Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Kwenye siasa usipokuwa makini unaweza kulala na soksiš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye siasa usipokuwa makini unaweza kulala na soksiš
kwa hiyo ulitaka kutuambia nini, kamfuate kule aliko huyo mshamba wenu. Au mfungue kanisa mkamuabudu km Mungu wenu. Hayo mafile yalikuwa yanahusu ufisadi aliokuwa akifanya na genge lake la kisukuma. Lilikuwa jitu baguzi, uaji, katili, kwa ujumla alikuwa sawa na shetaniNukuu:-
Kaka, issue kama hii kwanza tulikuwa hatulali! Pili, usijidanganye eti utampa mwamba karatasi zenye kurasa nyingi asizisome-hahaha!
Niwe mkweli wa nafsi, binafsi huwa nadhani mwamba alikuwa anapenda sana issue za migogoro ili aweze ku solve. Jiulize, mtu ambaye akiletewa jambo kwa mfano lenye ukakasi, kisha mnaitwa wote mnaohusika mnagawiwa hizo nyaraka na mnaamliwa mzisome nukta kwa nukta aya kwa aya. Baadae mnaulizwa, je kuna pahali mmeona labda kuna kosa? Sasa, ole wenu msipaone palipo na kosa alipopaona yeye!
Kaka, kwa nyepesi nyepesi tu, Unaambiwa mwamba alikuwa akipitia nyaraka za mikataba mibovu akiwa ofisini mezani. Akichoka kukaa unaambiwa alikuwa anajilaza kwenye zulia akiwa amepiga nne miguu yake 𤣠huku akiwa amefura haswa! Akiwahurumia anaweza kutoka ofisini saa 9 na akifika ndani unaambiwa haongei na mtu yeye moja kwa moja kitandani na kupiga nne huku akiendelea kupitia nyaraka. Asubuhi yake sasa!!!!
Kuna siku alivurugwa na kutaka atembee kwa miguu hadi bandarini wakamzuilia getini!
Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.
Mfano huu mkataba mnaoupigia kelele, aiseee....!
Dah acha kabisaKwenye siasa usipokuwa makini unaweza kulala na soksiš
Wazanzibar ndivyo walivyo wanachojua kusoma ni Aya za quranMaza yeye hasomi chochote wala haelewi nini kipo humo ndani
Huyu muuza nchi, anakuletea unga?Shida wabongo mkipakwa mafuta mnalainika mimi sijawahi mkumbuka kwasababu sikuwahi kuletewa unga wa ugali mlangoni kwangu naona maisha yapo vile vile
Na mboga kabisaHuyu muuza nchi, anakuletea unga?
Kujichosha tuKwenye siasa usipokuwa makini unaweza kulala na soksiš
Sasa yuko wapi? Siyo kuwa namsema kwa vibaya lakii overworking na huku ukiwa ni mgonjwa ni hatari sana. Ukiongeza na umri (over 50) basi hii combination ni hatari.Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.
Alikuwa na kifaa cha kuzuia uchovu?Nukuu:-
Kaka, issue kama hii kwanza tulikuwa hatulali! Pili, usijidanganye eti utampa mwamba karatasi zenye kurasa nyingi asizisome-hahaha!
Niwe mkweli wa nafsi, binafsi huwa nadhani mwamba alikuwa anapenda sana issue za migogoro ili aweze ku solve. Jiulize, mtu ambaye akiletewa jambo kwa mfano lenye ukakasi, kisha mnaitwa wote mnaohusika mnagawiwa hizo nyaraka na mnaamliwa mzisome nukta kwa nukta aya kwa aya. Baadae mnaulizwa, je kuna pahali mmeona labda kuna kosa? Sasa, ole wenu msipaone palipo na kosa alipopaona yeye!
Kaka, kwa nyepesi nyepesi tu, Unaambiwa mwamba alikuwa akipitia nyaraka za mikataba mibovu akiwa ofisini mezani. Akichoka kukaa unaambiwa alikuwa anajilaza kwenye zulia akiwa amepiga nne miguu yake 𤣠huku akiwa amefura haswa! Akiwahurumia anaweza kutoka ofisini saa 9 na akifika ndani unaambiwa haongei na mtu yeye moja kwa moja kitandani na kupiga nne huku akiendelea kupitia nyaraka. Asubuhi yake sasa!!!!
