Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

🙏🙏Thanks
 
Fanyia nauli tu iyo kawe winga kariakoo au trngeneza mifuko ya karatasi ile kauze kwa wapik chipusi
Mkuu sio kila mtu anaweza kuwa winga Kariakoo
Kumbuka sifa kuu ya kuwa winga Kariakoo uwe unaweza kumshawishi mteja
Mimi Nina ofisi pale kariakoo huwa naona mawinga wanavyoniletea wateja kwa bei ya juu kabisa tofauti na uhalisia
 
I
Inawezekana, mm kila siku laki natia kwenye kibubu na laki nyingine natupia kwenye M-PESA ,ikifika million naitupia bank, odds zangu 2 point au chini ya hapo.
Mkuu aanze na elfu 30 kweli mbona itakuwa noma aisee akipigwa anaanzia wapi ? Anarud kwenye zero sio ?
 
Duh..
Akidakwa?!
 
Agawe Mara tatu, anacheza ten consecutively, tatizo markets anazijua? Timu anazijua? Betting inataka uzoefu na mtaji mkubwa na usiwe na tamaa.
Sa si unaona kama jana sijalala nlimpa argentina alafu nikakandamiza sasa mpira hauchezwi wanapigana buti tu virugu mwanzo mwisho ni ngumi kwenda mbele yan daaah sijalala hata hapa nipo kibaruan nakimbia muda si mrefu niende nkalale nimechoka kinoma
 
Kesi hiyo
 
Nitumie picha Yako inbox nikuone unaweza pata fursa ya huba kwa hiyo ela Yako ukawekeza hapa kwangu kwa mahaba niue niteketeze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…