Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Huwezi toa hoja mpaka ujitukane..
Kama ukweli ni matusi, let it be.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi toa hoja mpaka ujitukane..
Ila ya Seif yapelekwe tume😀Ya Mrema aachiwe yeye
Buberwa, je Seif anagombea nini huku bara. Huku Bara Seif ni moiga kura tu kama wewe au mimi na ana haki ya kwenda mkutano wa mgombea urais yeyote anayetaka yeye, ikiwamo rais Magufuli kusikiliza hotuba zake ili ajue anamchagua nani katika uchaguzi wa rais wa Jamhuri.Mrema ni mgombea wa chama gani?
Kusafiri ndio tatizo?Ila msajili hajasema we umelitoa wapiMrema amesafiri kwenda wapi?
Kwenye ratiba ya NEC!Kusafiri ndio tatizo?Ila msajili hajasema we umelitoa wapi
Ratiba ya nec inakataza kusafiri?Kwenye ratiba ya NEC!
Kwani yeye ni Mgombea Urais acheni kujitoa ufahamu kwa sababu ya kutetea ujingaMbona leo Mrema kapanda Jukwaa moja na MAGUFULI huko kilimanjaro? kama ana ubavu amwandikie na Magufuli sasa....hivyo visheria vyao vya kipumbavu walivyowatungia wapinzani mwisho ni tarehe 28 by any means
Utanyooka tu hao mabeberu yako!Ni sawa kabisa, labda wasichukue hatua yoyote hao wazungu, lakini iwapo watachukulia hatua hilo genge haramu liitwalo ccm, tutawaunga mkono kama Walibya walivyowaunga mkono wazungu dhidi ya yule ibilisi Gadddaf. Hatuko tayari kutawaliwa kwa kuburuzwa kwa chaguzi zinazonajisiwa. Imeisha hiyo.
Zanzibar wako jukwaa moja!Sasa ingieni mkenge mfanye makosa muone ilivyo rahisi kupoteza amani ya nchi!Wamejikaanga kwa mafuta yao., Katiba waliandaa wenyewe na walijua kuwa kama wana mgombea wa chama chao hawaruhusiwi kumpigia debe mgombea wa chama kingine. Kwa maana hiyo ACT wamevunja katiba yao wenyewe ambayo ilisajiliwa na Msajili na kuwapa uhalali wa kuwa chama cha siasa. Kama ikithibitika wamekiuka katiba yao na masharti ya usajili hakuna namna wapewe adhabu tu...
Pia katiba hiyo inasema mtu ataenguliwa uanachama na vikao vya vyama!So mpaka sasa ni mwanachama na kama amekosea chama kinaweza kumsamehe!Usilazimishe msajili ndiye awe mwamuzi wa vikao vya nidhamu vya vyama!!!!Katiba ya ACT.
Msajili wa vyama nakuomba sana izingatiwe.
Maalim Seif amepoteza uhalali wa kuwa Mgombea wa Urais.
Katiba ya ACT ipo wazi hilo lizingatiwe, tafadhali sana.
taarifa njemaMawakala 1000 wa Chadema Arusha mjini waapishwa Mawakala 1000 wa Chadema Arusha mjini waapishwa
point kuntuUkisikia watu weusi tunaitwa manyani unaweza kuchukia lakini ndio ukweli wenyewe. Msajiili anamuandikia mtanzania ajieleze kwanini mtanzania apande jukwaa moja na mtanzania mwenzake, kisha yuko kimya huku watu wa nje wakiwa wamepanda kwenye jukwaa na rais kumuombea kura ndani ya nchi hii. Mfano Museveni, Ndayishimie na Chikwera
We ndio mpumbavu tena unafikiri Mrema ni boya kama hao viongozi wa CDM na ACT. Mkutano mkuu wa TLP ulikuwa live wakimpitisha Magufuri kuwa ndio mgombea wao Uraisi. Nadhani nyie Maboya wa kisiasa watu wa kulialia mlishuhudia mkutano mkuu wa TLP wa Mr Mrema CCM iliwakilishwa na Polepole. Leo mnalialia na kujifanya mnamjibu msajili kishujaa, ngojeni muone kitakachompata huyo ajuza maalim Seif.Mbona leo Mrema kapanda Jukwaa moja na MAGUFULI huko kilimanjaro? kama ana ubavu amwandikie na Magufuli sasa....hivyo visheria vyao vya kipumbavu walivyowatungia wapinzani mwisho ni tarehe 28 by any means
Maalim amepanda jukwaa kama wafanyavyo viongozi wa dini, sheria za ZEC hazihusiki bara na sheria za NEC haziihusu Zanzibar.Msajili wa vyama vya siasa amemtaka mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Maalim Seif ajieleze kwanini alisafiri hadi Kilimanjaro na kupanda jukwaa moja na Tundu Lissu wa CHADEMA kumpigia kampeni.
