Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Kwani Maalim Seif ni mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?Mrema hana mgombea urais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Maalim Seif ni mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?Mrema hana mgombea urais
Hao siyo NEC bali ni msajili wa vyama vya siasa. Hivyo wapinzani wanabanwa kote kote.Kwani ni marufuku kwa Mtanzania yeyote kupanda jukwaani na Tundu Lissu?
What kinda fuckery is that?!!
Hao jamaa wa NEC hawana hata busara tu hizi za kawaida?
umeandika kirefuuuuu umeacha kusoma katiba ya ACT WAZALENDOKatiba ya Tanzania inatoa uhuru
https://www.tanzania.go.tz/egov_uploads/documents/KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA.pdf
Ibara za 18 20 na 21 zinatoa uhuru wa maoni, uhuru wa mtu kushirikiana na wengine na uhuru wa mtu kushiriki shughuli za umma.
Haki ya Uhuru wa Mawazo
Uhuru wa Maoni Sheria ya 1984 Na.15 ib.6
18.-(1) Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa mawasiliano yake kutoingiliwa kati. (2) Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi, na pia juu ya masuala muhimu kwa jamii.
Uhuru wa mtu kushirikiana na wengine Sheria ya 1984 Na.14 ib.6
20.-(1) Kila mtu anastahili kuwa huru, bila ya kuathiri sheria za nchi, kukutana na watu wengine kwa hiari yake na kwa amani, kuchanganyika na kushirikiana na watu wengine, kutoa mawazo hadharani, na hasa zaidi kuanzisha au kujiunga na vyama au mashirika yaliyoanzishwa kwa madhumuni ya kuhifadhi au kuendeleza imani au maslahi yake au maslahi mengineyo. (2) Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (1) haitakuwa halali kwa chombo chochote cha siasa kuandikishwa ambacho kutokana na Katiba au sera yake- (a) kinakusudia kukuza au kupigania maslahi ya- (i) imani au kundi lolote la dini; (ii) kundi lolote la kikabila pahala watu watokeapo, rangi au jinsia; (iii) eneo fulani tu katika sehemu yoyote ya Jamhuri ya Muungano; (b) kinapigania kuvunjwa kwa Jamhuri ya Muungano: (c) kinakubali au kupigania matumizi ya nguvu au mapambano kama njia za kufikia malengo yake ya kisiasa; (d) kinapigania au kinakusudia kuendesha shughuli zake za kisiasa katika sehemu moja tu ya Jamhuri ya Muungano; (e) hakiruhusu uongozi wake kuchaguliwa kwa vipindi na kwa njia za kidemokrasia. (3) Bunge laweza kutunga sheria inayoweka masharti yatakayohakikisha kuwa vyama vya siasa vinazingatia mipaka na vigezo vilivyowekwa na masharti ya ibara ndogo ya (2) kuhusu uhuru na haki ya watu kushirikiana na kujumuika. (4) Bila ya kuathiri sheria za nchi zinazohusika ni marufuku kwa mtu yeyote kulazimishwa kujiunga na chama chochote au shirika lolote, au kwa chama chochote au cha siasa kukataliwa kusajiliwa kwa sababu tu ya itikadi au falsafa.
Uhuru wa kushiriki shughuli za umma Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 Sheria ya 1994 Na.34 ya ib.4
21.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya ibara ya 5, ya 39 na ya 67 ya Katiba hii na ya sheria za nchi kuhusiana na masharti ya kuchagua na kuchaguliwa, au kuteua na kuteuliwa kushiriki katika shughuli za utawala wa nchi, kila raia wa Jamhuri ya Muungano anayo haki ya kushiriki katika shughuli za utawala wa nchi, ama moja kwa moja au kwa kupitia wawakilishi waliochaguliwa na wananchi kwa hiari yao, kwa kuzingatia utaratibu uliowekwa na sheria au kwa mujibu wa sheria.
(2) Kila raia anayo haki na uhuru wa kushiriki kwa ukamilifu katika kufikia uamuzi juu ya mambo yanayomhusu yeye, maisha yake au yanayolihusu Taifa.
Huyu msajili ana matatizo sana. Ile barua waliomjibu kina Ado Shaibu haikumwingia akilini?Msajili wa vyama vya siasa amemtaka mwenyekiti wa ACT wazalendo maalim Seif ajieleze kwanini alisafiri hadi Kilimanjaro na kupanda jukwaa moja na Tundu Lisu wa Chadema kumpigia kampeni.
Kiongozi wa chama Zitto Kabwe amesema wanatarajia na mwenyekiti wa TLP mzee Mrema atajieleza pia.
Maendeleo hayana vyama!
Leo Mrema alikuwa Moshi na alivalia Kofia ya CCM. Tanzania yangu EhhhhMsajili wa vyama vya siasa amemtaka mwenyekiti wa ACT wazalendo maalim Seif ajieleze kwanini alisafiri hadi Kilimanjaro na kupanda jukwaa moja na Tundu Lisu wa Chadema kumpigia kampeni.
Kiongozi wa chama Zitto Kabwe amesema wanatarajia na mwenyekiti wa TLP mzee Mrema atajieleza pia.
Maendeleo hayana vyama!
Na walikuwa wapi kuwaambia CCM wasiingize nchi za nje kwenye siasa za ndani kwenye majukwaa?Msajili wa vyama vya siasa amemtaka mwenyekiti wa ACT wazalendo maalim Seif ajieleze kwanini alisafiri hadi Kilimanjaro na kupanda jukwaa moja na Tundu Lisu wa Chadema kumpigia kampeni.
Kiongozi wa chama Zitto Kabwe amesema wanatarajia na mwenyekiti wa TLP mzee Mrema atajieleza pia.
Mi nadhani Mrema hawezi kupata adhabu kwa sababu hayumo hata kwenye ballot paperMsije mkatumbuka ninyi bwashee!
Kwani issue ni kusafiri au ni kupanda jukwaani na kumpigia kampeni ................!!?Mrema amesafiri kwenda wapi?
Duuh hoja hapa ni kusafiri au kupanda jukwaa moja??Aisee wakati mwingine muwe mnaficha upumbav wenu!Mrema amesafiri kwenda wapi?
Kwahiyo ndugu yohana, kosa la maalim ni kusafiri.Mrema amesafiri kwenda wapi?
Mavi kabisaMsajili wa vyama vya siasa amemtaka mwenyekiti wa ACT wazalendo maalim Seif ajieleze kwanini alisafiri hadi Kilimanjaro na kupanda jukwaa moja na Tundu Lisu wa Chadema kumpigia kampeni.
Kiongozi wa chama Zitto Kabwe amesema wanatarajia na mwenyekiti wa TLP mzee Mrema atajieleza pia.
Maendeleo hayana vyama!
Himo na kiraracha ni jimbo moja