Msaada: Nimepoteza Ladha ya tendo la ndoa

umepata psychological trauma ndio inayokutesa !! kutokana na madhara uliyoyapata unahitaji mwana psychology na unahitaj kuacha umalaya
 
pumzika mahusiano, safiri badilisha eneo
 
Mwaka mmoja mkuu , kuna tatizo mahali nenda hospital
 
inawezekana unapata mafunzo ya u padre
 
Njoo kwangu nna tiba yako, seriously.
 
Jambo kama hilo liliwahi kunipata mkuu. Nlichofanya mimi nlihama Njian(Lami) nkaamia rough road( Barabara ya Tope). Had leo nnafurahia maisha
 
Kwa kawaida hakuna ladha ya tendo la ndoa ila Kuna raha inapatikana unapokuwa unamwaga ,

- yaani unapokuwa unafanya sio kama Kuna Radha hapana unasubr utamu wa kirere Cha mlima.

Sasa kwa maelezo yako inaonyesha Kuna infection umepata kupitia STDs hizo infection zimeharibu baadhi ya mifumo kinachotokea kwako ni kukosa hamu ya kushiriki tendo na sio huoni radha
Na ndio maana unakiri wewe mwenyewe kabisa hufanyi Hadi wakulazimishe
Nenda hospital tibiwa ,Fanya mazoezi , kula vizur kunywa maji Kwa wingi mwisho tafuta Hela , maana ukiwa huna Hela Hata hamu Huwa zinakata mdogo mdogo

utakuja na bandiko lingine hapa la umekuwa mchakataji kama zamani🙏
 
Jambo kama hilo liliwahi kunipata mkuu. Nlichofanya mimi nlihama Njian(Lami) nkaamia rough road( Barabara ya Tope). Had leo nnafurahia maisha
Nshajaribu nikaambulia maradhi na msongo wa mawazo na wala sijaona ladha yake
 
Kote sawa ila kipengele cha hela nakataa...
Infact nikiwa na hela huwa siwazi umalaya tofauti nikiwa sina na hili naona linatokea saa hizi
 
Nyumbani kwenyewe ukila wali kila siku unakukifu. Tulia, jipe muda. Hizo ham zitarejea
Yaani ina maana wewe huli wali kila siku?Unanitia mashaka dada wa Njiro.Au ni figure of speech tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…