Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

😂😂😂😂 Hii story nzuri ila uandishi ndio unachekesha
 
Urudi tena gerezani kwa sababu ya gharama?

Gharama gani ulimnunulia sayari?


Otherwise pesa hutafutwa


Pia red flag zilikuwepo mapema hukuzizingatia

Achaba nae

Pesa hutafutwa
Basi mm nkaamua kukaa kimya Ila Mara kwa mara akawa ananichokonoa kwa msg na simu akitaka tuonane, na mm nkajaa maana niwe mkweli nlijikuta nampenda Sana huyu mwanamke!! Juzi nkampigia simu hakupokea na sio kawaida yake , meseji hajibu nkasema huyu labda atakua na mwanaume ndani ! Nkaenda kwake kufika dirishani nkakuta anaongea na Yule x wake kwa simu ananisengenya na kuniongelea vibaya!! Nkamwambia fungua mlango na kweli akafungua tukiwa ndani nkamuhoji Kama anataka kuendelea na mm au anarudi kwa x wake akasema ananitaka Mimi!! Basi ukatokea ugomvi Kati yangu na yeye na asubuhi akaita watu wazima tukasuluhisha , jioni hii Nimempigia simu kapokea yule x wake Ila kaongea kistaraabu tukamaliza , baadae nlipopiga Tena akapokea mwanamke akasema bwana yangu ameenda kazini ,namsubiria aje tulale Mimi nlikua na wewe sababu ya shida tu!! Nikihesabu garama na muda ambao nimeuwekeza kwake afu Leo anakuja kunilipa jeuri nakosa Raha kabisa hapa najiuliza nimfamye Nini huyu mwanamke?? Na nitoke vipi kwenye hii Hali niliyonayo maana roho Inaumia Sana , nahisi nlikutana nae naweza kufanya tukio baya maana amenifanyia usaliti mkubwa Sana


Nawasilisha wakuu naombeni ushauri wenu
 
Mkuu muda uliokutana na huyo mwanamke wala sio mrefu kiasi cha kusema umevurugwa, ushaachwa hivyo achika. unasema umewekeza lakini kwenye stori ako hakuna sehemu umesema umewekeza zaidi ya kumsaidia akiwa na matatizo ambalo ni jambo jema binadamu kusaidiana.
Mkuu Ni story. Ndefu nimeacha mengine nkajua ntayakuta kwenye maswli na ufafanuzi!! Mm kuaxhwa nimekubali mbali na huo msaad nliompa pia Kuna vingi tu nimemfanyia kwa huo muda mfupi nilikutana nae,! Kibaya aliniaminisha Hadi nkamtambulisha kwa wazazi na yeye akanitambulisha kwao kumbe alikua na lake moyoni!! Sijamkosea kitu na imekua gafla sana
 
Atakutafuta uyu mwanamke na x wake wanapendana ila awaishi kugombana baada ya miez kazaa watagombana na atakurudia ww kwa kuendelea na unajimu huu nitafutie jina la mama yake uyo binti niendelea kunajimu
Hili linaweza kuwa sahihi!! Juzi na Jana nimeenda kwake sijui hata ingekuaje Ni Mungu alinusuru,
 
Kijana wachuchu wapo bwerereeeee, katika maisha jifunze kusogea mbele pale mpenzi anapokata kamba...

Kuna makosa uliyofanya, mosi, ni wewe kukubali kwenda kuishi kwa mwanamke badala ya yeye kukaa kwako...

Pili, ni pale ulipoanza kuona X wake anaanza kufanya fujo, ulipaswa umpige chini bi mkubwa kwamba huwezi kuwa naye hadi amalizane na mtu wake...
 
Siku aliposema usije tena kwake ndio siku ambayo ulitakiwa kukata mawasiliano nae! Wrong move na umetumika vibaya kweli mzee sina la ziada zaidi ya kukupa pole sana😅

Sikuingine usimuamini mwanamke hata kidogo. Hata kama ulimkuta ametundikiwa dripu usimuamini mwanamke ever! Mwanamke akikupa mbunye piga tu ila usimuweke sana akilini.
Kweli kabisa yani siku hiyo ndo ilibidi ajue kuwa analiwa
 
Yani mwanamke anaweza fanya uenjoy maisha sana lakini mwanamke huyo huyo anaweza vuruga maisha yako yote ni swala la kuSnap tu Paap.... Haya yote ni matokeo ya kumwamini na kudhani bila yeye maisha yako hayaendi

Move On mkuu
 
Tafuta hela mkuu,mzigo umekuka miezi 11 laki tano yako imeisha ,tafuta hela
 
Hili linaweza kuwa sahihi!! Juzi na Jana nimeenda kwake sijui hata ingekuaje Ni Mungu alinusuru,
Hukujifunza kwa ile kesi ya uhujumu uchumi? Naona kama unapenda sana majengo ya serikali. Unapata hasara gani ukimuacha afurahie maisha kwa msaada wako uliompatia? Ichukulie kama sadaka na furahia kuona hao wawili wakifurahi sababu yako.
 
Siku aliposema usije tena kwake ndio siku ambayo ulitakiwa kukata mawasiliano nae! Wrong move na umetumika vibaya kweli mzee sina la ziada zaidi ya kukupa pole sana[emoji28]

Sikuingine usimuamini mwanamke hata kidogo. Hata kama ulimkuta ametundikiwa dripu usimuamini mwanamke ever! Mwanamke akikupa mbunye piga tu ila usimuweke sana akilini.
Huwa nikisomaga coment zako mjuba huwa unatuliza akili hukurupuki
 
Basi mm nkaamua kukaa kimya Ila Mara kwa mara akawa ananichokonoa kwa msg na simu akitaka tuonane, na mm nkajaa maana niwe mkweli nlijikuta nampenda Sana huyu mwanamke!! Juzi nkampigia simu hakupokea na sio kawaida yake , meseji hajibu nkasema huyu labda atakua na mwanaume ndani ! Nkaenda kwake kufika dirishani nkakuta anaongea na Yule x wake kwa simu ananisengenya na kuniongelea vibaya!! Nkamwambia fungua mlango na kweli akafungua tukiwa ndani nkamuhoji Kama anataka kuendelea na mm au anarudi kwa x wake akasema ananitaka Mimi!! Basi ukatokea ugomvi Kati yangu na yeye na asubuhi akaita watu wazima tukasuluhisha , jioni hii Nimempigia simu kapokea yule x wake Ila kaongea kistaraabu tukamaliza , baadae nlipopiga Tena akapokea mwanamke akasema bwana yangu ameenda kazini ,namsubiria aje tulale Mimi nlikua na wewe sababu ya shida tu!! Nikihesabu garama na muda ambao nimeuwekeza kwake afu Leo anakuja kunilipa jeuri nakosa Raha kabisa hapa najiuliza nimfamye Nini huyu mwanamke?? Na nitoke vipi kwenye hii Hali niliyonayo maana roho Inaumia Sana , nahisi nlikutana nae naweza kufanya tukio baya maana amenifanyia usaliti mkubwa Sana


Nawasilisha wakuu naombeni ushauri wenu
piga chini bro, move on
 
Back
Top Bottom