Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio Africa bado tunasafari ndefu miaka 37 anapambana kukaa home, hajui kama hayupo kwenye group la watoto na amesoma hadi bachelor degreedah dunia inamambo ..kijana wa miaka 37 unalalamika baba amekufukuza ..yani hata aibu hauoni...
nenda kapambane na wewe ujenge nyumba yako acha kulia lia...
Mzee aliingizwa mkataba wa kilaghai hataki kukubaliUnawaza mirathi wakati mwenye Mali yupo hai. Nadhani kata hawakukosea observation yao. Ukianza kufa wewe?...
kikoozi unawaza urithi wa baba yako. Je ukifa kabla yake? Wewe umeshagawa mali zako kwa warithi wako?
Mimi pia ni mzazi.....nasema usilazimishe kurudi...... blalifishacha ujinga kenge wew, unaanza kugombania urithi eti usipunjwe? ,
unamlipisha mzee laki saba!!? inaonekana wew ni jeuri tu!
Pole aisee lakini vya kupewa navyo siyo vizuri. Bora upambane mwenyewe upate vya kwakoWengine hatuna urithi wala cha kupewa inabidi tutafute wenyeweee urithi wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya siku 6 baba alinipatia pesa yangu yote laki 7, siku iyo iyo nikaondoka nyumbani na kwenda kupanga chumba cha umeme pamoja na kununua godoro niakaanza maisha ya kubangaiza tangu mwaka jana,