Msaada wakuu ni app gani inatumika kuedit au kuweka maneno KWENYE picha kama haya

Msaada wakuu ni app gani inatumika kuedit au kuweka maneno KWENYE picha kama haya

After Effects ukiweza kuimaster unaweza fanya chochote unachofikiria. Hizi visual effects utatisha sana, motion graphics/design utatisha sana, utafanya vitu vya kitofauti sana.

Kikubwa jifunze tu, soma vitabu, tizama tutorials pia kuna courses kwa mfumo wa videos zipo online. Kama una passion lakini, maana music production na graphics designing ni kazi za passion. Mafanikio huja kwa kupenda unachofanya hivyo jitoe tu.
Mkuu after effects shida inakuja...
Huku kwa tutorial kuna effects anaweka ila wewe huku uki search hamna kitu..

Au kwa kuwa sisi local tunaitumia local (cracked) huwa hazina plugin za kutosha ..?

Maana hata mtandaoni uwezi kuta utakutana na file za PSD za photoshop tu mara chache kukuta mzigo wa after effect
 
Mkuu after effects shida inakuja...
Huku kwa tutorial kuna effects anaweka ila wewe huku uki search hamna kitu..

Au kwa kuwa sisi local tunaitumia local (cracked) huwa hazina plugin za kutosha ..?

Maana hata mtandaoni uwezi kuta utakutana na file za PSD za photoshop tu mara chache kukuta mzigo wa after effect
Kuna vingi vya kuvifahamu kabla ya kuanza kutumia hizo addons mkuu, ifahamu kwanza after effects kwa undani, kuna vitu basics sana vitakusaidia kuijua after effects kwa undani.

Sema ni ubusy tu lakini hakuna effects nlishawahi kukosa.
 
Kuna vingi vya kuvifahamu kabla ya kuanza kutumia hizo addons mkuu, ifahamu kwanza after effects kwa undani, kuna vitu basics sana vitakusaidia kuijua after effects kwa undani.

Sema ni ubusy tu lakini hakuna effects nlishawahi kukosa.
Sawa sawa mkuu.. basic tu ipo ipo na mafanya kila leo an
 
Back
Top Bottom