Msaada tunaomba Mhe. Paul Makonda atusaidie, Kampuni ya Jog imechukua fedha za wawekezaji

Msaada tunaomba Mhe. Paul Makonda atusaidie, Kampuni ya Jog imechukua fedha za wawekezaji

Hata hivyo mna moyo sana. Usawa huu wa magu mnatoa 9m kirahisi rahisi kwa jina la uwekezaji? Mlishafika kufhakiki mashamba kabla hamjawekeza? Naiona QNET nyingine hapa, kupitia ninyi


Wengi wetu tulikuwa tayari na mashamba na mitaji lakini hatukuwa na utaalamu pamoja na masoko. Tulipoenda kuomba huduma ya consultancy ndio tukapewa huo mradi tukaona labda utafaa na masharti yao lazima walime wao ili kudhibiti ubora.

Tulienda hadi shambani Mkuranga kijiji cha Kimazichana na tulikuta matrekta na excavators ziko site zinangóa visiki pamoja na vibarua wengi tu.

Mara ya mwisho kwenye kikao na Mkurugenzi Grace Mzoo tuliambia kuwa anasafiri ili kwenda kutafuta pesa ya kuturudishia lakini tulivyofuatilia huyu mama yupo Dar na anaonekana Kanisani Anglican Church Ukonga. Ndio tukaona hapa tunaibiwa. Tukipiga simu hazipokelewi, Ofisini wameweka namba za simu zilezile

Asante
 
Wengi wetu tulikuwa tayari na mashamba na mitaji lakini hatukuwa na utaalamu pamoja na masoko. Tulipoenda kuomba huduma ya consultancy ndio tukapewa huo mradi tukaona labda utafaa na masharti yao lazima walime wao ili kudhibiti ubora.

Tulienda hadi shambani Mkuranga kijiji cha Kimazichana na tulikuta matrekta na excavators ziko site zinangóa visiki pamoja na vibarua wengi tu...
Poleni mkuu,

Kwa kuwa huyo Mzoo kaonekana Dar, basi sukeni mpango mumkamate. Tumieni pesa kuweka watu wa ku trace alipo mumsake.
Ushauri wangu, mashamba yapo kibao, lima mwenyewe na simamia mwenyewe.

Inagharimu sana muda na rasilimali, lakini angalau ni salama kwako na pesa yako kwa sababu shoo nzima unasimamia mwenyewe!
 
Ukiitwa firsan ujue wewe ndio fursa MTU kirahis tu unatoa m9 kwa kauli za motivational speaker

Ungefuatilia kwanza kujua hyo kampun imewah Fanya mrad gan mkubwa au was kat na ikafanikiwa...


Nashukuru kwa ujumbe.

Lakini pia ninapoleta hapa jamvini kumbuka hata kama mimi sitapata haki yangu au kusikilizwa nitakuwa nimewasaidia hata wengine ambao pengine kampuni hii imeanza kuwatapeli.

Kumbuka Mkurugenzi mmojawapo Jackson Bwire alienda Clouds kutangaza kampuni wakati tayari sisi tumeanza kuibiwa. Hii itasaidia hata watu wa vyombo vya habari kuingia ndani zaidi kuwafuatilia watu wanaotumia vyombo vyao kutangaza kitu ambacho kumbe ni utapeli.


Lakini Pia sisi yametukuta wakati wenzetu wa Papai Phase1 na wengine wa Green Beans wameshalizwa na Kampuni hii. Kama hawa wenzetu wangeshtuka mapema na kupiga kelele watu tusingeendelea kuibiwa.
Asante
 
Yale yale ya Namaingo yani watz ni mazuzu wanaibiwa kijinga sana sana sijui watu uwa hawareason. Na mtu akiw kwenye harakati za kuwekeza huku ukimshauri anakuona mchawi

Asante
 
Ingekuwa yule mkuu wa mkoa wa Dodoma ingekuwa faster tu,namuelewa sana yule,


Kwa kweli Mungu atusaidie tu kwenye hili. Wengine walipunguzwa kazi hela wakaweka huku, wengine ni wamama wastaaafu
 
Hawa watu ni watu hatari kwa tulivyosikia. Nimesikia pia wana kesi Arusha ya Green Beans lakini pia kuna kundi lingine la Papai Phase1 wanahangaika kutafuta kurudishiwa pesa yao. Wanatumia wanasheria nguli na ukizingatia watu wengi pesa imeenda hofu kuwa hata Mwanasheria wa hawa walalamikaji anaweza aka-collude na Mwanasheria wa Kampuni ili kuchelewesha na pengine kutopata haki kabisa...
Mnachotakiwa kwanza muungane wote kwa pamoja mliopigwa..then mfungue kesi. Sidhani kama haki yenu mtakosa.
 
