Msaidizi wa Hayati Magufuli: Pata picha saa 8 za usiku mtu anaweka hadi nne akisoma mlichompelekea

kwa hiyo ulitaka kutuambia nini, kamfuate kule aliko huyo mshamba wenu. Au mfungue kanisa mkamuabudu km Mungu wenu. Hayo mafile yalikuwa yanahusu ufisadi aliokuwa akifanya na genge lake la kisukuma. Lilikuwa jitu baguzi, uaji, katili, kwa ujumla alikuwa sawa na shetani
 
Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.
Sasa yuko wapi? Siyo kuwa namsema kwa vibaya lakii overworking na huku ukiwa ni mgonjwa ni hatari sana. Ukiongeza na umri (over 50) basi hii combination ni hatari.
Mwili unahitaji mapumziko ya kutosha na hasa kwa kazi kama hizo za uraisi ambazo zinatumia ubongo kwa asilimia kubwa.
 
Alikuwa na kifaa cha kuzuia uchovu?
 
Hayo siyo maneno yenye staha kwa mabinti, dada, mama, bibi nk. Wametuzaa na kutulea sisi watu imara. Usirudie kuwatweza wanawake kwa picha hiyo unayoionesha.
Mtu anauza bandari kwa muda usio na kikomo tena bandari zote zilizopo na zitakazokuwepo, haya hebu itetee hiyo jinsia na uwezo wa kuchanganua, kupambanua na kufanya maamuzi sahihi.

Ndio nakubali wanawake wamebarikiwa karama na talanta ya kulea na ndio hasa jukumu lao na eneo lao la umahiri na kamwe sio uongozi. Na hata wao wanalijua hilo ila ndio basi wanapelekwa pelekwa na maharakati ya 50/50
 
Mtu makini aliyeishia kuona watu ambao vichwani ni vikapu na paise teams ndiyo waofaa kwenye teuzi zake?
 
Ila malezi ya wagalatia ni ya kikatili sana,
Yaani unafundishwa na kufundisha kabisa ukatili? Unaua binadamu wenzako kisa madaraka na kuwajaza kwenye viroba kweli? Hayo ndio malezi ya wala ngurruwer
Wewe una kitu unakitafuta ututoe nje ya mada.malezi ya wagalatia yanaweza fikia hata punje moja ya ukatili wa wale vijana wenu boko haram,alshababu na vikundi vengine vinavyotumia mwamvuli wa dini yenu kuwafanya ndugu zetu wengine hapa Afrika na kwengine duniani wasikae kwa amani.mada hapa ni kuwa mwamba alikuwa mtu makini hayo mengine ukitaka kumchafua anzisha uzi wako usituletee makobazi yako hapa
 
Kwaiyo unataka tumkumbuke au unataka afufuliwe ajadili mkataba
Sukuma gang jiwe alishaenda najua kwa iman yenu mnaamini alikua kiongozi bora ila ukwel ni kwamba alishakufa harudi na hatokuja kurudi lakin pia kukumbuka matendo yake ni kujiongezea machungu na kujipotezea mda sabu unakumbuka kitu ambacho akipo
Ata ukisifia unasifu kitu ambacho akipo na kilishapita
 
Naomba nijibu swali hili, tangu lini mwanamke akawa na akili ?!! Tukiachana na porojo za wanaharakati ukweli uko wazi kama uchi wa mbuzi, wanawake hasa huyu, ni dhaifu kuliko hata udhaifu wenyewe.
Nakumbuka ile ishu ya Kigoda kulipwa mamilioni zakhia enzi hizo akiwa waziri wa fedha, badae alipokuja kuulizwa akajibu aliingizwa chaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…