Kuna siku alivurugwa na kutaka atembee kwa miguu hadi bandarini wakamzuilia getini!
Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.
Mfano huu mkataba mnaoupigia kelele, aiseee....!
Mtu anauza bandari kwa muda usio na kikomo tena bandari zote zilizopo na zitakazokuwepo, haya hebu itetee hiyo jinsia na uwezo wa kuchanganua, kupambanua na kufanya maamuzi sahihi.Hayo siyo maneno yenye staha kwa mabinti, dada, mama, bibi nk. Wametuzaa na kutulea sisi watu imara. Usirudie kuwatweza wanawake kwa picha hiyo unayoionesha.
Wazanzibar ndivyo walivyo wanachojua kusoma ni Aya za quran
Ni wavivu hatari snWazanzibar ndivyo walivyo wanachojua kusoma ni Aya za quran
DuAkili ndogo
Mtu makini aliyeishia kuona watu ambao vichwani ni vikapu na paise teams ndiyo waofaa kwenye teuzi zake?Nukuu:-
Kaka, issue kama hii kwanza tulikuwa hatulali! Pili, usijidanganye eti utampa mwamba karatasi zenye kurasa nyingi asizisome-hahaha!
Niwe mkweli wa nafsi, binafsi huwa nadhani mwamba alikuwa anapenda sana issue za migogoro ili aweze ku solve. Jiulize, mtu ambaye akiletewa jambo kwa mfano lenye ukakasi, kisha mnaitwa wote mnaohusika mnagawiwa hizo nyaraka na mnaamliwa mzisome nukta kwa nukta aya kwa aya. Baadae mnaulizwa, je kuna pahali mmeona labda kuna kosa? Sasa, ole wenu msipaone palipo na kosa alipopaona yeye!
Kaka, kwa nyepesi nyepesi tu, Unaambiwa mwamba alikuwa akipitia nyaraka za mikataba mibovu akiwa ofisini mezani. Akichoka kukaa unaambiwa alikuwa anajilaza kwenye zulia akiwa amepiga nne miguu yake 𤣠huku akiwa amefura haswa! Akiwahurumia anaweza kutoka ofisini saa 9 na akifika ndani unaambiwa haongei na mtu yeye moja kwa moja kitandani na kupiga nne huku akiendelea kupitia nyaraka. Asubuhi yake sasa!!!!
Kuna siku alivurugwa na kutaka atembee kwa miguu hadi bandarini wakamzuilia getini!
Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.
Mfano huu mkataba mnaoupigia kelele, aiseee....!
Wewe una kitu unakitafuta ututoe nje ya mada.malezi ya wagalatia yanaweza fikia hata punje moja ya ukatili wa wale vijana wenu boko haram,alshababu na vikundi vengine vinavyotumia mwamvuli wa dini yenu kuwafanya ndugu zetu wengine hapa Afrika na kwengine duniani wasikae kwa amani.mada hapa ni kuwa mwamba alikuwa mtu makini hayo mengine ukitaka kumchafua anzisha uzi wako usituletee makobazi yako hapaIla malezi ya wagalatia ni ya kikatili sana,
Yaani unafundishwa na kufundisha kabisa ukatili? Unaua binadamu wenzako kisa madaraka na kuwajaza kwenye viroba kweli? Hayo ndio malezi ya wala ngurruwer
Nakumbuka ile ishu ya Kigoda kulipwa mamilioni zakhia enzi hizo akiwa waziri wa fedha, badae alipokuja kuulizwa akajibu aliingizwa chaka.Naomba nijibu swali hili, tangu lini mwanamke akawa na akili ?!! Tukiachana na porojo za wanaharakati ukweli uko wazi kama uchi wa mbuzi, wanawake hasa huyu, ni dhaifu kuliko hata udhaifu wenyewe.
kwani kaulimbiu yake ilikuwa inasemaje?Shida wabongo mkipakwa mafuta mnalainika mimi sijawahi mkumbuka kwasababu sikuwahi kuletewa unga wa ugali mlangoni kwangu naona maisha yapo vile vile
Ukitaka kusema kauli mbiu inaendana haya tuanze na kauli ya kikwekete