Hivi jamani hapa JF mbinu za kukwepa utapeli tunazofundishana hapa bado wapo watu wanapigwa kirahisi hivyo;
-Itapeli wa Kufuga Sungura baada ya kuuziwa mbegu kwa Mamilioni -Dsm

-Utapeli wa Kilimo cha Nyoka Bagamoyo ili baadae wanunue Vernom - Pwani, wahanga walijengewa mabanda na kuuziwa mbegu kwa bei ya Harrier.

-Utapeli wa Ufugaji wa Kwale ili baadae mayai yanunuliwe - Dsm.

- Utapeli wa Kilimo cha Matikiti Maji kule Mwanza tikitimaji lenye Kg 30 ili baadae liuzwe Ubelgiji na France, mbegu, Mbolea nk viliuzwa kwa bei ya Kufuru - Mwanza.

-Ufugaji wa Mende - Dsm
Dili zoooote hizo watu wamelizwa na kuachwa kwenye mataaa.

- Sasa Utapeli wa Mapapai! bado hamjifunzi tu jamani, tunachoka kuwapa pole kwa ujinga wenu. Mada za Utapeli wooote huo hapo juu ziko hapa jamvini, huyo tapeli anaanzaje kwa mfano.
 
Hivi jamani hapa JF mbinu za kukwepa utapeli tunazofundishana hapa bado wapo watu wanapigwa kirahisi hivyo;
-Itapeli wa Kufuga Sungura baada ya kuuziwa mbegu kwa Mamilioni -Dsm...
Asante
 
Yani kila siku tunasema humu kuhusu huu upuzi yani wabongo sijui wapoje kama ma...ku vile mtu una milioni tisa unashindwa kulima mwenyewe hadi ulimiwe ibiweni mana akili hamna kwny bichwa vyenu kenge nyie
 
Wengi wetu tulikuwa tayari na mashamba na mitaji lakini hatukuwa na utaalamu pamoja na masoko. Tulipoenda kuomba huduma ya consultancy ndio tukapewa huo mradi tukaona labda utafaa na masharti yao lazima walime wao ili kudhibiti ubora.

Tulienda hadi shambani Mkuranga kijiji cha Kimazichana na tulikuta matrekta na excavators ziko site zinangóa visiki pamoja na vibarua wengi tu.

Mara ya mwisho kwenye kikao na Mkurugenzi Grace Mzoo tuliambia kuwa anasafiri ili kwenda kutafuta pesa ya kuturudishia lakini tulivyofuatilia huyu mama yupo Dar na anaonekana Kanisani Anglican Church Ukonga. Ndio tukaona hapa tunaibiwa. Tukipiga simu hazipokelewi, Ofisini wameweka namba za simu zilezile

Asante
Kumbe mnajua yuko wapi; kamateni muweke ndani.

semper fidelis
 
Poleni mkuu,
Kwa kuwa huyo Mzoo kaonekana Dar, basi sukeni mpango mumkamate. Tumieni pesa kuweka watu wa ku trace alipo mumsake.
Ushauri wangu, mashamba yapo kibao, lima mwenyewe na simamia mwenyewe. Inagharimu sana muda na rasilimali, lakini angalau ni salama kwako na pesa yako kwa sababu shoo nzima unasimamia mwenyewe!


Asante sana.

Kumkamata mtu pia inahitaji msaada ukiona mpaka tumekuja hapa jamvini mambo yamesuasua mahali fulani ndugu yangu.

Nashukuru kwa ushauri wako
 
Ndugu zangu,

Naamini hapa jamvini watu wa aina mbalimbali na nyeti wanasoma jumbe hizi.

Kampuni ya Jog Agri-Consult & Solutiions (T) Ltd chini ya wakurugenzi wake Grace Mzoo (Mkurugenzi Mtendaji) pamoja na Jackson Bwire pamoja na Mhasibu wao Cecilia Bukukura imechukua pesa za wawekezaji wa Papai tangu mwaka 2017-2018...
Umenikumbusha na wale waliokuwa wanahamasisha ufugaji wa sungura na kilimo cha majani ya kunde
 
Yani kila siku tunasema humu kuhusu huu upuzi yani wabongo sijui wapoje kama ma...ku vile mtu una milioni tisa unashindwa kulima mwenyewe hadi ulimiwe ibiweni mana akili hamna kwny bichwa vyenu kenge nyie


Nashukuru kwa majibu yako ndugu yangu!
 
Kumbe mnajua yuko wapi; kamateni muweke ndani.

semper fidelis


Asante.

Hii nayo inahitaji msaada manake sisi hatuwezi kumkamata mtu. Ukiona tumemwaga jamvini kuna mahali tunakwama mkuu.

Nashukuru sana!
 
Back
Top Bottom