Kiongozi wa chama Zitto Kabwe amesema wanatarajia na mwenyekiti wa TLP mzee Mrema atajieleza pia.
Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1608349
======
Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa imekiandikia barua Chama cha ACT Wazalendo ikikitaka kijieleze kwa nini kisichukuliwe hatua baada ya Mwenyekiti wake, Maalim Seif Sharif Hamad kupanda jukwaa la mgombea urais wa Chadema, Tundu Lissu katika mkutano uliofanyika Moshi mjini Oktoba 19, 2020.
Akizungumza na Mwananchi Digital Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza alikiri ofisi hiyo kuipatia ACT barua hiyo
Akizungumza leo Alhamisi Oktoba 22, 2020 na Mwananchi, Naibu Katibu mkuu wa ACT Wazalendo, Joran Bashange amekiri kupokea barua hiyo na amesema wanaijibu.
“Ni kweli tumepokea barua, kosa letu ni mgombea urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kusimama jukwaa la mgombea mwingine,” amesema Bashange.
Pia, amesema barua hiyo inahoji ni kwa nini mikutano ya ACT Wazalendo inahudhuriwa na viongozi wa vyama vingine na wa dini wanaowaunga mkono.
“Sheria ya vyama vya siasa iko wazi inasema, mtu anapovunja sheria anahukumiwa, yaani ahukumiwe na mahakama, sasa yeye anatafsiri anataka atupe adhabu, adhabu gani? aende mahakamani,” amesema Bashange.
Chanzo: Mwananchi
miCCM ni mijitu mitutusa sana. Wanamuita Maalim aende kujieleza kwa sababu ambayo haipo kwenye maadili ya uchaguzi? Mis**ge kweli!Msajili wa vyama vya siasa amemtaka mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Maalim Seif ajieleze kwanini alisafiri hadi Kilimanjaro na kupanda jukwaa moja na Tundu Lissu wa CHADEMA kumpigia kampeni.
Kiongozi wa chama Zitto Kabwe amesema wanatarajia na mwenyekiti wa TLP mzee Mrema atajieleza pia.
Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1608349
======
Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa imekiandikia barua Chama cha ACT Wazalendo ikikitaka kijieleze kwa nini kisichukuliwe hatua baada ya Mwenyekiti wake, Maalim Seif Sharif Hamad kupanda jukwaa la mgombea urais wa Chadema, Tundu Lissu katika mkutano uliofanyika Moshi mjini Oktoba 19, 2020.
Akizungumza na Mwananchi Digital Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza alikiri ofisi hiyo kuipatia ACT barua hiyo
Akizungumza leo Alhamisi Oktoba 22, 2020 na Mwananchi, Naibu Katibu mkuu wa ACT Wazalendo, Joran Bashange amekiri kupokea barua hiyo na amesema wanaijibu.
“Ni kweli tumepokea barua, kosa letu ni mgombea urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kusimama jukwaa la mgombea mwingine,” amesema Bashange.
Pia, amesema barua hiyo inahoji ni kwa nini mikutano ya ACT Wazalendo inahudhuriwa na viongozi wa vyama vingine na wa dini wanaowaunga mkono.
“Sheria ya vyama vya siasa iko wazi inasema, mtu anapovunja sheria anahukumiwa, yaani ahukumiwe na mahakama, sasa yeye anatafsiri anataka atupe adhabu, adhabu gani? aende mahakamani,” amesema Bashange.
Chanzo: Mwananchi
Unamjua askofu Rashid Gwajima?!miCCM ni mijitu mitutusa sana. Wanamuita Maalim aende kujieleza kwa sababu ambayo haipo kwenye maadili ya uchaguzi? Mis**ge kweli!