UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Kumbe kufanyana kinyume na maumbile ni sehemu ya haki ya watu kuishi? Mie nilikuwa sijui!Kinachomsumbua ni kunyima wenzake haki ya kuishi
View: https://x.com/SecPompeo/status/1223307597194854400?t=vBaHjT6IbfiCf0oo6Pa5Uw&s=19View attachment 3173131
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwamba makonda ana maisha kuliko mkurugenz mstaaf wa CIA na mstaaf wa mambo ya nje wa USA.😳😳MNAJUA KUDANGANYA NAFSI ZENU.Mtu unaandika vitu huku nafsi inakusuta kisa uchawa💩💩💩💩💩💩💩dah,
haya maisha bana ni fumbo kubwa sana,
yaani Pompeo hana ajira anazurura tu mtaani, Makonda anapeta tu serikalini
Unaandika ujinga na unataka tuamini?💩💩ndo walimaanisha hivyo?Kumbe kufanyana kinyume na maumbile ni sehemu ya haki ya watu kuishi? Mie nilikuwa sijui!
Haki alizodhulumu zinamtesa.Marekani si walisema ana nyima watu haki ya kuishi tena aliyesema ni waziri wa mambo ya nje na aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa CIA
Mwanangu uko serious?dah,
haya maisha bana ni fumbo kubwa sana,
yaani Pompeo hana ajira anazurura tu mtaani, Makonda anapeta tu serikalini
Haya basi ngoja tukuamini wewe unayeandika upumbavuA
Unaandika ujinga na unataka tuamini?💩💩ndo walimaanisha hivyo?
Gentleman,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwamba makonda ana maisha kuliko mkurugenz mstaaf wa CIA na mstaaf wa mambo ya nje wa USA.😳😳MNAJUA KUDANGANYA NAFSI ZENU.Mtu unaandika vitu huku nafsi inakusuta kisa uchawa💩💩💩💩💩💩💩
hapa anayetakiwa kuombewa ni wewe ambae,hukumsikiliza makonda anaongea nini,usikurupuke kuandika kitu bila kufanya tafakuri ya kinaKama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.
Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.
Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?
Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?
Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?
Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?
Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Yaani aue watu sababu ya madaraka kisha ajifanye anaitisha maombi? Watu wajinga ndio hukubali hadaa za maombi ya waficha uovu.Sasa kosa lake nini hapo hata kama anajutia hayo unayoyasema maovu, Mimi naona ni bora huyu anayejitahidi hata kuwakutanisha watanzania kumuomba Mungu pamoja kisha kuondoka na amani mioyoni. Makonda ni mbunifu wa mambo mema, na baadhi ya mikoa mingine wanatamani angekuwa mkuu wao wa mkoa.
Samia anajidhalilisha sana kwa huyu kijana! Karne hii bado Tanzania tuna viongozi kaliba ya hawa wenye minyoo ya vichwa 😂😂😂😀.Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.
Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.
Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?
Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?
Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?
Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?
Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Duh, pole sana ndugu yangu. Sio wewe ila ni huko CCM mnakoambiwa 🧠 weka pale kabatini!nilikwambia lakini kwamba jamaa hana ajira,
anachokifanya Pompeo ni sawa na alichokua anakifanya Makonda baada ya kupumzika ukuu wa mkoa wa DAR,
RC ni mtu mwingine kabisa saivi na ana ajira ya uhakika huku akiwatumikia wananchi kwa bidii, kizalendo na kwa weledi wa kiwango cha juu sana, bila kujivuna wala kumuonea mtu mwingine.
ila pompeo mpaka aitwe kwenye kuzungumza ni kama warioba tu
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana na umebakiza hatua chache uwe kichaanilikwambia lakini kwamba jamaa hana ajira,
anachokifanya Pompeo ni sawa na alichokua anakifanya Makonda baada ya kupumzika ukuu wa mkoa wa DAR,
RC ni mtu mwingine kabisa saivi na ana ajira ya uhakika huku akiwatumikia wananchi kwa bidii, kizalendo na kwa weledi wa kiwango cha juu sana, bila kujivuna wala kumuonea mtu mwingine.
ila pompeo mpaka aitwe kwenye kuzungumza ni kama warioba tu
Aisee! Nimeisoma hii mpaka nimetamani nimtag yeye mwenyewe, wapambe wake, viongozi wa dini kama Mwamposa, Mzee Pengo nk.Nimeajaribu kulitazama lile tukio, honestly limenishangaza sana...
