- Thread starter
- #61
AsantePole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsantePole
Kwani huwezi msaidia mtu mpaka ujue baba mtoto wake aliko? Besides, ameshasema analea mwenyewe.Baba mtoto yupo ama kafa ukijibu hili swali kwa ufasaha kuna sehemu nitakuelekeza uende
Acha tu, Usikute na yeye anataka awe danga wa huyu dada.Kwani huwezi msaidia mtu mpaka ujue baba mtoto wake aliko? Besides, ameshasema analea mwenyewe.
AsantePole mkuu,All will be well.
Ni sawa na kufanya umalaya au?Kudanga ni kutafuta maisha kwa kuwa na wanaume wengi wanao kuhudumia...
Sihitaji kuyajua mengi.Unataka franga ngapi ndugu ili tugawane umasikini?Wakubwa zangu shikamooni wenzangu habari zenu wote poleni na majukumu.
Wapendwa naombeni msaada wenu tafadhali Mimi ni mama wa mtoto mmoja ninalea mwenyewe kutokana na ugumu wa maisha katika pilika pilika za kulea nimejikuta napita mambo mengi mno ndugu zangu yani imefikia kipindi nimedanga sana lakini kiukweli sijaona faida yoyote ndio kwanza ni kama nazidisha majanga.
Back to the point ndugu zangu naombeni mnisaidie kazi niweze kujikimu au hata mtaji tu najua mnaweza uliza kwanini nimekuja hapa ila kiukweli msaada unaweza pata popote naamini kupitia humu naweza saidiwa pia ninawaomba ndugu zangu mnisaidie hali ni tete sana.
Najaribu kukutumia message inbox inafeli naomba unicheki inboxSihitaji kuyajua mengi.Unataka franga ngapi ndugu ili tugawane umasikini?
Kichocheo cha umalaya ni hulka, kichocheo cha udangaji ni ukosefu wa fursa🐒Ni sawa na kufanya umalaya au?
AsanteDada pole sana.... nmehis maumiv yako
Unaishi Tanzania Mkoa gani, Wilaya gani, una uzoefu wa kazi gani?Asante
Ndo yale yale ya kudanga ambayo mleta mada kayachoka, hakuna msaada hapoTatizo misaada mingi ya wanaume lazima iambatane na tendo la shukrani
Kukodisha haki uzwagiYaani kuuza kiungo cha uzazi....
AsantePole sana mkuu.
Hakiuzi maana anabaki nacho, sema anatumia kiungo cha uzazi kutafutiaYaani kuuza kiungo cha uzazi....