ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Mchawi kibunda sio?hana kibunda 😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchawi kibunda sio?hana kibunda 😊
We mshamba tuuhana kibunda 😊
umepata psychological trauma ndio inayokutesa !! kutokana na madhara uliyoyapata unahitaji mwana psychology na unahitaj kuacha umalayaHabari zenyu wataalam,
Nakuja kwenu kuomba ushauri na msaada wa changamoto inayonikabili miezi karibu sita sasa.
Nimekua nikishiriki tendo la ndoa na mademu tofauti tofauti, katika utofauti huo nimekutana na viji mambo mambo ya hovyo hovyo pamoja ya hayo nimechukulia ni tofauti za kimaumbile na makuzi.
Nimepata changamoto za kiafya ikiwa ni UTi na infection zingine za bacteria wanaombukizwa kwa njia za kujamiiana, kwakua hua na pima HIV pekee kujiridhisha na kuacha kupima STDs.
Sasa kinachonitokea sasa hivi nikutokusikia radha ya tendo la ndoa kiasi ya kwamba nimeacha kuomba tendo la ndoa kwa wanawake zangu mpaka wao watakapo force saana.
Nnapoelekea sioni faida ya kua na wanawake wala kufanya tendo la ndoa zaidi ya kukuaa single labda kujichua kama nikizidiwa saana. Hivyo naona ni jambo la hatari kwa mustakabali wa baadae,
Hivyo naomba msaada wenu tatizo ni nini na ni nini tiba yake.
Natanguliza shukrani🙏
pumzika mahusiano, safiri badilisha eneoHabari zenyu wataalam,
Nakuja kwenu kuomba ushauri na msaada wa changamoto inayonikabili miezi karibu sita sasa.
Nimekua nikishiriki tendo la ndoa na mademu tofauti tofauti, katika utofauti huo nimekutana na viji mambo mambo ya hovyo hovyo pamoja ya hayo nimechukulia ni tofauti za kimaumbile na makuzi.
Nimepata changamoto za kiafya ikiwa ni UTi na infection zingine za bacteria wanaombukizwa kwa njia za kujamiiana, kwakua hua na pima HIV pekee kujiridhisha na kuacha kupima STDs.
Sasa kinachonitokea sasa hivi nikutokusikia radha ya tendo la ndoa kiasi ya kwamba nimeacha kuomba tendo la ndoa kwa wanawake zangu mpaka wao watakapo force saana.
Nnapoelekea sioni faida ya kua na wanawake wala kufanya tendo la ndoa zaidi ya kukuaa single labda kujichua kama nikizidiwa saana. Hivyo naona ni jambo la hatari kwa mustakabali wa baadae,
Hivyo naomba msaada wenu tatizo ni nini na ni nini tiba yake.
Natanguliza shukrani🙏
Mwaka mmoja mkuu , kuna tatizo mahali nenda hospitalHili jambo nilidhani ni mimi tu napitia lakini nahisi ni kitu hakipo sawa ..... Nina nguvu za kiume,nasimamisha fresh ninafanya mazoezi lakini inafika hatua sioni hamu ya mapenzi kabisa wala sitamani kufanya mapenzi mpaka sasa nina mwaka 1 na miezi sita sijawahi fanya mapenzi na pia sina hamu ya tendo kuhusu lishe nazingatia sana ...tena sana maji sana .... Kila asubuhi uume lazima usimame kwa nguvu kabisa kunikumbusha kuwa mimi ni nani lakini sina hamu na tendo wakuu na sijichui wala nini
inawezekana unapata mafunzo ya u padreHili jambo nilidhani ni mimi tu napitia lakini nahisi ni kitu hakipo sawa ..... Nina nguvu za kiume,nasimamisha fresh ninafanya mazoezi lakini inafika hatua sioni hamu ya mapenzi kabisa wala sitamani kufanya mapenzi mpaka sasa nina mwaka 1 na miezi sita sijawahi fanya mapenzi na pia sina hamu ya tendo kuhusu lishe nazingatia sana ...tena sana maji sana .... Kila asubuhi uume lazima usimame kwa nguvu kabisa kunikumbusha kuwa mimi ni nani lakini sina hamu na tendo wakuu na sijichui wala nini
Da Eve unataka ukampe tiba 😂😂😂Uko wapi.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inasimama nyuzi 90? Uji ukitoka husikii utamu au ikoje?
