Imemchanganya kisaikolojia pia kumbuka hormonal imbalance sasa hivi, muonee huruma labda kwenda kwao itasaidia lakini ongea na mama yake amshauri asiitoe hiyo mimba.Anasema anatamani aende kwao sababu mimi namsumbua kilamara napenda kumuomba unyumba.
Kuhusu uaminifu nikweli huwa sipendi kuzurura hovyo, namuheshimu, ilasasa naanza kujilaumu kwamba labda ningechepukatuu kutokana na lawama anazonijazia na kilio juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapanamkuu it's serious ensue.Mkuu mbona una haraka sana au ndio kuitikia wito Wa Rais Wa Kufyatua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha kumnyonyesha huyo mtoto Mara moja mtafutie maziwa Yale ya watoto nenda kwenye maduka yanakopatikana maziwa hayo lkn sio umpe yale ya nido au cowbell yapo maalum,na hapo madaktari wengi watakushauri endelea kumnyonyesha walau asogee mwaka mmoja kama haumuitaji mtoto wasikilize mnyonyeshe,Mimi wa kwangu ilinitokea akiwa na miezi saba nikawasiliza aliendelea kunyonya ndani ya wiki mbili aliharisha kwa muda mrefu na kikadhoofu tulimuachisha ikagharimu miezi miezi si chini ya mitatu akalikava na sasa ana miaka 2 na miezi 6 yuko poa ila atakuwa na usumbufu kidogo wa kiafya kutokana na kukosa maziwa ya mama ila wangu nilimpa maziwa ya ng'ombe mepesi kwa kunywaNi bahati nzuri tu mkuu mkeo aendelee kumnyonyesha mtoto kama atapenda. Matatizo yanakuja mtoto mpya anapozaliwa au morning sickness zinapozidi mnasahau kuwa huyu bado ni mtoto na anahitaji mapenzi.
Hata kama mkeo anakuhitaji jitahidi kuwa na muda na dogo hata mwingine akizaliwa
Asante kwa kunitia moyo natamani nimuonyeshe mawazoyenu humu labda yata mtia moyo na kukubali hiihali lakini kwajinsi alivyo cool saizi sijui namuanzaje.Usijaribu kutoa hiyo mimba,
hilo ni swala la kawaida
mimba ya pili uwa inawahi
mimi ilinitokea,wala hatukuita bahati mbaya
ila tulitafuta ushauri wa kidaktari
ukiwaona hao watoto wetu utadhani mapacha.
wanapendeza,hivyo na wewe waone madaktari utavuka salama.
Amina ubarikiwe ndugu.Tafdhali mtoa mada nakusihi zungumza na mkeo, msitoe mimba bali muilee. Mpeleke kwa wanasaikolojia wakae naye na wamweleze kuwa inawezekana. Pia jitahidi kumwonesha mapenzi ya ziada zaidi ya awali ili ajue uko pamoja naye. Kingine ni kwamba jaribu kumsahaulisha kwa kupeleka katika sehemu tofauti na mazingira ya nyumbani walau kwa muda tu. Mkiwa huko mweleze jinsi unavompenda na kumthamini. Mwambie kile kiumbe kijacho kutafanya makubwa hapa duniani na mambo mengine mengi. I'm sure atakuelewa na mtaendelea kuwalea wanenu wote wawili. Mungu awe nanyi katika yote.
Kabayeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli wazo lakwanza lililonijia nikutoa na najaribu kuona kama nikitoa itakuwa na madhara kwa mtoto au laa, nawaza tu njianzuri ambayo haita mletea madhara mama, sababu mtoto badomdogo sana ndiomana na jaribu kuomba ushauri na kueleza ninachowaza Mimi.una yako tu! na ushakuja na jibu lakuitoa bas hapa unatuona tunakupigia kelele! kilala heri
Pyjama
Asante kwa ushauri mzuri nitafanyia kazi.Imemchanganya kisaikolojia pia kumbuka hormonal imbalance sasa hivi, muonee huruma labda kwenda kwao itasaidia lakini ongea na mama yake amshauri asiitoe hiyo mimba.
You are a man and she is your wife, don't be ashamed. All the best mkuu.Asante kwa ushauri mzuri nitafanyia kazi.
Nitamwambia dadaake aongeenae but, wakijua it's a little bit shame, siendi ukweni for the moment.
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muanze tu na mbembelezee tu kama ulivyokuwa unambembelezaa ageuke upige mzigoAsante kwa kunitia moyo natamani nimuonyeshe mawazoyenu humu labda yata mtia moyo na kukubali hiihali lakini kwajinsi alivyo cool saizi sijui namuanzaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajuaje au unataka umwambie akisha zaliwa hizo ni hadithiii xdhani kama kuna mama atamwambie mwanae nilitaka kukutoa baba ako alikatazaa atakuwa zeroooo huyo mamaSiku mtoto anakuja kujua Baba na Mama yake walitaka kumflash.