwa mara,una mambo ndoto nyingi za kukamilisha lakini unashindwa kwasababu Haina uwezo,maisha yako yaweza kuwa ni mazuri lakini unamiss baadhi ya vitu unavyovihitaji,Haujiamini. Hakikisha usiwe na mpenzi mmoja,usinunue wanawake wanaojiuza ila ukiweza chukua sana mademu wabichi ambao nyeti zao zinabana sana uingie Kwa kusugua Hadi uhisi msuguano upo,fanya mara Kwa mara na uache punyeto. Ukipuuzia hii Hali kadri mda unavoenda utachanganyikiwa
 
hakika,
huo ni uthibitisho kua tayari umeshakua mtu mzima sasa, vichocheo na ashiki za hovyo hovyo za kimwili vilivyokua vinanakuchochea kuwaza mademu, nyeto na tendo la ndoa vimeshuka chini....

viko standard sasa, hata ukiwa unatongoza mguu wa tatu hauna haja kusimama tofaut na zamani, ukianza kuzungumzia mbususu tu network mnara uko 5G, mpaka unaudhibiti kwa kuufunya kupitia mfuko wa suruali, dah aise!🐒

sasa tumia hiyo kukosa hamu na ladha ya mbususu, kama fursa ya kunconcentrate kwenye kazi na mambo yako muhimu katika kujitafuta kimaisha 🐒

ni miongoni mwa hali za mwili wa mwanadamu hasa mtu mzima kujitosheleza ingawa akili bado inakusukuma na kukulazimisha utafute mbususu 🐒
Naona umenena kile kilichokua kimejificha ndani angu maana nilikua nahisi pengine ndio utuuzima huu... nashkuru saana
 
Naona umenena kile kilichokua kimejificha ndani angu maana nilikua nahisi pengine ndio utuuzima huu... nashkuru saana
na usiogope wala kubabaika lahasha...

kama ni suala la afya check tu kwajili ya kujihakikishia kwamba uko fit na kujiimarisha..

hamu, ashiki na ladha ya tendo itakuja tu automatic pale ambapo vichocheo vya mwili vilivyoshuka, vitakapojiimarisha tena baada ya kuupumzisha mwili na akili kuhusu mbususu, na kuanza tena kukuchochea kuanza kusaka mbususu kitaa , ila sasa itakua bila mchecheto kabisaaaa 🐒
 
Kama umeoa basi nadhani mke wako ni mchafu sio mstaarabu,mna ugomvi na mke wako wa mara Kwa mara,una mambo ndoto nyingi za kukamilisha lakini unashindwa kwasababu Haina uwezo,maisha yako yaweza kuwa ni mazuri lakini unamiss baadhi ya vitu unavyovihitaji,Haujiamini. Hakikisha usiwe na mpenzi mmoja,usinunue wanawake wanaojiuza ila ukiweza chukua sana mademu wabichi ambao nyeti zao zinabana sana uingie Kwa kusugua Hadi uhisi msuguano upo,fanya mara Kwa mara na uache punyeto. Ukipuuzia hii Hali kadri mda unavoenda utachanganyikiwa
Bahati mbaya sina mke ila katika swala la mademu wengi niliyonao ni mashangazi ki umri na maumbo, pia nimejaribu kwa wenye 20's bado naona hali iyo iyo??

Na kuhusiana na mazingira ya eneo husika kweli nayakuaga mengine yana changamoto
 
hakika,
huo ni uthibitisho kua tayari umeshakua mtu mzima sasa, vichocheo na ashiki za hovyo hovyo za kimwili vilivyokua vinanakuchochea kuwaza mademu, nyeto na tendo la ndoa vimeshuka chini....

viko standard sasa, hata ukiwa unatongoza mguu wa tatu hauna haja kusimama tofaut na zamani, ukianza kuzungumzia mbususu tu network mnara uko 5G, mpaka unaudhibiti kwa kuufunya kupitia mfuko wa suruali, dah aise!🐒

sasa tumia hiyo kukosa hamu na ladha ya mbususu, kama fursa ya kunconcentrate kwenye kazi na mambo yako muhimu katika kujitafuta kimaisha 🐒

ni miongoni mwa hali za mwili wa mwanadamu hasa mtu mzima kujitosheleza ingawa akili bado inakusukuma na kukulazimisha utafute mbususu 🐒
Nilitaka kuandika the same, kwakweli jamaa ameshakuwa mtu wa majukumu,
 
Mimi nadhani kuishiwa hamu(sio kukosa nguvu) inatokea kwa yoyote tu na sababu ni nyingi. Wakati mwingine umri nao unchangia huku sababu za kiuchumi pia zikiongeza tatizo.

Au labda nimwite Evelyn Salt yeye aseme alivyokuwa 20s na sasa (huenda?) 30s hali iko vile vile?🤣
 
Back
Top Bottom