Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Ukiwa na Hela itasimama tu tafuta hela Tena hata mtoto anaweza bembeaMimi ni kijana miaka 26 nina tatzo la nguvu za kiume linanitesa sana mpaka nakosa raha, uume hausimami kabisa si asubuhi wala jioni yaani nashinda kuta nzima umelala hii kitu naogopa hata kuwa na demu maana nitamfanya nini zaidi ya kuaibika.
Nilikuwa mpiga nyeto ila now nimeacha msaada wenu tafadhali.
Hapo kabla sikuwahi kufanya mapenzi so sina uzoefu na wanawake kabisa.
Samahani mkuuTabia mbaya tu
Vitumie kama chakula na si dawa mfano tangawizi na asali tumia TU kama kinywaji hasa jioniVipi hivi vitu vya asili navoambiwa hapa nikitumia havitaleta shida?
Kumbe jirani yangu hebu tukutane nijue nakusaidiaje kijana.Tandale
Seriuosly!
Nunua vitu vifuatavyo:
1. Asali lita 1
2. Kitunguu swaumu 1
3. Kitungu maji 1
4. Tangawizi size ya dole gumba
5. Unga wa karafuu vijiko 3 vya chakula
6. Unga wa mdalasini vijiko 3 vya kula
Vitwange na changanya na asali.
Weka kwenye bakuli.
Tumia kijiko cha chai kimoja mara tatu kwa siku, yaani asubuhi kabla hujala, mchana na jioni kabla hujalala.
Kama unaona kero ya kunukia vitunguu swaumu, unaweza ukawa unakunywa usiku tu kabla ya kulala.
Pia usile vitu vya sukari nyingi, mafuta mengi, bali tumia sana karanga mbogamboga na vingine vya mizizi na asili.
Utapiga mashine sana yaani!
Kwa hiyo ukitwanga vitunguu maji na hiyo tangawizi maganda yanabakia kwenye huo mchanganyiko?Seriuosly!
Nunua vitu vifuatavyo:
1. Asali lita 1
2. Kitunguu swaumu 1
3. Kitungu maji 1
4. Tangawizi size ya dole gumba
5. Unga wa karafuu vijiko 3 vya chakula
6. Unga wa mdalasini vijiko 3 vya kula
Vitwange na changanya na asali.
Weka kwenye bakuli.
Tumia kijiko cha chai kimoja mara tatu kwa siku, yaani asubuhi kabla hujala, mchana na jioni kabla hujalala.
Kama unaona kero ya kunukia vitunguu swaumu, unaweza ukawa unakunywa usiku tu kabla ya kulala.
Pia usile vitu vya sukari nyingi, mafuta mengi, bali tumia sana karanga mbogamboga na vingine vya mizizi na asili.
Utapiga mashine sana yaani!
OkSamahani mkuu
Boss tangawizi humenywa kwa sababu ya maganda yake kuwa machafu.Kwa hiyo
Kwa hiyo ukitwanga vitunguu maji na hiyo tangawizi maganda yanabakia kwenye huo mchanganyiko?
Miaka 26 hudindishi? OLEWA TU sasa nduguMimi ni kijana miaka 26 nina tatzo la nguvu za kiume linanitesa sana mpaka nakosa raha, uume hausimami kabisa si asubuhi wala jioni yaani nashinda kuta nzima umelala hii kitu naogopa hata kuwa na demu maana nitamfanya nini zaidi ya kuaibika.
Nilikuwa mpiga nyeto ila now nimeacha msaada wenu tafadhali.
Hapo kabla sikuwahi kufanya mapenzi so sina uzoefu na wanawake kabisa.
Ahsante hii no fap ndio nimenza wiki hii leo siku ya 7Tafuna korosho na maziwa mgando glass moja kila siku bila kusahau tende za asali kwa wiki ukipata mara mbili sio mbaya ,jiunge na no fap challenge kwa mda wa miezi sita na mazoezi mepesi ni muhimu kwa afya zaidi.
Mazoezi ya Kegel yakoje?Kula tende na maziwa kila siku piga mazoezi ya kegel wiki moja uone.
Kama huwezi kumsaidia mtu, basi usimuumizeMiaka 26 hudindishi? OLEWA TU sasa ndugu
Hata vitunguu swaumu saga loweka kwenye maji kunywa maji yk hapo mtoto anabembeaVitumie kama chakula na si dawa mfano tangawizi na asali tumia TU kama kinywaji hasa jioni
Zaidi sana tembea ili kutoa nafasi ya moyo ku pump dam vizuri
Kwa umri huo kuto-dindisha unaona ni sawa? Vijana acheni punyeto na ushabiki wa CCM a.k.a uchawa, mtakwishaKama huwezi kumsaidia mtu, basi usimuumize
Pole sana. Dawa ipo na inapatikanaMimi ni kijana miaka 26 nina tatzo la nguvu za kiume linanitesa sana mpaka nakosa raha, uume hausimami kabisa si asubuhi wala jioni yaani nashinda kuta nzima umelala hii kitu naogopa hata kuwa na demu maana nitamfanya nini zaidi ya kuaibika.
Nilikuwa mpiga nyeto ila now nimeacha msaada wenu tafadhali.
Hapo kabla sikuwahi kufanya mapenzi so sina uzoefu na wanawake kabisa.
Anapiga huyo gia za Scania mixer yutongKupiga Mgalala bado unaupiga?
Kwa umri huo kuto-dindisha unaona ni sawa? Vijana acheni punyeto na ushabiki wa CCM a.k.a uchawa
Wewe utakua Lucas Mwashambwa unatumia id nyingine.
Mtiririko na Jinsi unavyojieleza Ni sawa na mdogo wangu wa Songwe mfuasi wa CCM asiye na kadi.