Uchaguzi 2020 Msajili: Vyama vya siasa vyenye lengo la kushirikiana uchaguzi mkuu vimeshachelewa

Uchaguzi 2020 Msajili: Vyama vya siasa vyenye lengo la kushirikiana uchaguzi mkuu vimeshachelewa

Ajabu wanaotaka kuleta mabadiliko hawafahamu taratibu za nchi wanayotaka kuiongoza.

Watakuja kuwadanganya wafuasi wao hapo baadae kuwa wamekataliwa maombi yao kuungana na msajili anapendelea chama tawala.
 
Onyo hilo lilitolewa jana jijini Dodoma na Msaidizi wa Msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza alipofanya mahojiano kuhusu ushirikiano wa vyama vya siasa wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba.

Nyahoza alisema ushirikiano umeratibiwa vizuri na sheria kuwa vyama vinavyotaka kushirikiana lazima vitoe taarifa ofisi ya msajili kwa maandishi, lakini hadi sasa hakuna chama chochote kilicholeta taarifa, hivyo kwa uchaguzi huu vimeshachelewa.

Maoni yangu;
Wakati TLP kinampendekeza Magufuli (CCM) kuwa mgombea wake wa urais kilitoa taarifa?
Mkuu, ishu hapa ni kuungana sio kuunga juhudi. Msiogope hakijaharibika kitu! Ukawa pia hamkuungana.
 
Hiyo sheria anayoisema huyu naibu msajili ya vyama vya siasa kuungana/kushirikiaña imetungwa lini?

Mimi nijuavyo utaratibu wa mashirikiano ya vyama vya siasa katika uchaguzi ni uleule uliotumika mwaka 2015...

Kwamba mnakaa na mnakubaliana kuwa tumuunge mkono mgombea wa chama hiki katika ngazi ya Urais ama Jimbo (ubunge) na kata (udiwani)...

Hili linahitaji sheria na ruhusa gani ya Msajili? Linahitaji msajili kupewa taarifa gani na ya nini?
 
Onyo hilo lilitolewa jana jijini Dodoma na Msaidizi wa Msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza alipofanya mahojiano kuhusu ushirikiano wa vyama vya siasa wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba.

Nyahoza alisema ushirikiano umeratibiwa vizuri na sheria kuwa vyama vinavyotaka kushirikiana lazima vitoe taarifa ofisi ya msajili kwa maandishi, lakini hadi sasa hakuna chama chochote kilicholeta taarifa, hivyo kwa uchaguzi huu vimeshachelewa.

Maoni yangu;
Wakati TLP kinampendekeza Magufuli (CCM) kuwa mgombea wake wa urais kilitoa taarifa?
Huyu msajili ni mtu duni sana ! halafu nilikuwa napitia orodha ya watakaokamatwa ndani ya masaa 6 tu tangu kuanguka kwa ccm , jina la Sisty liko namba 13
 
Onyo hilo lilitolewa jana jijini Dodoma na Msaidizi wa Msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza alipofanya mahojiano kuhusu ushirikiano wa vyama vya siasa wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba.

Nyahoza alisema ushirikiano umeratibiwa vizuri na sheria kuwa vyama vinavyotaka kushirikiana lazima vitoe taarifa ofisi ya msajili kwa maandishi, lakini hadi sasa hakuna chama chochote kilicholeta taarifa, hivyo kwa uchaguzi huu vimeshachelewa.

Maoni yangu;
Wakati TLP kinampendekeza Magufuli (CCM) kuwa mgombea wake wa urais kilitoa taarifa?
PLP na CCM hawana ushirikiano! Kwa ushirikiano, pande zote zinakaa chini na kuwa na maazimio ya pamoja. Lakini katika hilo mliwasikia TLP peke yake!
 
CCM Ikija kuondoka madarakani, CHADEMA itakuwa imeshasahaulika zamani sana! Itakuwa kama CONGRESS ya Mtemvu - ambaye wewe huijui na humjui!
Kila mjinga alieongea hii sentence amebaki story unamkumbuka Steven Wasira a k a Tyson unakumbuka wakati ugimbi wa madaraka ulivyokuwa kwenye kiwango cha juu kabisa baada ya mkwere kumtoa pale alipokuwa anashinda akiFreez Samaki msasani aliongea ujinga mwingi kuhusu Chadema tangu siku hizo ushawahi kumsikia Ila Chadema ipo mpaka leo
 
Sidhani kama kuna haja ya suala hili kusimamiwa na sheria, it’s all about internal political strategies within political parties, si suala linalohitaji govt intervention, Tume ijitafakari katika hili.
 
Sidhani kama kuna haja ya suala hili kusimamiwa na sheria, it’s all about internal political strategies within political parties, si suala linalohitaji govt intervention, Tume ijitafakari katika hili.
Ule muswada wa vyama vya siasa uliandaliwa, ukapitishwa na akina ndugayi na genge lake kwa ajili hiyo - kukwamisha umoja wa upinzani ili chama kongwe kiendelee kujikongoja
 
Hii maana yake ni nini? Hivi leo CHADEMA wakasema hatutasimamisha wagombea Kigoma, wanachama wetu wote kura wawape ACT, litakuwa kosa?
 
CCM wataondola Tu madarakani hakuna lenye mwanzo lisiwe na mwisho
Kwa mapenzi yako Ewe Mungu wa Mbingu,utuondelee hili Dude linalokula na kuangamiza watoto wake.
Hapo October 2020 tusifanye makosa,vinginevyo tunaenda kuangamizwa hakika.Fikiria huku bara Jiwe na katikati ya Bahari Jecha,yaani JJ,kutakuwa hapatishi.
 
Back
Top Bottom