Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
🤣🤣🤣kwenye gari mitumba tumia mikono yako kuzuia ulimi usimwagike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣kwenye gari mitumba tumia mikono yako kuzuia ulimi usimwagike
Mie niliingia na benz mtaroni nikiwa na c series isingekuwa mungu na earbags nadhani mpka sasa ningekuwa na miaka 5 chini ya udongoWakuu, naomba kuuliza ni lini hapa Tanzania mmeshuhudia Ajali ya gari either ya kugongana uso kwa uso or Gari kugonga sehemu kama Mti au daraja na Dereva na abiria wakaokolewa na hizi Airbags kwenye magari yetu?
Binafsi naona hizi Airbags hazina msaada wowote kwa magari yetu haya Second hand maana nimeshuhudia ajali nyingi za Mgongano zimeua watu mara nyingi bila hata kuonekana kama kuna Airbags zilifunguka.
RRONDO
Ndugu zetu wa European Cars wanasemaje?Utakuwa ulishuhudia gari ambazo hazina Airbags. Mimi nimeona picha nyingi sana mtandaoni za ajari hapa Tz airbags zimetoka Japo ni chache abiria amepona. Nafikili sababu ya uwepo wa Airbags ni kukulinda kama umevaa pia seat belt na ajari ni ya kawaida Sasa ajari zetu unakuta USO kwa USO tena ist na fuso hapa Airbags hazikutengenezwa zikuokoe maana body yote ya IST Iko chibi ya engine ya fuso
Usimjaribu Bwana Mungu wako!Kwa Nini tuandikie mate wakati wino upo?
Chukua gari Yako yenye airbag endesha Kwa Kasi gonga mti halafu tuletee mrejesho wa airbag
Hivi ikishafumuka huwa spare zipo? Au ndio kuanzia hapo roho mkononi? Halafu hii kitu pamoja na umuhimu wake sijawahi kuona trafiki wakifuatilia!Ndugu zetu wa European Cars wanasemaje?
hasa BMW little crush linafumua airbag
Little crush u una maana gani? Ukiona airbag imetoka ujue impact imefikia kiwango cha kutoa airbag.Ndugu zetu wa European Cars wanasemaje?
hasa BMW little crush linafumua airbag
Hivi ikishafumuka huwa spare zipo? Au ndio kuanzia hapo roho mkononi? Halafu hii kitu pamoja na umuhimu wake sijawahi kuona trafiki wakifuatilia!
Helmet not elementElement azitoshi mkuu
Za wazungu zikiguswa kidogo tu zimefumukaLittle crush u una maana gani? Ukiona airbag imetoka ujue impact imefikia kiwango cha kutoa airbag.
Crown yangu ilipigwa ubavuni hadi control arms za nyuma zikakatika hakuna hata airbag moja imetoka kuna gari hapo? Yaani Crown haina airbag milangoni,haina airbag kwenye door pillars wala kwenye viti! Acha tuendeshe gari za mzungu at least kuna ka dhamana.
Traffic wanafuatilia siti belt iliyopo kisheria.Hivi ikishafumuka huwa spare zipo? Au ndio kuanzia hapo roho mkononi? Halafu hii kitu pamoja na umuhimu wake sijawahi kuona trafiki wakifuatilia!
Natamani kujua pia?Nataka kuuliza , je siti ya nyuma au katikati kwenye gari kama v8 inaweza kuwa safe seat wakati wa crash kama head to head colition? Nimewaza labda yule ras wa kilimanjaro alepata ajali na suka wake angekaa siti ya nyuma pale labda chance of survival ingekuwepo.
Viongozi wa kibongo wanapenda kukaa mbele. sijui kwa niniNataka kuuliza , je siti ya nyuma au katikati kwenye gari kama v8 inaweza kuwa safe seat wakati wa crash kama head to head colition? Nimewaza labda yule ras wa kilimanjaro alepata ajali na suka wake angekaa siti ya nyuma pale labda chance of survival ingekuwepo.
Kwahiyo mkuu kwa ushauri wako european ziko mkao zaidi? hapa nipo kwenye equilibrium kati ya forester ya 2013-2015 na VW Tiguan ya 2013-2015 nichukue ipi? Safari zangu itakua Masaki - Dege [Kigamboni] budget ya fuel ni 600K na provision ya maintanance ni 300k monthly.Little crush u una maana gani? Ukiona airbag imetoka ujue impact imefikia kiwango cha kutoa airbag.
Crown yangu ilipigwa ubavuni hadi control arms za nyuma zikakatika hakuna hata airbag moja imetoka kuna gari hapo? Yaani Crown haina airbag milangoni,haina airbag kwenye door pillars wala kwenye viti! Acha tuendeshe gari za mzungu at least kuna ka dhamana.
Impact ni kubwa. Kama nilivoandika hapo juu unakuta ka IST kapo uvunguni mwa fuso, unakumbuka ajali ya maunda zorro ?Upo sahihi mkuu hata me nimeona baadhi ya ajali kuna airbags zilikua released baada ya ajali, lakini kwanini ajali karibia zote nilizoshuhudia hakuna waliopona kwa kuwa Rescued na hizi Airbags?
surely . Hata wale unknown assailants waliotaka ku muondoa lisu , target za risasi zililenga siti ya mbele Maana walijua.Viongozi wa kibongo wanapenda kukaa mbele. sijui kwa nini
Sio salama kivilesurely . Hata wale unknown assailants waliotaka ku muondoa lisu , target za risasi zililenga siti ya mbele Maana walijua.
Kati ya vitu ambavyo haviwi tested ni airbag; usually testing zake ni kwenye tukio halisi!Unaweza kuagiza hata used. Mfano ya steering wheel unanunua kile kidude kizima cha katikati kinakuja na airbag.
Jamaa yangu alibamiza harrier yake ikaisha mbele airbag zikamwokoa...aliitengeneza na baada ya hapo akauza...walioinunua wasahau airbag wakati wa ajaliWakuu, naomba kuuliza ni lini hapa Tanzania mmeshuhudia Ajali ya gari either ya kugongana uso kwa uso or Gari kugonga sehemu kama Mti au daraja na Dereva na abiria wakaokolewa na hizi Airbags kwenye magari yetu?
Binafsi naona hizi Airbags hazina msaada wowote kwa magari yetu haya Second hand maana nimeshuhudia ajali nyingi za Mgongano zimeua watu mara nyingi bila hata kuonekana kama kuna Airbags zilifunguka.
RRONDO