Msaada tafadhali: Nitumie njia gani kumsaidia Mtoto wangu ambaye ni mzito kidogo kuelewa Shuleni (Slow learner)?

Msaada tafadhali: Nitumie njia gani kumsaidia Mtoto wangu ambaye ni mzito kidogo kuelewa Shuleni (Slow learner)?

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Mtoto wangu sio Mjinga ila ana changamoto tu ya kuwa 'Slow' kwenye kuelewa Masomo yake jambo ambalo kidogo linaleta changamoto kwenye Ufaulu wake na kwasasa inamfanya ajisikie vibaya pia kwani anajiona kuwa tofauti na wenzake

Msaada nifanyeje hapa jamani ili kumsaidia mwanangu (yupo Shule ya Msingi)

Asanteni
 
Nenda nae taratibu. Wakati unamfundisha usimjazie mambo mengiii kwa wakati mmoja yaani pawe na pumziko kati ya somo moja na jingine. kabla hujaanza kitu kipya rudia kwa kifupi kile cha awali. Awe na muda wa kupumzisha akili na mwili. Usiache kumuombea wakati mwingine vipepo navyo havikai mbali.
 
Nenda nae taratibu. Wakati unamfundisha usimjazie mambo mengiii kwa wakati mmoja yaani pawe na pumziko kati ya somo moja na jingine. kabla hujaanza kitu kipya rudia kwa kifupi kile cha awali. Awe na muda wa kupumzisha akili na mwili. Usiache kumuombea wakati mwingine vipepo navyo havikai mbali.
Nitazingatia hili. Shukrani sana
 
Hivi huwa nawapa Watoto wangu wakiwa wadogo baada ya hapo huwa siendelei tena. Si ndio vinaitwa Omega 3. Labda nijaribu tena awe anatumia
Ndio jaribu hivo madam..
Kingine kuwa na mtindo wa kumwekea katuni zile za kingeleza au weeknd nzima baad ya kazi mfosi awe anaangali katuni..
Sio zile za akili akili.
Hapana ni katuni za kina ben ten au tom na jerry..

Aangalie hzo na kila siku uwe unamwambia akusimulie alicho kiona
 
Ndio jaribu hivo madam..
Kingine kuwa na mtindo wa kumwekea katuni zile za kingeleza au weeknd nzima baad ya kazi mfosi awe anaangali katuni..
Sio zile za akili akili.
Hapana ni katuni za kina ben ten au tom na jerry..

Aangalie hzo na kila siku uwe unamwambia akusimulie alicho kiona
Oooooh nitajaribu na hiyo ya Katuni
 
Mtoto wangu sio Mjinga ila ana changamoto tu ya kuwa 'Slow' kwenye kuelewa Masomo yake jambo ambalo kidogo linaleta changamoto kwenye Ufaulu wake na kwasasa inamfanya ajisikie vibaya pia kwani anajiona kuwa tofauti na wenzake

Msaada nifanyeje hapa jamani ili kumsaidia mwanangu (yupo Shule ya Msingi)

Asanteni
Mwache tu akifika sekondari atakuwa wa moto hautaamini
 
Back
Top Bottom