Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh !! 😳Anamchukulia mama Poa.....Hili kundi litampa mama tabu sana. Tena wanamuimbia, tuna imani na Mwigulu?
Namuona na chapombe kando yake
Haikawii kupasuka ! Wanasemaga waswahili lakini sio wazungu !!
Wakulaumiwa hapo ni Mamlaka za Teuzi. Pili hapo mazuzu yaliojaziwa mafuta kwenye usafiri wao. Kesho utawakuta hao hao wakilalamikia tozo kwenye miamala.Hawa watu bodaboda huwa hawaendi kwenye misafara hii bila kuwalipa...
Huyu Mwigulu anatoa wapi pesa za kuwalipa hawa iwapo yupo kwenye safari za kawaida tu za kikazi za serikali huku tukijua hulipwa posho ya safari kama mtumishi wa umma..??
Ndo kusema pesa ya posho yake ya safari analipa bodaboda wa kumwimbia barabarani badala ya kuachia familia yake ili wanunue chakula na maji...?
Hawa viongozi wetu mbona hawana haya wala aibu kiasi hiki..? Anawezaje kuwatumilia vumbi wananchi masikini hawa anaowatoza tozo huku yeye akiwa kwenye V8 New Model la TZs 600,000,000 peke yake...? Ina make sense kweli hii...?
Yaani katikati ya hali ngumu kifedha kwa wananchi na kufunga mikanda (maana wanatuambia hivyo) lakini cha ajabu wao wanatumia mali ya umma hovyo hovyo kiasi hiki halafu wanataka tukubaliane na mambo yao ya kijinga...?
Mbona wanatufanya wananchi majuha na wajinga hivi...?
Nani atabisha kuwa hawa sio wezi wa mchana kweupe wa fedha zetu za tozo na kodi...???
Matendo yao yanathibitisha madai haya bila shaka yoyote...
OkayHaikawii kupasuka ! Wanasemaga waswahili lakini sio wazungu !!
Ukiona mapicha picha kama haya basi utasikia ameliwa kichwa usiku wa manane. Tulia tu
Huyu ni muda tu asipokuwa makini atarudi kulekule alikompeleka JPM kwani alimpa likizo.Mtapeleka wangapi Ubalozini? Mh Mstaafu PM Pinda aliposema wanawaza 2025 sikumuelewa sasa ndio naanza kuelewa
Mbingu ya ngapi hiyo?Mwigulu ni rais ajaye!!!
Huo ni uamuzi wa mbingu na hakuna mwenye kuweza kugeuza
Na haijawahi kupasuka japo imevuka sana!Haikawii kupasuka ! Wanasemaga waswahili lakini sio wazungu !!
MUNGU alishapitisha huo uamuzi....Mbingu ya ngapi hiyo?
Mwenyezi Mungu ndiye mwenye uamuzi wa mwisho ..... hakuna aijuwaye kesho yake.
Kwa kutapanya fedha za walipaTozoHuyu ni muda tu asipokuwa makini atarudi kulekule alikompeleka JPM kwani alimpa likizo.
Ila kwa likizo hii ndo itakuwa ngumu kwake kwani akumbuke ameshachafuka na yy sasa anachokifanya ni kumwonyesha Mama kuwa hajachafuka ndo maana ya ziara yake.
Mmmh yatakua yaleeee mitano tena mara puuuuh 20211703Mwigulu ni rais ajaye!!!
Huo ni uamuzi wa mbingu na hakuna mwenye kuweza kugeuza
Endeleeni kumpali makaa ili azidishe ziara huku kamera zikiendelea kumulika vizuri.Mwigulu ni rais ajaye!!!
Huo ni uamuzi wa mbingu na hakuna mwenye kuweza kugeuza