malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
- Thread starter
-
- #61
Niko tabora..dawa unatumia Kila baada ya miez6 kwa miaka mingapkama upo Kigoma njoo nikupe dawa itakusaidia japo inabidi kila baada ya miezi sita uwe unaitumia, ni dawa ya asili za kiarabu.
Inategemea na umri wako na kama una sukari inatakiwa uitumie for lifeNiko tabora..dawa unatumia Kila baada ya miez6 kwa miaka mingap
Sina sukariInategemea na umri wako na kama una sukari inatakiwa uitumie for life
Basi ukitumia kwa miezi sita mfululizo inaisha kabisaSina sukari
Umejaribu na kuchepuka? Mana sometimes ndani ya ndoa huwa unakuta ukipiga kimoja tu chali ila chepuka sasa, unapiga hadi goli 6Nilikua namumivu makali upande wakulia washingo joto Kali siwezi kulala mapigo yamoyo mwenda mbio kusweti..nlivoenda MNH nkachekiwa nkakutwa hormones ya t3 Iko high na tsh Iko below nkaambiwa nna hyperthyroidism..nkapewa dawa carbimazole nkatumia miez mitatu ...baada ya miez3
kuja kupima Tena MNH nkakuta t3,t4 ziko normal ila TSH Iko high Iko nkaambiwa dawa zimenirudisha to hypothyroidism ....so nkapunguziwa dozi nkatumia baada ya miez miwili kuja kupima TSH,t3,t4 zote zikaja normal ndo tangu nimepima imepita miez 2 nasiku15
Ila Hali ya kukosa nguvu imekuepo kipindi chote Kuna wakati nafanikiwa sex vizir wakati mwingne nafeli kabisa nahamu imekua Sina ya sex naweza kaa wiki3 nkasex mara moja Tena kwakusua sua sana inasimama ikiwa ukeni ilala
Surgery naskia ukiitoa thyroid ndo unaishiwa kabisa nguvu zakiume maana wanasema utakua low metabolism mda wore sababu huna tezi ya thyroidAngalia pia prolactin, nayo ikiwa juu Kwa mwanaume inasababisha ED.Pia hawajakupa option ya kufanya surgery kama inawezekana?
Natumia carbimazole bossKama unatumia levothyroxine tablets kaka itakusaidia chap sana
Hata hiyo sio mbaya,itakusaidia ila nimeshuhudia watu wanapona chap na levothyroxineNatumia carbimazole boss
Wao walikuaje na uvimbe kabisa au uvimbe ulikua Bado .naje wao walikua na hormones kuzalishwa nyingi au zilikua zinazalishwa kidgoHata hiyo sio mbaya,itakusaidia ila nimeshuhudia watu wanapona chap na levothyroxine
Prolactin ikiwa juu dawa yake ni nin na nin chakufanyaLevothyroxine is a drug of choice,na kila mtu naona anapewa hii.unaweza ongea na doctor akubadilishie.Lakini check na prolactin ndugu. hii nayo ikipanda Kwa mwanaume anakua na dalili kama zako exactly.
Asante kwa ushauri itabid nione madokta wangine sjui wahospital Gani maana niliona wamuhimbili mloganzilaCheck pia na vitu vingine,waone madoctor tofauti tofauti,usichoke.kati ya hao mmoja atakuja na solution.pia ongea na mkeo kuhusu tatizo akupe support then tatizo utaona dogo.tena wala atakua hakusumbui kuomba unyumba.wanawake waelewa sana.hiyo itakupunguzia kuwaza kuhusu kumtimizia haja yake na atakuchukulia kama mgonjwa na kukuondolea stress.Nakutakia upone.
Normal prolactin inatakiwa iwejeWanakupa dawa wengi najua wanapewa dawa Cabergoline inashusha prolactin levels to normal na unakua na nguvu kama kawaida tena.ila unatumia Kwa muda mrefu kidogo huku wakipunguza dose polepole mpaka pale watakapo ona haipandi Tena.
Hahahaaaa, umefukunyua mpaka umepata muda alioleta uzi.Unahitaji kutatua suala la akili (saikolojia) likae sawa. Hii ni mada yako ya 2021.
Msaada: Uume wangu unasimama kidogo sana nikiuweka ukeni unalala
Msaaada Kama kichwa habari kilivyoeleza hapo juu, Nina miaka 34, nimeoa na watoto wawili shida niliyonayo ni uume kusimama kidogo Sana na hata kabla ya kuuweka ukeni unalala na siwezi tena hata uume kustuka kusimama.www.jamiiforums.com
Ili kupima iyo prolactin natakiwa kuonana nadaktar anaehusika na nin hasaWanakupa dawa wengi najua wanapewa dawa Cabergoline inashusha prolactin levels to normal na unakua na nguvu kama kawaida tena.ila unatumia Kwa muda mrefu kidogo huku wakipunguza dose polepole mpaka pale watakapo ona haipandi Tena.
Sjakuelewa hapa mkuu unamaanisha ninHahahaaaa, umefukunyua mpaka umepata muda alioleta uzi.
Aakuwa anapapasa kwa mkono tu.
Tumpe pole.
That's how life is.
Mtu anawezahbe rewarded one thing and miss other side.
Every thing happened on earth has a purpose.
Pweza/ngisi kwa nguvu tafuna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa itabid niende Tena regency,aghakan,TMJ mkuu financial sio mbaya sana kote naweza kwendaSijui madoctor lakini wewe nenda zote kama financially uko vizuri,tmj,aghakan,sijui kairuki nenda kote.na Kwa kila doctor fanya kama unamwona for the first time na usimwambie kama ulishawaona madoctor wengine au uko kwenye treatment.kwasababu dhumuni ni kujua wao watadetect kama walichodetect wa mwanzo based on symptoms utakazowaambia.hivi Mimi ndo nafanyaga.sianzi treatment yeyote bila kuona madactari zaidi ya watatu hasa kikiwa na tatizo kubwa.Omba kuonana na endocrinologist. Huu ni ushauri wangu tu wala sio mtaalamu.
Soma tena kuna marekebisho. Huenda key board ya desk top iliyumba kidogo. Si unajua tena mitaa ya Rodeo Drive Berverly Hill kumechanganyia kinoma.Sjakuelewa hapa mkuu unamaanisha nin