Msaidizi wa Lissu adaiwa kujeruhiwa na mapanga na watu wasiojulikana

CHADEMA mnahisi hizi movie zenu uchwara ndo zitamchafua Makonda?
Hamjawahi kuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu ni maneno ya kuokoteza tu!
Kama alikamatwa na make wa mtu au alivamiwa na vibaka napo mnasingizia Makonda!
 

Kama anachukuwa mke wa mtu aache mara moja na kama ni mtembezi wa usiku vibaka ni wengi awe mwangalifu!
 
Such an idiot ... pure nonsense...
 
Such an idiot ... pure nonsense...
Wewe poyoyo chakufanya waambie mabosi wako huyu bwana akifika tumpe hata ukuu wa wilaya.

Otherwise hayo unayouliza majibu yake hata nikiandika maneno 2000 huna theoretical foundation ya kuweza kufanya evaluation nor analyse to assess the merit; I have learned that.

So don’t waste my time
 
Utetezi wa kitoto kabisa huu.
 
Makonda kaanza kazi aliyoizoea
 
Wapi na ilikuwaje?

Msaidizi wake kwenye shughuli zipi?

Naona ana taulo hapo, kafumaniwa nini?
 
Kuvuta attention kwa umma ili kupata huruma kwa Jamii, chadema kwa ujinga wenu huu tumesha wafahamu extra beyond!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…