Njoo kwangu nna tiba yako, seriously.Hili jambo nilidhani ni mimi tu napitia lakini nahisi ni kitu hakipo sawa ..... Nina nguvu za kiume,nasimamisha fresh ninafanya mazoezi lakini inafika hatua sioni hamu ya mapenzi kabisa wala sitamani kufanya mapenzi mpaka sasa nina mwaka 1 na miezi sita sijawahi fanya mapenzi na pia sina hamu ya tendo kuhusu lishe nazingatia sana ...tena sana maji sana .... Kila asubuhi uume lazima usimame kwa nguvu kabisa kunikumbusha kuwa mimi ni nani lakini sina hamu na tendo wakuu na sijichui wala nini
Jambo kama hilo liliwahi kunipata mkuu. Nlichofanya mimi nlihama Njian(Lami) nkaamia rough road( Barabara ya Tope). Had leo nnafurahia maishaHabari zenyu wataalam,
Nakuja kwenu kuomba ushauri na msaada wa changamoto inayonikabili miezi karibu sita sasa.
Nimekua nikishiriki tendo la ndoa na mademu tofauti tofauti, katika utofauti huo nimekutana na viji mambo mambo ya hovyo hovyo pamoja ya hayo nimechukulia ni tofauti za kimaumbile na makuzi.
Nimepata changamoto za kiafya ikiwa ni UTi na infection zingine za bacteria wanaombukizwa kwa njia za kujamiiana, kwakua hua na pima HIV pekee kujiridhisha na kuacha kupima STDs.
Sasa kinachonitokea sasa hivi nikutokusikia radha ya tendo la ndoa kiasi ya kwamba nimeacha kuomba tendo la ndoa kwa wanawake zangu mpaka wao watakapo force saana.
Nnapoelekea sioni faida ya kua na wanawake wala kufanya tendo la ndoa zaidi ya kukuaa single labda kujichua kama nikizidiwa saana. Hivyo naona ni jambo la hatari kwa mustakabali wa baadae,
Hivyo naomba msaada wenu tatizo ni nini na ni nini tiba yake.
Natanguliza shukrani🙏
Nshajaribu nikaambulia maradhi na msongo wa mawazo na wala sijaona ladha yakeJambo kama hilo liliwahi kunipata mkuu. Nlichofanya mimi nlihama Njian(Lami) nkaamia rough road( Barabara ya Tope). Had leo nnafurahia maisha
Kote sawa ila kipengele cha hela nakataa...Kwa kawaida hakuna ladha ya tendo la ndoa ila Kuna raha inapatikana unapokuwa unamwaga ,
- yaani unapokuwa unafanya sio kama Kuna Radha hapana unasubr utamu wa kirere Cha mlima.
Sasa kwa maelezo yako inaonyesha Kuna infection umepata kupitia STDs hizo infection zimeharibu baadhi ya mifumo kinachotokea kwako ni kukosa hamu ya kushiriki tendo na sio huoni radha
Na ndio maana unakiri wewe mwenyewe kabisa hufanyi Hadi wakulazimishe
Nenda hospital tibiwa ,Fanya mazoezi , kula vizur kunywa maji Kwa wingi mwisho tafuta Hela , maana ukiwa huna Hela Hata hamu Huwa zinakata mdogo mdogo
utakuja na bandiko lingine hapa la umekuwa mchakataji kama zamani🙏
Hapo kwenye wanawake tofauti tifauti ndo tatizo. Ukitaka kugundua nini? Hadi ukapata magonjwa ya zinaa maana yake wewe ni zoazoaTatizo si kwa demu mmoja ni kwa madem tofauti na sipati hio ladha
Yaani ina maana wewe huli wali kila siku?Unanitia mashaka dada wa Njiro.Au ni figure of speech tu?Nyumbani kwenyewe ukila wali kila siku unakukifu. Tulia, jipe muda. Hizo ham zitarejea
Kweli mkuuMwaka mmoja mkuu , kuna tatizo mahali nenda hospital
📌Yaani ina maana wewe huli wali kila siku?Unanitia mashaka dada wa Njiro.Au ni figure of speech tu?