Msaada: Nyoka Mkali anazunguka Mazingira ya Nyumbani

Kwanza poleni kwa majaribu kisha ondoeni hofu,huyo nyoka atakufa mwenyewe ndani ya siku zisizozidi tano, amini usiamini nyoka hawezi kuishi na jeraha na kwakua alishajeruhiwa na Paka na akanyofolewa ngozi mpaka kutokwa na damu basi hana maisha tena huyo. Jiandaeni kuokota mzoga.
 
Nyoka kwa kuku hasogei labda wa kizungu, kuku anaua nyoka! Choma Tyre mwaga disel. Mmefanya kosa kubwa kuhama mmempa utulivu na nafasi ya kutafuta makazi yake vizuri.
Inategemeana na ukubwa wa nyoka mwenyewe, siyo kila nyoka ni Mnyenge kwa nyoka.
 
tafuta oil chafu au mafuta ya taa mwaga au nenda duka la madawa ya mifugo na wanyama,kuna dawa zenye asili ya baruti yenye unga ukimwaga nyoka hasogei anaungua tumbo
 
Nashauri wakuu msiue nyoka. Ni moja ya viumbe wanaosaidia kutuepusha na magonjwa na uharibifu wa mali na mazao.

Ni pest controllers.

Pia sio kila nyoka ana sumu kuna wengine ni nyoka wa nyumbani tu (house snakes) hawana madhara. Kama unamjua unaweza kumkamata na ukamtoa nje ya nyumba (uwe na uhakika 100% lakini).

Kama huna uhakika au kama unajua ni nyoka sumu jaribu kuwasiliana na maliasili walipo karibu watakuja kumtoa.
 
Watu wengi wanaokaa porini wanasema ukitaka kuuwa na kufukuza nyoka kwenye mazingira yako, tumia mafuta ya samuli, zungusha eneo husika akipita hapo anakatika vipande vipande, au weka mafuta ya samuli kwenye taili washa Moto hile harufu inaenda mbali sana na nyoka watasogea mbali sana.
 
Kamata panya mmoja hapo ndani umrushie huko nje....
 
Uckute uyo nyoka ni koboko(blackmamba). Mkuu fuga nguchiro.
 
Kumbuka nyoka alimtapeli Eva, huenda ni mambo ya ulimwengu wa roho.
 

Ukisoma ili ukosoe ndo kinachotokea hiki.mtoto aligongwa kwenye kiatu
 
Nyoka wahaina gan? mwambie ande kwenye maduka ya asili anunue dawa inaitwa kibiliti upele af haichome harufu yake inafukuza wadudu
 
Kama ni black mamba mtaimba kazi mnayo nyoka hatar sana yule akiku ng'ata akwepeshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…