Msaada: Nimewapa ujauzito wanawake wawili, nawapenda ila dini yangu hairuhusu kuwa na wake wawili

Msaada: Nimewapa ujauzito wanawake wawili, nawapenda ila dini yangu hairuhusu kuwa na wake wawili

Wakuu salamu natuamini mnaendelea na mapambano ya kila siku na mapambano ya Tozo. Samahani kwa uandishi wangu mimi sio expert sana wa kujielezea kwa maandishi.
Mwaka 2019..
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja, ambaye kwa muda huo ndo alikuwa main huyu tumuite R. Basi nilikuwa na mahusiano nayo kama miaka miwili hivi.. kufikia 2019 alihamishiwa mkoa fulan kwenye halmashauri fulan. Basi nikabaki kidume mwenyewe DSM ikaenda kama miezi sita.. basi kama ujuavyo upweke mbaya, nikaja kuwa na mazoea na binti fulani huyu tumuite S .. basi nkawa na mazoea mwisho wa siku yakawa mahusiano na huku R hajui hili wala lile.. kama Dec R akaomba likizo kuja DSM.

Sasa kwenye likizo yake 2020 akaja kujua nina mahusiano na S. Na ugomvi ukawa mkubwa wakaitakana huko na kutaka kuja kwangu kunifanyia fujo. Uzuri rafiki yangu alinitonya(huyu jamaa anaongea na R). Baada ya ugomvi si unajua tena wanaume kila sehem nkaenda kuomba msamaha na kumfanye amuone adui mwenzake (wazungu wansema divide and conqur) basi baada kuona hiyo inashindanyika nikamuacha R akarudi zake kazini. Mimi nkipambna na S..

Sasa kwa upande wa S nikaendela nae lakini huku nikimuwaza R.. sasa kuna kipindi mambo yakaja kuwa mabaya na nikatengana na S maana nae alisafiri.. nikaendelea na shughuli zangu..

2021
Nikakutana na R si unajua tena (kiporo hakihitaji moto mwingi) nkashangaa nimerudiana na R na mapenzI shamu shamu .. msamaha nkaomba na maisha yakaendelea..

2022 Feb
Mungu akatujalia R akashika ujauzito na nikawa najipanga kwaa ajili ya taratibu za kwenda kujitambulisha.. wakati nipo kwenye harakati za kuweka mambo sawa.. mara jion nashangaa txt iniangia kwenye simu yang, na alienitxt, S na tukaongea machache nkamsadia ya shida kuna sehem alikuwa amekwama kipesa.

2022 June
Sasa mama watoto wang future wife wakati yupo mkoani.. Bas mazoea na yule binti S yakawa kama yamerudi na kimasiraha, nikawa nimeshaweka na kipindi hicho amesema hakuwa na mtu, kiasi fulan hakuwa mtu wa mambo mengi na mimi ndo nilimzinguaga kipind kile..

Sasa juzi hapa kaja kwangu na kuniambia kuwa ana ujauzito wangu.. yaan kama nina watoto wawili wapo njiani.. na kwao pia nimeambiwa natakiwa niende nikajitambulishe..

Kiukwel wote nawapenda ila dini yangu hairuhusu kuwa na wake wawili.. Na hata kama zinaruhusu ila wao hawapatani.​
Kwa hiyo mwanamke akisafiri unabadilisha tu? Hauna Tofauti na ngombe au mbwa wanaokula mama zao.
 
Oa huyo S mkuu. Kuna sehemu nilisoma ukiwa na mchumba afu ukapata mwanamke mwingine ukawa confused uoe yupi muoe wa pili maana kama ungempenda wa kwanza ungeshatosheka naye usingetumbua macho kwa mwingine.

Tena zaidi kumwagia ndani. Mnapokojoa mnafikiriaga ni dagaa eti?? Mwanaume unapokojoa jua uko tayari kuzaa na uliemkojolea na mtoto akija uko tayari kumlea. Na unampenda huyo mwanamke mpaka umeamua kuzaa nae. Mkuu oa S achana na R utamuumiza mbeleni. R nakusikitikia sana
 
Wakuu salamu natuamini mnaendelea na mapambano ya kila siku na mapambano ya Tozo. Samahani kwa uandishi wangu mimi sio expert sana wa kujielezea kwa maandishi.
Mwaka 2019..
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja, ambaye kwa muda huo ndo alikuwa main huyu tumuite R. Basi nilikuwa na mahusiano nayo kama miaka miwili hivi.. kufikia 2019 alihamishiwa mkoa fulan kwenye halmashauri fulan. Basi nikabaki kidume mwenyewe DSM ikaenda kama miezi sita.. basi kama ujuavyo upweke mbaya, nikaja kuwa na mazoea na binti fulani huyu tumuite S .. basi nkawa na mazoea mwisho wa siku yakawa mahusiano na huku R hajui hili wala lile.. kama Dec R akaomba likizo kuja DSM.

Sasa kwenye likizo yake 2020 akaja kujua nina mahusiano na S. Na ugomvi ukawa mkubwa wakaitakana huko na kutaka kuja kwangu kunifanyia fujo. Uzuri rafiki yangu alinitonya(huyu jamaa anaongea na R). Baada ya ugomvi si unajua tena wanaume kila sehem nkaenda kuomba msamaha na kumfanye amuone adui mwenzake (wazungu wansema divide and conqur) basi baada kuona hiyo inashindanyika nikamuacha R akarudi zake kazini. Mimi nkipambna na S..

Sasa kwa upande wa S nikaendela nae lakini huku nikimuwaza R.. sasa kuna kipindi mambo yakaja kuwa mabaya na nikatengana na S maana nae alisafiri.. nikaendelea na shughuli zangu..

2021
Nikakutana na R si unajua tena (kiporo hakihitaji moto mwingi) nkashangaa nimerudiana na R na mapenzI shamu shamu .. msamaha nkaomba na maisha yakaendelea..

2022 Feb
Mungu akatujalia R akashika ujauzito na nikawa najipanga kwaa ajili ya taratibu za kwenda kujitambulisha.. wakati nipo kwenye harakati za kuweka mambo sawa.. mara jion nashangaa txt iniangia kwenye simu yang, na alienitxt, S na tukaongea machache nkamsadia ya shida kuna sehem alikuwa amekwama kipesa.

2022 June
Sasa mama watoto wang future wife wakati yupo mkoani.. Bas mazoea na yule binti S yakawa kama yamerudi na kimasiraha, nikawa nimeshaweka na kipindi hicho amesema hakuwa na mtu, kiasi fulan hakuwa mtu wa mambo mengi na mimi ndo nilimzinguaga kipind kile..

Sasa juzi hapa kaja kwangu na kuniambia kuwa ana ujauzito wangu.. yaan kama nina watoto wawili wapo njiani.. na kwao pia nimeambiwa natakiwa niende nikajitambulishe..

Kiukwel wote nawapenda ila dini yangu hairuhusu kuwa na wake wawili.. Na hata kama zinaruhusu ila wao hawapatani.​
Fikiria haobwsnawake wangekuwa dada zako
 
Lovely ..wicked mate!!!
Wee jamaa mie naona tukupe urais wa chama letu la wanaume. Ni mwendo wa kuwazalisha tuu hapana kuoa. Wee hao wala wasikuoe presha. Ulisha wapa mimba hawana ujanja tena. Saka ndalama uweze kuwahudumia watoto na mama zao basi..
Nipe dada zako au binti zako niwazalishe
 
Back
Top Bottom