Msafara wa Mwigulu Nchemba. Je, Kipindi Cha Magufuli ungeyafanya Haya?

Yale majamaa yanamchora tu, yanaishia kusema amuulize mwenzie EL kilichomkuta.

Kijana anajisahau labda kama wakali wa hizi kazi ndio wamempa hizo baraka lakini tofauti na hapo anaweza kufilisika kabisa huyu kijana, EL mwenzie pamoja na mizizi mirefu wahuni walimtingisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…