Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

Something is wrong here!
Yaani kabisa mwanaume unakuja kutulalamikia kwa issue ya wanawake?

Eti umelipa 500,000 yaani umeishi na amekufanyia yoote hayo ukiwa Gerezani halafu unaolala!

Fanya hivi sisi wanaume, hata tukioa wanawake wawili wawili hatuwezi kumaliza idadi ya yao.

Mbona wanawake wamejaa tele aisee, tafuta pesa kisha opoa mwanamke mwingine...

Kingine usithubutu kwenda kulala kwenye nyumba ya mwanamke hata siku moja, wana maneno matamu sana hao waone hivyo hivyo na ni wasiri mno na mikono yao ni mifupi
 
Wakati nimemtembelea kwake nkataka kujua why anaishi mwenyewe?!! Ndo akasema nlikua na mtu Ila tumeachana miaka 2 Sasa Niko peke yangu

Ulifata nini nyumbani kwa mwanamke?
 
Umepima magonjwa ya zinaa? Mshukuru Mungu wako kisha endelea na maisha yako
 
wewe piga kazi siku akija kukuomba hela hakikisha una mla kwa hasira akiomba hela lazima akitoe halafu endelea na maisha mengine tena siku hiyo unapiga show ya uhakika
 

Hahahah....dah!!!
 
Ila huyo Mwanamke naamini ipo siku atarudi tu, hawa Viumbe hawa mh!!!
 
Ila huyo Mwanamke naamini ipo siku atarudi tu, hawa Viumbe hawa mh!!!
Ni sahihi wengi wameniambia hivyo , nataka akirudi niwe nimeshamtoa moyoni!! Ibaki nimuumize na mm moyo au nimpige chini tu! Sitakia arudi nkiwa bado nampenda naomba Sana hilo
 
Ni sahihi wengi wameniambia hivyo , nataka akirudi niwe nimeshamtoa moyoni!! Ibaki nimuumize na mm moyo au nimpige chini tu! Sitakia arudi nkiwa bado nampenda naomba Sana hilo
Pole sana Mkuu kaza Moyo Mtoto wa kiume songa mbele
 
Achana nae kwa sasa mkuu, wanawake hawapendi kunyenyekewa na mwanaume hata kidogo(sio kubembeleza ila kunyeyekea!!)

Ko kausha kwa sasa.
 
Achana nae kwa sasa mkuu, wanawake hawapendi kunyenyekewa na mwanaume hata kidogo(sio kubembeleza ila kunyeyekea!!)

Ko kausha kwa sasa.
Ndicho nlichofanya Ila akijichanganya arejeshe uhusiano ntatumia mbinu z deppond ntalipa kisasi kibaya Sana Cha mapenzi
 
Mkuu ulipaswa kuota mbawa au kutafuta chimbo jipya pale ulipomkuta akikunkanyagia kwa X wake maana penzi lilisha rudi hukupaswa kuuliza eti unamtaka nan
 
Mkuu ulipaswa kuota mbawa au kutafuta chimbo jipya pale ulipomkuta akikunkanyagia kwa X wake maana penzi lilisha rudi hukupaswa kuuliza eti unamtaka nan
Hapo nlikua nshachelewa sikua na ujanja wa kuota mbaya si ndo maana nkakimbilia humu kwa waungwana kupata faraja!! Kipindi Cha nyuma ndo ningeota mbawa Ila nkafanya mistake nkarudi baada ya kua amesema tuachane
 
UPDATE!!!! kwa ushauri mlionipa humu wajuzi wa mambo , kinachoendelea saa hii Ni habari nyingine
 
Seems you are my bro ila ndugu afya yako, maisha yako ni muhimu sana , for the sake of your healthy please achana na huyo endelea na maisha yako japo ni ngumu si suala la mara moja , jichanganye mda mwingi na marafiki wazuri kama unao, chagua kitu unakipenda sana , kifanye hata mara mbili au zaidi kwa siku , change your mobile number, then pray for your God most of the time , hakika utanikumbuka .

Evening.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…