spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Hivi hayaonagi aibu kupita na mavieite kwenye vumbi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini anachokifanya ni kitu abnormal kabisa !! Kitu hiyo huwa tunaonaga wakati wa kampeni za uchaguzi tu !!!Huyu ni muda tu asipokuwa makini atarudi kulekule alikompeleka JPM kwani alimpa likizo.
Ila kwa likizo hii ndo itakuwa ngumu kwake kwani akumbuke ameshachafuka na yy sasa anachokifanya ni kumwonyesha Mama kuwa hajachafuka ndo maana ya ziara yake.
Duniani ukikosa peace of mind utapata tabu sana !!Hivi hayaonagi aibu kupita na mavieite kwenye vumbi?
Wishful thinking.....MUNGU alishapitisha huo uamuzi....
na hao ni ccm si ndio? Hao jamaa akili zao wanajua waoYaaani wananchi walivyofurahi utasema hakuna machungu ya tozo ama kwel ccm ina miaka ming san ya kutawala 😂😂😂
Kipi kinakusukuma kutamka hivyo?Hii nchi mpaka sasa nadhani hatuna rais
Anamtisha Mama kuwa yeye ni maarufu ili asimtoe baraza la mawaziri.
Sahihi kabisaAnamtisha Mama kuwa yeye ni maarufu ili asimtoe baraza la mawaziri.
MwiMA CCM Mnamchafua sana Nchemba mmelipwa na Makamba. Mwigulu yupo juuu sana ya kipara
Hangaya huwa anajiboost kama power bank akiona kelele kama hizi ila kiukweli pale chamwino kuna ombweNadhani siku haipiti bila huyu jamaa kutajwa
Msaada. Video xinzowekwa hv huwa nashindwa kuziona. Nikibonya hufunguka page nyingine. Nifanyeje ili nione?