Ni wazi kuwa bado kiburi kinamsumbua. Hataki kufuata utaratibu sahihi wa ki - Mungu ktk kutengeneza mambo yake. Hataki kuubeba msalabani na kisha ndipo amfuate Yesu Kristo. Huyu ana roho ngumu ya kama Yuda Iskaroite au Mfalme Farao wa Misri...
Mathalani kama Paul Makonda ni Mkristo kwelikweli, ni kitu gani kinamshinda kwenda kwa mchungaji wa kanisa lake anakoabudia kila siku na kumweleza kila kitu juu ya matatizo yake kiroho na kisha apewe maelekezo ya namna ya kutua mzigo aliobeba? Asifikiri kwamba dhambi zake ni kubwa na nzito sana kiasi kwamba hazisameheki. La hasha Mungu anasamehe makosa yote hata kama aliua kweli. Anachotaka Mungu ni moyo uliopondeka na mnyenyekevu mbele zake. Hapendi kiburi na watu wenye kujikweza na kujikinai wenyewe....
Anapaswa kufanya kama mfalme Ahabu alivyofanya. Nabii Isaya alipompa ujumbe wa Mungu juu ya makosa yake na adhabu ya kifo iliyokuwa mbele yake, alochofanya mfalme ni kugeukia ukutani, kutubu kwa machozi kwa moyo wa dhati kabisa...
Mfalme Ahabu hakuwa na kiburi cha ujinga kama alichonacho Makonda bali alikuwa mnyenyekevu na mwenye moyo wa toba ya kweli.....
Mungu aliouona huo moyo wa toba wa mfalme Ahabu na kumsamehe na kuifuta adhabu iliyokuwa mbele yake na kumpa miaka 15 zaidi ya kuishi na kuendelea kuwa mfalme wa Israel na Yuda...
Makonda ukimwangalia tu na ukisikiliza kauli zake, unajua moja kwa moja kuwa huyu ni kiongozi mtu mnafiki, mwenye kiburi na asiye na unyenyekevu hata kidogo. Huyu ana roho ya Farao ndani yake na ndiyo inayomsumbua....
Kwenda hapo mbele ya kadamnasi na kujifanya kulia na kutoa machozi sio njia sahihi ya kutengeneza mambo yake...
Mungu anamsubiri tu. Anataka aone moyo wa unyenyekevu na wa toba. Bado haupo kwake na inashangaza hawa viongozi wa dini wanakosa macho ya kiroho kuona matatizo ya huyu ndugu ili wampe njia sahihi za kutengeneza mambo yake...
Huyu kama hatasimama hadharani mbele ya Watanzania wote na kuomba msamaha na specifically kuwaomba msamaha watu wote aliowaumiza kama Tundu Lissu, Mzee Joseph Warioba, Mch Josephat Gwajima na wengine, basi hataweza kuutua mzigo mzito alioubeba ndani ya nafsi yake...!!
Akili yako inakuambia Warioba ana njaa kama yako?Gentleman,
pompeo ana tofauti gani na warioba?🐒
Kila utetezi utakaopewa wewe unauamini?Kumbe kufanyana kinyume na maumbile ni sehemu ya haki ya watu kuishi? Mie nilikuwa sijui!
ana babaika na nini sasa si atulie kama pompeo sasa? tamaa, wivu na chuki dhidi ya serikali sikivu ya CCM vimemjaa, right?🐒Akili yako inakuambia Warioba ana njaa kama yako?
Kasome sheria ya wastaafu viongozi mliyopitisha ujue Warioba tunamlipa nini kama Makamu wapili wa Rais na Waziri mkuu!
Au wewe ni mfagizi hapo Lumumba hivyo mambo ya kusoma nyaraka hayakuhusu?
sasa muerevu mbona umejaa mihemko tu na makasiriko ikiwa una akili nzuri 🤣Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana na umebakiza hatua chache uwe kichaa
Relax gentleman,Duh, pole sana ndugu yangu. Sio wewe ila ni huko CCM mnakoambiwa 🧠 weka pale kabatini!
kwa lugha fupi ni ANAUA binadamu wenzakeMarekani si walisema ana nyima watu haki ya kuishi tena aliyesema ni waziri wa mambo ya nje na aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa CIA
Mtu mwenye busara hawezi kula mazuri ya nchi huku nchi ikipotea, lazima aionye!ana babaika na nini sasa si atulie kama pompeo sasa? tamaa, wivu na chuki dhidi ya serikali sikivu ya CCM vimemjaa, right?🐒