Msaada: Nimewapa ujauzito wanawake wawili, nawapenda ila dini yangu hairuhusu kuwa na wake wawili

Kwa hiyo mwanamke akisafiri unabadilisha tu? Hauna Tofauti na ngombe au mbwa wanaokula mama zao.
 
Oa huyo S mkuu. Kuna sehemu nilisoma ukiwa na mchumba afu ukapata mwanamke mwingine ukawa confused uoe yupi muoe wa pili maana kama ungempenda wa kwanza ungeshatosheka naye usingetumbua macho kwa mwingine.

Tena zaidi kumwagia ndani. Mnapokojoa mnafikiriaga ni dagaa eti?? Mwanaume unapokojoa jua uko tayari kuzaa na uliemkojolea na mtoto akija uko tayari kumlea. Na unampenda huyo mwanamke mpaka umeamua kuzaa nae. Mkuu oa S achana na R utamuumiza mbeleni. R nakusikitikia sana
 
Fikiria haobwsnawake wangekuwa dada zako
 
Lovely ..wicked mate!!!
Wee jamaa mie naona tukupe urais wa chama letu la wanaume. Ni mwendo wa kuwazalisha tuu hapana kuoa. Wee hao wala wasikuoe presha. Ulisha wapa mimba hawana ujanja tena. Saka ndalama uweze kuwahudumia watoto na mama zao basi..
Nipe dada zako au binti zako niwazalishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…