Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,527
- 5,762
habari njemaMawakala 1000 wa Chadema Arusha mjini waapishwa Mawakala 1000 wa Chadema Arusha mjini waapishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
habari njemaMawakala 1000 wa Chadema Arusha mjini waapishwa Mawakala 1000 wa Chadema Arusha mjini waapishwa
Amen. Jibu zuri sana kwa msajili mjinga kama huyuKiongozi wa chama Zitto Kabwe amesema wanatarajia na mwenyekiti wa TLP mzee Mrema atajieleza pia.
Mrema hajapanda hata jukwaa kuhutubia!
Rais alimfuata kumsalimia, Maalim katika zake Zanzibar , kapanda jukwaa na kumuombea kura Lisu!
Au mnata kurudisha Mpira kwapani?
Mrema alitumia vikao halali kufanya uamuzi wa kuiunga ccmWe msajili kama jasiri mwite na mrema aliyepanda jukwaa moja na wa ccm!
Mnafanya mambo ya ajabu kweli kwa mihemko ya vyeo mlivyopewa!
Tatizo wapinzani wetu nao inafika time wanatuvunja moyo sana, nadhani umesikia ya leo pale msimamizi wa chadema kupewa fomu akaipokea na kuondoka nayo haina jina wala sahihi ya mkurugenzi wa uchaguzi.Mbona leo Mrema kapanda Jukwaa moja na MAGUFULI huko kilimanjaro? kama ana ubavu amwandikie na Magufuli sasa....hivyo visheria vyao vya kipumbavu walivyowatungia wapinzani mwisho ni tarehe 28 by any means
Ukiwa zuzu,hata ukiambiwa kula mavi,unaweza ukayala na ukaita bwabwa.Mrema amesafiri kwenda wapi?
Duh...!Mrema amesafiri kwenda wapi?
Jamani Maalim yuko kwenye kifungo alitakiwa asijihusishe navsiada Mrema yeye aliisha amua awali kabla ya nia kua tawapigia debe ccm Chadema mlipewa hiyo opportunity mkachagua Membe sasa mnacomplicate mamboMsajili wa vyama vya siasa amemtaka mwenyekiti wa ACT wazalendo maalim Seif ajieleze kwanini alisafiri hadi Kilimanjaro na kupanda jukwaa moja na Tundu Lisu wa Chadema kumpigia kampeni.
Kiongozi wa chama Zitto Kabwe amesema wanatarajia na mwenyekiti wa TLP mzee Mrema atajieleza pia.
Maendeleo hayana vyama!
Kama ngiriMahera anachojua ni kukenua tu
Hawa watu wanatia hasira sanaMkuu umetisha
Mrema hajapanda hata jukwaa kuhutubia!
Rais alimfuata kumsalimia, Maalim katika zake Zanzibar , kapanda jukwaa na kumuombea kura Lisu!
Au mnata kurudisha Mpira kwapani?
Awaandikie pia Rais wa Uganda aliyeomba kura kwa Mgombea wa ccm.Msajili wa vyama vya siasa amemtaka mwenyekiti wa ACT wazalendo maalim Seif ajieleze kwanini alisafiri hadi Kilimanjaro na kupanda jukwaa moja na Tundu Lisu wa Chadema kumpigia kampeni.
Kiongozi wa chama Zitto Kabwe amesema wanatarajia na mwenyekiti wa TLP mzee Mrema atajieleza pia.
Maendeleo hayana vyama!
Umeshapanic!Duuh hoja hapa ni kusafiri au kupanda jukwaa moja??Aisee wakati mwingine muwe mnaficha upumbav wenu!
Mnaboa wakati mwingine!Kosa hapo ni kusafiri au kupanda jukwaa moja?Umeshapanic!
Tatizo kusafiri au? Uzezeta unawasumbua sana nyie watu.ndiyo maana hakuna mwanaccm unakuta anasisitiza haki. Na watu wapumbavu aina ya msajiri ndiyo vipenzi vyenu Lichama limejaa mashetani sana hilo. Ndiyo maana mlishindwana na mkaguzi mzee Asadi baada ya kutaka ahasi Mungu Kwa faida zenu.Mrema amesafiri kwenda wapi?
🤣🤣🤣🤣🤣 eti by any meanshivyo visheria vyao vya kipumbavu walivyowatungia wapinzani mwisho ni tarehe 28 by any means
Vyote.Punguza kidogo ujinga, issue ni kusafiri au kupanda jukwaa moja?