Othman Nkwabi
New Member
- Jan 20, 2020
- 1
- 0
NChato Elect. commission
WaPLP na CCM hawana ushirikiano! Kwa ushirikiano, pande zote zinakaa chini na kuwa na maazimio ya pamoja. Lakini katika hilo mliwasikia TLP peke yake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NChato Elect. commission
WaPLP na CCM hawana ushirikiano! Kwa ushirikiano, pande zote zinakaa chini na kuwa na maazimio ya pamoja. Lakini katika hilo mliwasikia TLP peke yake!
Hakuna wapinzani Tanzania, Bali Kuna wajasiriamali,Maono ya kuungana wapinzania wanayo kwenye vichwa vyao muda mrefu ila wanaogopana kwa sababu ya ubinafsi na umimi.
Ubinafsi wao ndo unawafanya wao kuwa wapinzani uchwara kwa kupinga kila jambo jema la serikali.
Hapo tunasema upinzani Tanzania hakuna bali kuna waganga njaa tu.
Nafikiri kuna tofauti kati ya kuungana na kushirikiana labda tuangalie kamusiHiyo sheria anayoisema huyu naibu msajili ya vyama vya siasa kuungana/kushirikiaña imetungwa lini?
Mimi nijuavyo utaratibu wa mashirikiano ya vyama vya siasa katika uchaguzi ni uleule uliotumika mwaka 2015...
Kwamba mnakaa na mnakubaliana kuwa tumuunge mkono mgombea wa chama hiki katika ngazi ya Urais ama Jimbo (ubunge) na kata (udiwani)...
Hili linahitaji sheria na ruhusa gani ya Msajili? Linahitaji msajili kupewa taarifa gani na ya nini?
Nafikiri kuna tofauti kati ya kuungana na kushirikiana labda tuangalie kamusi
Hawa makamanda wa ufipa sijui wanafikiria kutumia nini? Labda bangi au faru john.Kwani TLP imeungana na CCM!
Ajabu wanaotaka kuleta mabadiliko hawafahamu taratibu za nchi wanayotaka kuiongoza.
Watakuja kuwadanganya wafuasi wao hapo baadae kuwa wamekataliwa maombi yao kuungana na msajili anapendelea chama tawala.
PLP na CCM hawana ushirikiano! Kwa ushirikiano, pande zote zinakaa chini na kuwa na maazimio ya pamoja. Lakini katika hilo mliwasikia TLP peke yake!
Sasa sio Paul Silly bali Paul Brave. Utakuwa umeelewa. Hii ndiyo tafakuri. Sio takataka za akina Kawe Alumni, Nazgur na yote magonjwa mtambuka. Tunataka nchi yenye vijana smart, vijana wa kujivunia na sio wale wa buku saba. Anakurupuka na kudai: hujui maana ya maandamano. Akidhani maandamano ni fujo na virungu vya polisi. Maandamano ni matembezi ya hiari yanayolindwa na polisi na si kusambaratishwa na polisi. Lini tutafika huko? Yes, we can(Obama's voice)!Je Sheria IPO na inasemaje?
Inaukomo wa muda tajwa?
Mimi ni mshabiki mzuri wa JPM lakini naupenda upinzani Kwa sababu haya tunayodhani yamefanywa na serikali hii ni makubwa na mazuri, ni Kwa sababu huko nyuma, wapinzani waliwaonyesha Watanzania Kwa jinsi CCM isivyofaa na uozo uliokuwa ukifanywa, na sasa inawalazimisha wajikakamue kuonesha kwamba wakizubaa tu upinzani unachukua hatamu
Kwa nini unapigwa vita kiasi hichi upinzani Wakati ndio unaosababisha anayeongoza serikari afanye kweli?
Anataka uteuzi tu. Amechoka kuwa naibu msajili. Anataka kuwa msajili fool! Atasikikaje? Ndio tena kujifanya hamnazo. Kwake hakuna tofauti kati ya kuungana na kushirikiana!Hiyo sheria anayoisema huyu naibu msajili ya vyama vya siasa kuungana/kushirikiaña imetungwa lini?
