Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani

Watu wa pwani watoe kabisaa kwenyebujinga wa huyu kenge unajua hakuna watu wanajua kuish na wanawake kama wanaume wa pwani hawana mambo mengi hasa mwanamke akizingua nimeshaishi nao sana mtaani mpka nasema sisi wa bara ukizingua hvo dah inakua stor nyingine.

Tatizo la huyu bwege ni ushamba wa mapenzi alaf kufuatilia mambo yasio muhusu ushajua dem anajitongozesha na ww si umuweke pembeni. Mtu ana mke anataka kujidai kadata na kidem ambapo mke akija kuanza zingua atamlaumu kuwa wanawake wanazingua ma fakeni kama hawa mm siwakubali wala nn wanaaibisha taasisi ya uanaume
 
Si bora ungemwambia mungu akuumbe tu mwanamke kuliko kutuaibisha wanaume kwa matendo yako
 
Kuweza kuzishinda tamaa na hisia, ukafikiri kwa kichwa ni kipimo cha utu uzima.
 
Duh imagine unaomba ushauri kwa mwanamke!

"huwezi kuuforce moyo"

"ukitaka kulia wewe lia "

"be yourself ishi unavyojisikia" [emoji38][emoji38]
 
Kiufupi ingawa tumekhsikiliza wewe na hatuna uhakika wa usahihi wa hii convo yako. Nakushauri kama unaona anakupa kichomi, achana naye kwa amani kuepuka kuuana

Wachezaji kibao anao. Watamchezesha namba yoyote ile.

Lea wanao
 
Si una mke wa ndoa why uumie kwa mchepuko huyo mke ulichaguliwa nini huu ndio mda wa kumtuliza wife wa kuzidisha upendo hujasikia kuwa baby ni baby ya baby wake
 
Si una mke wa ndoa why uumie kwa mchepuko huyo mke ulichaguliwa nini huu ndio mda wa kumtuliza wife wa kuzidisha upendo hujasikia kuwa baby ni baby ya baby wake

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mapenz yatamuuua[emoji1787][emoji1787]
Umenichekesha kwel
 
Aisee ni noma 🙌
 
Duh imagine unaomba ushauri kwa mwanamke!

"huwezi kuuforce moyo"

"ukitaka kulia wewe lia "

"be yourself ishi unavyojisikia" [emoji38][emoji38]
Sasa mkuu utamshauri nini?? Hujawahi sikia msemo kwamba huwezi mshauri mtu aliyependa akakuelewa?? Ameshasema anampenda kufa unadhani kuna ushauri wa move on atakaouelewa??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
yaani una mke kisha hawara/malaya mwenye wanaume wengi anakupelekesha? Unashindwa kujua kuwa kwa tabia hiyo ni wazi you are insignificant to her? anakutumia tu pale wa nje asipokuwepo katika himaya yake?
 
Kwa comment hii tumefunga mjadala huu
 
Shida kubwa ambayo ni mbaya niliyoiona kwako ni EFFEMINATE CHARACTER, na hii itakutesa sana mkuu. Kwa lugha nyingine tunasema wewe ni SIMP.

Kwenye mahusiano yoyote yale unapoonyesha kuwa unampenda sana mwanamke na kwamba eti "hauwezi kuishi bila yeye" basi anguko lako linatabirika kabisa hata kama huko nyuma mlipendana kiasi gani.

Sikia wewe ni mwanaume huwezi kukaa ukasumbuliwa na kipampa ambaye ushamzalisha kabisa, focus na mambo yako mengine ya kimaisha ukiruhusu stress zikutawale utashindwa kutafuta hela na hata siku moja huyo mwanamke wako hatakuja kujutia kuachana na wewe kutokana na hiyo hali mbaya ya maisha uliyonayo.

Ondoa huo mtazamano wa ONEITS linapokuja swala la wamawake, wapo wengi mno wazuri na wenye tabia nzuri tu sema ndo hivyo umeshakosea tayari.
[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]

NB; Kosa kubwa ulilowahi kufanya ni kuingia haraka kwenye mahusiano mengine baada ya wewe kuachana na mzazi mwenzako, matokeo yake ukachukua mwanamke mwingine usiyempenda, ungetulia ukaachana na mapenzi kabisa naamini ungekuja kupata mwanamke unayempenda kiasi cha kumsahau huyo mjinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…