Acha Hizo wewe Prado mpya ya serikali inaparamia mvunguni mwa Roli anakufa dereva na bosi Unasema ilipangwaAjali nyingi za viongozi wa serikali na kisiasa huwa zimepangwa.....
π€π€π·π·
Heh!!ππAcha Hizo wewe Prado ya serikali inaparamia mvunguni.mwa Roli anakufa dereva na bosi Unasema ilipangwa
π³π³π³Kwahiyo na ile ya RAS wa Kilimanjaro ilipangwa mkuu?
Kama alifunga mkanda na bounce si kiasi hichoooo..unapona.Upo sahihi mkuu hata me nimeona baadhi ya ajali kuna airbags zilikua released baada ya ajali, lakini kwanini ajali karibia zote nilizoshuhudia hakuna waliopona kwa kuwa Rescued na hizi Airbags?
Element azitoshi mkuuHahahahahaha!
Bodaboda si mmewekewa Hadi Helmet za chuma mkuu
Sensa ya airbag ipo kwenye seatbelt. IkiwaNimewahiI kumvaa ng'ombe highway na sikuona hayo madude yakifumuka,naona watu wanajificha kwenye Fuso
Kwa case yangu mchawi labda sensor,nisingefunga mkanda,ningetoka na kioo cha mbele.Sensa ya airbag ipo kwenye seatbelt. Ikiwa
sensa imeharibika,
haujafunga mkanda,
sensa haijapata msukumo wa kutosha wa kuhisi hatari
haiwezi kufumua airbag.
Jambo la kwanza hakikisha umefunga mkanda
Kanuni za matumizi ya helimeti ni kuwa ukipata nayo ajali haitakiwi kutumika tena, bongo tunatumia tena na tena na tena mpaka inachoka na kufanana na kifaru cha jeshi.Hahahahahaha!
Bodaboda si mmewekewa Hadi Helmet za chuma mkuu
Ikitoka tu lazima ibadilishwe