Uchaguzi 2020 Msajili amwandikia barua Maalim Seif akimtaka ajieleze kwanini kapanda jukwaa moja na Tundu Lissu kule Kilimanjaro!

Uchaguzi 2020 Msajili amwandikia barua Maalim Seif akimtaka ajieleze kwanini kapanda jukwaa moja na Tundu Lissu kule Kilimanjaro!

Msajili wa vyama vya siasa amemtaka mwenyekiti wa ACT wazalendo maalim Seif ajieleze kwanini alisafiri hadi Kilimanjaro na kupanda jukwaa moja na Tundu Lisu wa Chadema kumpigia kampeni.

Kiongozi wa chama Zitto Kabwe amesema wanatarajia na mwenyekiti wa TLP mzee Mrema atajieleza pia.

Maendeleo hayana vyama!
Huyu zezeta anaeitwa msajili ni mtu wa wapi maana sijawahi ona jitu lenye dhamana lisilojitambua kama hili dubwana.
 
Msajili amwandikie Magufulu barua kwanini amemvalisha Mrema kofia.
 
Mbona leo Mrema kapanda Jukwaa moja na MAGUFULI huko kilimanjaro? kama ana ubavu amwandikie na Magufuli sasa....hivyo visheria vyao vya kipumbavu walivyowatungia wapinzani mwisho ni tarehe 28 by any means
Kwani TLP wana mgombea urais? We ndo una mawazo ya kipumbavu.
 
Sina imani na hilo genge linaloitwa tume mbona Magufuli hawampi onyo kaharibu mara ngapi kwnye hizi kampeni?
 
Mbona leo Mrema kapanda Jukwaa moja na MAGUFULI huko kilimanjaro? kama ana ubavu amwandikie na Magufuli sasa....hivyo visheria vyao vya kipumbavu walivyowatungia wapinzani mwisho ni tarehe 28 by any means
Afu wachina wanatetea hawa wahuni
 
Msajili wa vyama vya siasa amemtaka mwenyekiti wa ACT wazalendo maalim Seif ajieleze kwanini alisafiri hadi Kilimanjaro na kupanda jukwaa moja na Tundu Lisu wa Chadema kumpigia kampeni.

Kiongozi wa chama Zitto Kabwe amesema wanatarajia na mwenyekiti wa TLP mzee Mrema atajieleza pia.

Maendeleo hayana vyama!
This registrar and this NEC are a national disaster
 
Huyo msajili anataka Maalim Seif apande jukwaani na nani.?
Aache utoto wa kulinda kibarua chake.!
 
Hawa bendera fuata upepo wanajua hilo? Hawajui kwamba ukisimamisha mgombea wa urais halafu ukaenda kumpigia kampeni mgombea wa chama kingine ni sawa na kufanya coalitions.

Ningemuona huyo msajili ana akili kama angemuandikia magufuli ajieleze kwanini analeta marais wa nchi nyingine kumuombea kura, na sio kuzuia Watanzania kuombeana kura kwenye nchi yao. Halafu hawa wanaofanya huu utoto nii watu wazima kabisa.
 
Mnaolazimisha hii issue ya ushirikiano wa Mrema&Magufuli na Seif&Lisu zilingane hamna hoja.

Sheria ya uchaguzi inataka huo ushirikiano upitie vikao halali vya chama husika na huo mkataba wa ushirikiano upelekwe kwa Msajili wa vyama miezi mitatu kabla ya mchakato wa uchaguzi kuanza.

Mkutano Mkuu wa Taifa wa TLP ulikaa na kumpitisha Magufuli tarehe 9 May 2020 huku Msajili Nyahoza na Polepole wakiwa waalikwa hapo.

ACT na CDM kama wangekuwa wamewasilisha mkataba wa ushirikiano means kusingekuwepo wagombea wawili wa urais (Hii ni common sense tu)

Mpaka kampeni zinaanza wanadai wako kwenye mazungumzo,hiyo miezi mitatu wameitoa wapi?

Utawala wa sheria mnaodai kuuheshimu ndo huo siyo kukurupuka tu.
 
Ukishangaa ya Seif utayaona na ya mrema.

Raha ya maigizo ya neccm wanajisahau Sana
Nadhani mtoa maagizo kwa neccm anamatatizo ya kusahau!
 
Ningemuona huyo msajili ana akili kama angemuandikia magufuli ajieleze kwanini analeta marais wa nchi nyingine kumuombea kura, na sio kuzuia Watanzania kuombeana kura kwenye nchi yao. Halafu hawa wanaofanya huu utoto nii watu wazima kabisa.
Kumbuka magufuli japo ni mgombea lakini bado ni Rais. Kwahiyo anatekeleza majukumu yake ya urais kama kawaida.Hao marais wengine walikuja kwa ziara za kikazi, siyo kupiga Kampeni. Lakini hakuna sheria iliyokataza marais wa jirani kumuombea kura Rais wa nchi nyingine aliye madarakani.
 
Mnaolazimisha hii issue ya ushirikiano wa Mrema&Magufuli na Seif&Lisu zilingane hamna hoja.

Sheria ya uchaguzi inataka huo ushirikiano upitie vikao halali vya chama husika na huo mkataba wa ushirikiano upelekwe kwa Msajili wa vyama miezi mitatu kabla ya mchakato wa uchaguzi kuanza.

Mkutano Mkuu wa Taifa wa TLP ulikaa na kumpitisha Magufuli tarehe 9 May 2020 huku Msajili Nyahoza na Polepole wakiwa waalikwa hapo.

ACT na CDM kama wangekuwa wamewasilisha mkataba wa ushirikiano means kusingekuwepo wagombea wawili wa urais (Hii ni common sense tu)

Mpaka kampeni zinaanza wanadai wako kwenye mazungumzo,hiyo miezi mitatu wameitoa wapi?

Utawala wa sheria mnaodai kuuheshimu ndo huo siyo kukurupuka tu.
Na wewe akili zako ni za hapa na pale au umejitoa ufahamu kwa makusudi!
Huo mkataba wa makubaliano kati ya CCM na TLP uko kwa msajili?Wamekubaliana kugawanaje ruzuku kwa kusimamisha mgombea mmoja?Hukuona taarifa ya naibu msajili akisema TLP wamejitoa kumuunga mkono Magufuli na TLP wakaja haraka kukanusha?
Hebu nendeni huko kadanganyeni watoto,shwain!
 
Back
Top Bottom