malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
- Thread starter
-
- #81
Nguvu zimepungua zaid baada yakiwa na hili tatizo la THYROID niligundulika nna hyperthyroid baada yakuanza kutumia carbimazole miezi mitatu kurudi pima hospital hormones zingne zikarud normal zinnge zikawa high kwa nkaambiwa ungonjwa umerud to HYPOTHYROID due drugs Sasa hii thyroid ndo imeongeza shida ya nguvu zakiumePlease fanya hivyo kama unaweza,kwasababu issue hapa sio kukosa nguvu za kiume tu issue mfumo nzima wa mwili unaharibika,mwisho utakua unajiskia tu fatigue all the time, depressed, huwezi fanya KAZI zako za kawaida.maudhi yasio na mapango.maisha yanaweza kwenda south Kwa haraka sana.Nakutakia upone hata kupata nafuu tu.na hizo dawa ongea na Dr akubadilishie akupe hizo levothyroxine ujaribu.
Mkuu ntaifanya hiviPlease fanya hivyo kama unaweza,kwasababu issue hapa sio kukosa nguvu za kiume tu issue mfumo nzima wa mwili unaharibika,mwisho utakua unajiskia tu fatigue all the time, depressed, huwezi fanya KAZI zako za kawaida.maudhi yasio na mapango.maisha yanaweza kwenda south Kwa haraka sana.Nakutakia upone hata kupata nafuu tu.na hizo dawa ongea na Dr akubadilishie akupe hizo levothyroxine ujaribu.
Mkuu nimeelewaSoma tena kuna marekebisho. Huenda key board ya desk top iliyumba kidogo. Si unajua tena mitaa ya Rodeo Drive Berverly Hill kumechanganyia kinoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ukirud to hypothyroid inakuajeOne of the side effects za hyperthyroidism meds ni kupelekea kwenye hypothyroidism.na ndo kilichofanyika hapa.kwahiyo inabidi kuwa makini sana na hizi dose.ila utapona.magonjwa huwa yanapona taratibu sana.
Levothyroxine inatumika kama uzalishaji wa hormone ni mdogo sana(underreactive thyroid)Wao walikuaje na uvimbe kabisa au uvimbe ulikua Bado .naje wao walikua na hormones kuzalishwa nyingi au zilikua zinazalishwa kidgo
Nikweli kabisa levothyroxine hutumika kama hormones ziko kidogoLevothyroxine inatumika kama uzalishaji wa hormone ni mdogo sana(underreactive thyroid)
Na ndo tatizo lako,au kwako ipojeNikweli kabisa levothyroxine hutumika kama hormones ziko kidogo
Dahan
Sweetheart mawazo yako ni mazuri
Mim kwangu ilikua ni over reactive nkaanza dawaNa ndo tatizo lako,au kwako ipoje
Aaah okay ugua pole broMim kwangu ilikua ni over reactive nkaanza dawa
chaiMkuu hivi nikila vitasaidia maana nna ugonjwa thyroids hypor or hayper ambao umepelekea kuwa na upungufu wa nguvu zakiume
Alikusaidia ulikua unaugua ugonjwa ganiMcheck huyu dada alinisaidia na dawa zake Sasa ninamiaka 5 naendelea vizuri kabisa ninaafya 0692948695
Mtafute dkt Ben soy..0699254400. Nilikua na tatizo hilo na mshukuru Mungu kwa dawa zake nimesahau sasa.Habari wakuu msaada wenu tafdhali,
Nimekuwa na tatizo la thyroids miez 7 sasa niko katika dozi. Hali imepekea kupungua sana kwa nguvu za kiume yaani shemeji yenu nikimuandaa hali uume haujasimama.
Uume ukisimama ukiingia ukeni pampu nne imelaliemo uume unalala ndani ya uke.
Ni dokta wa hopital ganiMtafute dkt Ben soy..0699254400. Nilikua na tatizo hilo na mshukuru Mungu kwa dawa zake nimesahau sasa.
Mkuu me naomba msaada, nlienda kupima nikaambiwa t3 iko juu sana, walichek ultrasound ila wakasema tezi ziko normal size, ingawa mwenyewe naona kama upande mmoja umevimba, msaada nitumie dawa gani maana walinidirect niende kwa specialist wa hzo vtu ila bado uchumi haujakaa sawa [emoji17].Levothyroxine inatumika kama uzalishaji wa hormone ni mdogo sana(underreactive thyroid)
Mkuu kama t3 Iko juu hiyo ni overeactive na mim nilipimwa miez Saba iliyopita nkakutwa na t3 Iko juu nkaambiwa ni overeactive ngoja waje wataalamuMkuu me naomba msaada, nlienda kupima nikaambiwa t3 iko juu sana, walichek ultrasound ila wakasema tezi ziko normal size, ingawa mwenyewe naona kama upande mmoja umevimba, msaada nitumie dawa gani maana walinidirect niende kwa specialist wa hzo vtu ila bado uchumi haujakaa sawa [emoji17].