Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Anonymous Id kwako ni Known Id kwanguMi huwa najiuliza all that for what?
Pamoja na anonymity ya JF lakini bado wanahitaji new IDs?
Halafu unakuja kupanga kukutana na such a person. Utarudi bila kengele *****.
Anzisha uzi kuhusu hizo kura tujadili mkuu Omusolopogasi
Hapa hoja ilikua moja na mimi nilitoa mchango kwa yule aliyechoka kudanga
HakikaNamshukuru Mungu injili yangu imeanza kusikika na kufanya kazi .
Dada zangu fanyeni kazi.Pesa za mwanaume ni utumwa na hazikupeleki popote
AminaMleta mada mimi nakuombea ufanikiwe.
Naaamini bado kuna watu wema humu watakaokusaidia.
Mnajifanya watakatifu pale tu inapowapendeza. Jumapili wa kwanza kupokea mkate na divai huku mme-clap mikono mbele kuonyesha unyenyekevu feki. Baada ya hapo mnawinda wenzenu kama wanyama wa kuliwa!! Mnatetea wezi wa chaguzi na nyie wenyewe kuhusika. Ni nini tofauti ya dhambi hiyo na ile ya kudanga?
Yaani kuuza kiungo cha uzazi....
Mume hautaki?Wakubwa zangu shikamooni wenzangu habari zenu wote poleni na majukumu.
Wapendwa naombeni msaada wenu tafadhali Mimi ni mama wa mtoto mmoja ninalea mwenyewe kutokana na ugumu wa maisha katika pilika pilika za kulea nimejikuta napita mambo mengi mno ndugu zangu yani imefikia kipindi nimedanga sana lakini kiukweli sijaona faida yoyote ndio kwanza ni kama nazidisha majanga.
Back to the point ndugu zangu naombeni mnisaidie kazi niweze kujikimu au hata mtaji tu najua mnaweza uliza kwanini nimekuja hapa ila kiukweli msaada unaweza pata popote naamini kupitia humu naweza saidiwa pia ninawaomba ndugu zangu mnisaidie hali ni tete sana.
Yes.Anonymous Id kwako ni Known Id kwangu
Ukiona mtu anabadili Id , ujue kashachafua sehemu
Sent using Jamii Forums mobile app
Una hakika gani ni mdada au ni tapeli? Dunia nyingine hii, tena usikute unayesema tumsaidie ndo wewe hiyo hiyo Kwa ID tofautiMkuu Asprin kwema? Ukiwa kama kaka mkubwa na mkongwe humu ndani jitahidi ummshike mkono huyo dada yetu na uhakikishe unamvusha ng'ambo ya pili kama Musa aliyoyafanya kwa wanawaisrael. Baada ya wewe kufa basi mimi nitashika hicho kijiti kama ambavyo Joshua na Kaleb walivyokuwa.
Just be genuine, hakuna mtu perfect.
We each have our own demons.
Unasemaje hapanaHapana
AminaPole sana Mungu akusaidie kwa changamoto uliyonayo.
Sawa nakuja inboxUko wapi, una umri gani na baba wa mtoto yuko wapi? Njoo dm kama huwez kujibu hapa