Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
‘Extended Credit Facilities’ waliyopewa na IMF majuzi inaenda sambamba na ‘structure adjustment policies’ (SAP) mnazokubaliana ili upewe mkopo.Bado unaamini mwigu ataendelea kuwa WAZIRI??! Atatoswa pamoja na kupendwa kwake!!!
Serikali imetunga Tozo budget ya mwezi wa sita IMF wamekubali kuwapa mkopo awamu ya kwanza mwezi wa saba. Unaweza kuona ‘cause and effects’ za hiyo mikopo.
Kwa ivyo kumtoa Mwigulu hapo huyo atakae kuja lazima awe na majibu ya ku-meet IMF conditions za makusanyo hiyo equation ipo palepale with or without Mwigulu.
Alternative ya Tozo ni kuongeza makusanyo na kubana matumizi; njia ambazo kazivuruga raisi mwenyewe.
Sasa unadhani given the scenario ata mtoa kweli huyo Mwigulu hapo bila ya kujua anawezaje ku meet policy adjustment walizo kubaliana na IMF.
Never say never ila sioni akimtoa Mwigulu hapo ambae kwa sasa anachukua matusi kwa niaba yake.