Mimi nijuavyo utaratibu wa mashirikiano ya vyama vya siasa katika uchaguzi ni uleule uliotumika mwaka 2015...
Kwamba mnakaa na mnakubaliana kuwa tumuunge mkono mgombea wa chama hiki katika ngazi ya Urais ama Jimbo (ubunge) na kata (udiwani)...
Hili linahitaji sheria na ruhusa gani ya Msajili? Linahitaji msajili kupewa taarifa gani na ya nini?
Kiukweli hawasomeki!Hawa makamanda wa ufipa sijui wanafikiria kutumia nini? Labda bangi au faru john.
Maono ya kuungana wapinzania wanayo kwenye vichwa vyao muda mrefu ila wanaogopana kwa sababu ya ubinafsi na umimi.
Ubinafsi wao ndo unawafanya wao kuwa wapinzani uchwara kwa kupinga kila jambo jema la serikali.
Hapo tunasema upinzani Tanzania hakuna bali kuna waganga njaa tu.
Unabishana na msajili?Anawashwa huyo.
CDM tukiona ACT ina nguvu kata flani/jimbo hatusimamishi mgombea tunawachia ACT kama ndiyo wenye nguvu hapo.
Mataga mnahaha kama kuku aliyekatwa kichwa.
Msajili anaacha kazi zake anashughulika na siasa za kuisemea CCM,Afisa kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama ameeleza kuwa iwapo vyama vinataka kuunda ushirikiano vinapaswa kufanya hivyo kwa kufuata utaratibu wa vikao rasmi na sio utashi wa viongozi.
Ameainisha kuwa muda wa kufanya coallition ni miezi mitatu kabla ya kuanza kwa mchakato wa uchaguzi.
Tuwe tunasoma kanuni !
---
Vyama vya Siasa ambavyo vinatarajia kushirikiana wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu bila kufuata Sheria ya Vyama vya Siasa kama ilivyoainishwa kwenye Kifungu Na.11 (a) cha Sheria hiyo vitakuwa vimevunja sheria.
Onyo hilo limetolewa leo jijini Dodoma na Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, wakati alipofanya mahojiano kuhusu msimamo wa ofisi yake kwenye suala la ushirikiano wa vyama vya siasa wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Nyahoza amesema kuwa ushirikiano wa vyama hivyo umeratibiwa vizuri kisheria ambapo vyama vinapohitaji kushirikiana vinapaswa kutumia vikao halali vya chama badala ya utashi wa mtu binafsi. Msajili Msaidizi Nyahoza ameongeza kuwa baada ya vikao halali kupitisha azimio la kufanya ushirikiano vyama husika vinapaswa kuwasilisha mkataba wa ushirikiano Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa miezi mitatu kabla ya mchakato wa uchaguzi kuanza.
“Vyama havijakatazwa kushirikiana bali vimewekewa utaratibu ili Tume ya Uchaguzi pamoja na taasisi zote zinazohusika na uchaguzi ziweze kujiandaa vizuri na kuimarisha ulinzi hasa wakati wa kampeni pamoja na kuvisaidia vyama vingine kuelewa wanashindana na vyama vya aina gani” alisema Nyahoza.
Kuhusu ushirikiano wa vyama vya siasa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 Msajili Msaidizi Nyahoza ameelezea kuwa mpaka sasa ofisi yake haijapokea mkataba wa makubaliano ya ushirikiano kutoka kwa chama chochote cha siasa hivyo kwa mujibu wa sheria vyama ambavyo vina nia ya kushirikiana vimeshachelewa.
Aidha, Msajili Msaidizi Nyahoza amesema hadi sasa vyama vyenye usajili wa kudumu ni 19 na chama kimoja kina usajili wa muda na maombi ya vyama 16 bado yanafanyiwa upembuzi.