Msafara wa Mwigulu Nchemba. Je, Kipindi Cha Magufuli ungeyafanya Haya?

Bado unaamini mwigu ataendelea kuwa WAZIRI??! Atatoswa pamoja na kupendwa kwake!!!
‘Extended Credit Facilities’ waliyopewa na IMF majuzi inaenda sambamba na ‘structure adjustment policies’ (SAP) mnazokubaliana ili upewe mkopo.

Serikali imetunga Tozo budget ya mwezi wa sita IMF wamekubali kuwapa mkopo awamu ya kwanza mwezi wa saba. Unaweza kuona ‘cause and effects’ za hiyo mikopo.

Kwa ivyo kumtoa Mwigulu hapo huyo atakae kuja lazima awe na majibu ya ku-meet IMF conditions za makusanyo hiyo equation ipo palepale with or without Mwigulu.

Alternative ya Tozo ni kuongeza makusanyo na kubana matumizi; njia ambazo kazivuruga raisi mwenyewe.

Sasa unadhani given the scenario ata mtoa kweli huyo Mwigulu hapo bila ya kujua anawezaje ku meet policy adjustment walizo kubaliana na IMF.

Never say never ila sioni akimtoa Mwigulu hapo ambae kwa sasa anachukua matusi kwa niaba yake.
 
Acha awanyoroshe. Mwigulu kanyagia hapo hapo.
 
Yule jamaa atakuwa ametoa idhini. Ukiona kifaranga kinaruka ruka ujue mama yake yupo karibu
 
Unaishi kwa hisia zaidi, tunaita hearsay. Kwahiyo sasa hivi hakuna Waziri wa TAMISEMI au? Weka takwimu kila kipengele hapo ili tuelewe vizuri.
 
Kwani kuna kosa gani waziri nchemba kufanya ziara ama hao watu kumpokea kwa maandamano???? Siasa za chuki acheni
 
Nimeona VX kwenye vumbi zinatembea kwa kunasa bara bara vizuri....
 
Ningekuwa mimi ndio Rais, namchungiza sana kwa siri kijua pesa ameweka nchi gani!

Ila nahisi yuko nyuma yake kuna gwiji ambalo hata Magufuli alilishindwa.
Gwiji lililokuja kumtoa ndugu yake alipokamatwa na shehena ya bunduki
 
Anamchukulia mama Poa.....Hili kundi litampa mama tabu sana. Tena wanamuimbia, tuna imani na Mwigulu?

Namuona na chapombe kando yake
anachokifanya NchembaMWIGULU hakina tofauti na alichofanya NNDUgay..
muda ukifika tutapata majibu yaleyale
 
H
Ayo majamaa nayo majizi siku hizi. Hayana time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…