Msaada wa AirBags wakati wa Ajali

Msaada wa AirBags wakati wa Ajali

G.T.L

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2012
Posts
1,254
Reaction score
2,519
Wakuu, naomba kuuliza ni lini hapa Tanzania mmeshuhudia Ajali ya gari either ya kugongana uso kwa uso or Gari kugonga sehemu kama Mti au daraja na Dereva na abiria wakaokolewa na hizi Airbags kwenye magari yetu?

Binafsi naona hizi Airbags hazina msaada wowote kwa magari yetu haya Second hand maana nimeshuhudia ajali nyingi za Mgongano zimeua watu mara nyingi bila hata kuonekana kama kuna Airbags zilifunguka.


RRONDO
 

Attachments

  • downloadfile-5.png
    downloadfile-5.png
    553.5 KB · Views: 4
Utakuwa ulishuhudia gari ambazo hazina Airbags. Mimi nimeona picha nyingi sana mtandaoni za ajari hapa Tz airbags zimetoka Japo ni chache abiria amepona. Nafikili sababu ya uwepo wa Airbags ni kukulinda kama umevaa pia seat belt na ajari ni ya kawaida Sasa ajari zetu unakuta USO kwa USO tena ist na fuso hapa Airbags hazikutengenezwa zikuokoe maana body yote ya IST Iko chini ya engine ya fuso
 
Utakuwa ulishuhudia gari ambazo hazina Airbags. Mimi nimeona picha nyingi sana mtandaoni za ajari hapa Tz
Upo sahihi mkuu hata me nimeona baadhi ya ajali kuna airbags zilikua released baada ya ajali, lakini kwanini ajali karibia zote nilizoshuhudia hakuna waliopona kwa kuwa Rescued na hizi Airbags?
 
Wakuu, naomba kuuliza ni lini hapa Tanzania mmeshuhudia Ajali ya gari either ya kugongana uso kwa uso or Gari kugonga sehemu kama Mti au daraja na Dereva na abiria wakaokolewa na hizi Airbags kwenye magari yetu?

Binafsi naona hizi Airbags hazina msaada wowote kwa magari yetu haya Second hand maana nimeshuhudia ajali nyingi za Mgongano zimeua watu mara nyingi bila hata kuonekana kama kuna Airbags zilifunguka.


RRONDO
Airbags hufanya kazi kwenye gari ambazo hazijawahi kupata ajali, kwenye gari mitumba tumia mikono yako kuzuia ulimi wako usimwagike.
 
Airbags hufanya kazi kwenye gari ambazo hazijawahi kupata ajali, kwenye gari mitumba tumia mikono yako kuzuia ulimi wako usimwagike.
Hahahahahaha!
Air bags kwa ajali zetu hizi Tanzania V8 au subaru inapiga mzinga uso kwa uso na basi au lori la mafuta ,gari yenyewe inakunjwa inakuwa ndogo kama toroli. Sijaona msaada wa airbags kwenye ajali yoyote Tanzania.

Zitolewe tuu mkuu...
Alafu watuweekee kwa boda boda
Bodaboda si mmewekewa Hadi Helmet za chuma mkuu
 
Njoo sasa mkuu ukae siti ya abiria pembeni yangu alafu tutoke nduki 140kph tukagonge Caravat tuone kama Airbags za pande zote zinafanya kazi sawia
Jaribu peke Yako kwanza jaribio la kwanza kugonga Hilo caravat Mimi nitapanda kama abiria jaribio la pili kama inshallah umetoka salama kwenye Hilo jaribio la kwanza
 
Wakuu, naomba kuuliza ni lini hapa Tanzania mmeshuhudia Ajali ya gari either ya kugongana uso kwa uso or Gari kugonga sehemu kama Mti au daraja na Dereva na abiria wakaokolewa na hizi Airbags kwenye magari yetu?

Binafsi naona hizi Airbags hazina msaada wowote kwa magari yetu haya Second hand maana nimeshuhudia ajali nyingi za Mgongano zimeua watu mara nyingi bila hata kuonekana kama kuna Airbags zilifunguka.


RRONDO
Ajali nyingi za viongozi wa serikali na kisiasa huwa zimepangwa.....
🤗🤗😷😷
 
Back
Top Bottom