Msaada wakuu ni app gani inatumika kuedit au kuweka maneno KWENYE picha kama haya

Msaada wakuu ni app gani inatumika kuedit au kuweka maneno KWENYE picha kama haya

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Wakuu swali langu ni Hilo nataka nijue ni app gani inatumika KUANDIKA maneno juu ya picha hivyo


1716731363114.jpg
 
Iko simple sana premiere ni Pro level mkuu, ila filmora is aimed to beginners upate unachotaka haraka bila kuhangaika, just basic stuff zote za video editing ziko pale.
Oky oky hapo nimekuelewa sana...
Shukrani mkuu..
Ndo nilikua nataka kumwambia yule aliyesema after effect mana ile ni complex kuliko premier...

Ila kama kuna simpler zaidi kama hiyo fiml poa... .
 
Mimi siwezi ila iyo app inaweza wewe download
Je unayo kitu kama hiyo ambayo imetengenezwa kwa hiyo app mkuu....??
Ndo mana mwanzoni nimesema kuwa hiyo aliyo ituma ijatengenezwa kwa app ya simu...

Pia akitaka kutengeneza kwa simu atatumia mda mrefu tofauti na adobe... Hvo tu
 
Back
Top Bottom