shimboni mene
JF-Expert Member
- Sep 11, 2022
- 264
- 290
Umeandika ka vile umeunguzwa na mbege ya moto mdomoni!Chama changu pendwa ccm huyu mtu anaota mapembee taratibu atapoanza kuwabiga nayo hao mapembe msilaumu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika ka vile umeunguzwa na mbege ya moto mdomoni!Chama changu pendwa ccm huyu mtu anaota mapembee taratibu atapoanza kuwabiga nayo hao mapembe msilaumu..
chapombe ndo nani?Anamchukulia mama Poa.....Hili kundi litampa mama tabu sana. Tena wanamuimbia, tuna imani na Mwigulu?
Namuona na chapombe kando yake
Wwe kwan akunyooshi au unaishi kwa dada na kulala sebuleni wa kwanza kuamka na wa mwisho kulalaMwigulu atawanyosha,asipokuwa PM basi atakuwa Rais kabisa.
Kweli kabisa.Lakini anachokifanya ni kitu abnormal kabisa !! Kitu hiyo huwa tunaonaga wakati wa kampeni za uchaguzi tu !!!
Wakati wa Magufuli asingefanya kwa sababu ni Magufuli pekee ndie alijipa haki ya kufanyiwa hayo!!
Kuna Raisi wa afrika aliambiwa anaongoza maiti akakasirika. Sijui nini kilichomkasirisha.
Hahahahahahah wanaimani naye
Sasa anamdanganya Nani ?Kweli kabisa.
Anachokifanya ni kuonyesha ana watu yaani EL style.
Na ni kitu ninachoamini hana uwezo huo ila ameamua kujilisha upepo tu kwa uwezo wa kiuchumi alionao kwa muda huu kuendana nafasi aliyonayo.
Tangu lini mtu mchafu akachafuka? Huwezi kumchafua aliye mchafu wewe kengeMA CCM Mnamchafua sana Nchemba mmelipwa na Makamba. Mwigulu yupo juuu sana ya kipara
Hapo hapo mnasema ccm imechokwa inategemea nguvu ya dola.Yaaani wananchi walivyofurahi utasema hakuna machungu ya tozo ama kwel ccm ina miaka ming san ya kutawala 😂😂😂
hawa wanyiramba wataendelea kuishi kwenye matembe mpaka Yesu atakaporudi tena.na hayo mafuta yamewekwa na huyo jamaa na yakiisha kilio kipo pale pale.
wajinga kama hao wamebaki singida.mkoa maskini wenye wajinga wengi.wafanye wawe maskini ili wakutumikie.Hapo hapo mnasema ccm imechokwa inategemea nguvu ya dola.
Mim sie kati ya wanaosema ayo ukwel kbs ccm bado inao mtaji wa watz wengi mnooo inahitaji akili tu kuendelea kutawala kwa watz kwa mda mrefu mno na si maguvu kama wanayotumia sasHapo hapo mnasema ccm imechokwa inategemea nguvu ya dola.
Yaani huo ni msafara wa Waziri wa Fedha Tanzania .... Kweli Mama Samia kazi anayo ...!!
Kwa hili, rais awe na macho mapana zaidi. Tunabambikiziwa tozo kila kona, msafara wa waziri na magari lukuki, kweli ni sawa? Matumizi ya serekali hayaendani na hali halisi ya uchumi wa wananchi. Ninajiuliza, je wanajali?
Polisi wanakubali bodaboda bila helmet
Yote hayo ni maamuzi ya boss wake, yeye anafukia mashimo tu kwa uwezo wake.Unaweza nambia kwann waliacha kukusanya zile 20,000 za machinga baada ya kuwapanga ktk masoko?
Wamepoteza Bei Gani?
Mwigu ni akili ndogo, KIMEI au ASSAD wanaweza kushauri njia Bora zaidi ya kuleta mapato Serikali I bila kuumiza raia.
Bado unaamini mwigu ataendelea kuwa WAZIRI??! Atatoswa pamoja na kupendwa kwake!!!Yote hayo ni maamuzi ya boss wake, yeye anafukia mashimo tu kwa uwezo wake.
Awezi mtoa hapo Mwigulu anachukua matusi kwa sasa kwa niaba ya boss wake.
Bila ya kusahau anatakiwa amtafutie hela Makamba za miradi yake ya kuboresha TANESCO (not necessary a bad thing) ila sio kwa phases bali wanampa zote in one go kwa amri ya boss wake.
Ndio Mwigulu ni waziri wa ovyo wa fedha, ila anajitahidi kufukia mashimo anavyoweza yeye. Mashimo yanayochimbwa na boss wake, na boss mwenyewe anajua.
Hawezi mtoa hapo.